Kiboko Albino agunduliwa Masai Mara

Kiboko Albino agunduliwa Masai Mara

Kugundua au kamuona??

Unaweza kuona ila usijue ni nini hasa. Labda wenyeji waliona ila hawakujua ana albinism kama walivyoona Mt Kilimanjaro ila hawakujua ni tallest mountain Africa
 
Apeleke uongo hukooooooo!!!

Kwa miaka yt hiyo mpk amekuwa mkubwa hvy hakuwahi kuonekana?

Wakadanganye wenzao huko kwny filamu siyo sisi.
 
View attachment 314365

Gazeti la Uingereza Daily Mali limesema, mtalii kutoka Ufaransa Bibi Laurent na mume wake Dominique Renaud wamegundua kiboko wa rangi ya waridi kwenye mbuga ya wanyamapori ya Masai Mara nchini Kenya.
Utafiti unaonesha kuwa ngozi ya waridi ya kiboko huyo inatokana na kuwa albino.
Wamegundua kivipi??
Tuseme bila ya wao kwenda huko Kenya, huyo Kiboko alikua haonekani??
 
Unaweza kuona ila usijue ni nini hasa. Labda wenyeji waliona ila hawakujua ana albinism kama walivyoona Mt Kilimanjaro ila hawakujua ni tallest mountain Africa
Wanaojiita kua wagunduzi/wavumbuzi wa Mlima Kilimanjaro hawasemi kua wamegundua kwa mantiki ya urefu wake, bali wamegundua kwa mantiki ya uwepo (existence) yake, hapo ndipo tunapodanganyana!!
 
Sema huyo kiboko ana bahati wakenya wana elimu, ingekuwa hapa bongo hiyo ilikuwa bonge la dili na sidhani kama angeendelea kuishi kwa zaidi ya siku mbili
Kwa hiki kipindi cha uchaguzi kilichopita huyu Kiboko angekua ni dili sana, na kwa sasa angekua ashasahaulika kitambo tu bali imebaki hadithi tu
 
Huyo kiboko anaonekana sii albino na alizaliwa sawwia ila kinachoonekana amepata ugojwa wa ngozi. kitu ambacho wangekifanya ni kutafiti ni ugojwa gani umempata kwani hata kwa binadamu kuna ugojwa kama huo wa kubabuka ngozi
 
Unaweza kuona ila usijue ni nini hasa. Labda wenyeji waliona ila hawakujua ana albinism kama walivyoona Mt Kilimanjaro ila hawakujua ni 😀tallest mountain Africa

Hapo nadhani ungeweka neno Highest mkuu
 
View attachment 314365

Gazeti la Uingereza Daily Mali limesema, mtalii kutoka Ufaransa Bibi Laurent na mume wake Dominique Renaud wamegundua kiboko wa rangi ya waridi kwenye mbuga ya wanyamapori ya Masai Mara nchini Kenya.
Utafiti unaonesha kuwa ngozi ya waridi ya kiboko huyo inatokana na kuwa albino.
Rufiji wamejama kibao
 
wazungu muda wa kutudanganya ilikua mwisho miaka ya 70 huko saiv kwendraaa wanataka waseme walinzi wa hao viboko hawajawahi kumuona huyo kiboko kick za ujinga
 
Kwani nyie waafrika mlishindwa vipi kumgundua huyo kiboko na kumtangaza?! Tunajifanya tuna uchungu wakati hata kutembelea mbuga au hifadhi zetu ni msamiati. Acheni unafiki!


Sasa huku Afrika ukigundua ukatangaza utapata nini? Nani atajali huo ugunduzi wako? Wakati huyo mzungu utasikia amepata doctorate ya heshima na kashakuwa maarufu.
 
Kagundua?? Inamaana aliye gundua ni mali yake?? Kama ilivyo kwa walio gundua gesi ya mtwara kuwa ni mali yao
 
Waligundua binadamu alikuwa sokwe akapitia mabadiliko hadi kuwa binadam kamili sasa masokwe yapo tele maporini hko cjui yatabdilika lini... na cjui wenyew wametokea sayar gan manak masokwe waliopo ni wa kiafrika tu..
Ndio jambo la kushangaza hilo halafu wanakwambia nature behave the way it does.
 
Ni yale yale ya MT kilimanjaro! Mzungu anatokazake ulaya eti kagundua mlima wakati kuna watu wameuzunguka ule mlima!
 
Sasa huku Afrika ukigundua ukatangaza utapata nini? Nani atajali huo ugunduzi wako? Wakati huyo mzungu utasikia amepata doctorate ya heshima na kashakuwa maarufu.
Yes, uko sawa! Tatizo letu linaanzia hapo kwenye "kutojali."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom