Kiboko Albino agunduliwa Masai Mara

Kiboko Albino agunduliwa Masai Mara

Hongera KENYA ...m kwa ubunifu mzuri Sasa watalii watamiminika kwa wingi ..hadi kutufunika TZ !! MK254 well played!!
 
Nyie endeleeni siye tupo KuBomoabomoa.... hata tukizinduka tutarudi kulaumiana na kukashifiana !!!!

Nilishangaa sana eti mshaiwekea alama ya X hoteli ya Double Tree. Ifike mahali msitishe huo uwenda wazimu jameni, mtathmini kwanza na kutafakari kabla kuendeleza huo ubomoaji.
 
Wamegundua? Labda waseme ndo mara yao ya kwanza kumuona...
 
Mbona Kiboko mwenyewe yupo kama alikuwa mweusi, halafu akaanza kubadilika kama ule ugonjwa unaosumbua binadamu(sikumbuki unaitwaje)!!!
 
Nilishangaa sana eti mshaiwekea alama ya X hoteli ya Double Tree. Ifike mahali msitishe huo uwenda wazimu jameni, mtathmini kwanza na kutafakari kabla kuendeleza huo ubomoaji.
Huo ni Umajinuni wa kutupwa !! ati sheria.... ?? Asante kutufunza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom