Kwani atayaweka wazi? au atakomea hayo hayo...kama anaujasiri ayaweke wazi..Jamaa anaongea.. Napenda sana watu jasiri..
"Nikiwa bado Muhimbili kabla ya kupelekwa Afrika Kusini, nilizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Said Mwema, Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar Es Salaam, Suleiman Kova; na nilipokua Afrika Kusini nilitembelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani, Emmanuel Nchimbi na kwamba wote waliniahidi serikali ingefanya kila linalowezekana kuwakamata wahalifu hao.
Hata Rais Jakaya Kikwete alinitembelea hospitalini Milpark, alinieleza maneno hayo hayo. Lakini leo ni miezi mitatu, hakuna mtu aliyekamatwa. Hili ni jambo la kusikitisha sana; inanifanya ni muulize Mungu kwa nini aliruhusu niwe hai hadi sasa" Absalom Kibanda, M/Kiti Jukwaa la Wahariri Tanzania
SOURCE: Mawio
Kwa habari zaidi soma gazeti hilo.
Jamaa anaongea.. Napenda sana watu jasiri..
Eng. Y. Bihagaze nafikiri angeongea kile anachojua na kilichomtokea kama aanamhisi mtu yoyote au ana taarifa za wabaya wake wowote au kuna mkono wa mtu au serikali maana sometime haya mambo yatakaishia kama ya Dr Ulimboka hakuna aliyekamatwa"mhusika "mkuu zaidi ya kukamatwa kwa mkenya ambaye matukio yalishindwa kuumuunganisha na utekaji huo na yeye Dr kuishia kisema anamwachia Mungu.
Ukishaona inteligensia ya polisi haina majibu kwa miezi mitatu fanya private investigation kumpata muhusika
Issue ya Padre wa Zanzibar ya Shekhe aliyemwagiwa tindikali hakuna aliye kwenye vyombo vya sheria kama "mhusika mkuu zaidi ya bla bla
Eng. Y. Bihagaze nafikiri angeongea kile anachojua na kilichomtokea kama aanamhisi mtu yoyote au ana taarifa za wabaya wake wowote au kuna mkono wa mtu au serikali maana sometime haya mambo yatakaishia kama ya Dr Ulimboka hakuna aliyekamatwa"mhusika "mkuu zaidi ya kukamatwa kwa mkenya ambaye matukio yalishindwa kuumuunganisha na utekaji huo na yeye Dr kuishia kisema anamwachia Mungu.
Ukishaona inteligensia ya polisi haina majibu kwa miezi mitatu fanya private investigation kumpata muhusika
Issue ya Padre wa Zanzibar ya Shekhe aliyemwagiwa tindikali hakuna aliye kwenye vyombo vya sheria kama "mhusika mkuu zaidi ya bla bla
Jamaa anaongea.. Napenda sana watu jasiri..