bugurunirozana
New Member
- Jun 16, 2015
- 2
- 1
Uzi huu umeondolewa na mhusika.........
Wa mikoani tunaipateje?
Hivi nitajuaje kama kweli ni mti kutoka kongo na sio magome ya mwembe yaliyoongezwa na viagra kidogo ili nione matokeo ya haraka huku nazidi kuua nguvu zangu. Jamani badala ya kukimbilia hizi dawa hebu tuanze kufuatilia ulaji wetu kwanza. Chakula ndio nguzo kuu ya nguvu zetu iwe za kiume au za kubebea zege ni chakula tu.
Naombeni ya kuongeza ufanisi wa akili jamani...yani nipige kazi, nisome, nilee familia nilale saa nane niamke saa kumi foronly two years from now...
Uzi huu umeondolewa na mhusika.........