Kibanda: Kinana ni Kimbunga


issue siyo kujaza watu mikutanöni bali mikakati ya ushindi ambayo hamna
CDM, wanazi wa CDM ukiwaeleza hili wao wanachofikiri ni wizi wa kura tu.
Chukulia mfano kwenye kata 22 ambazo CDM walishindwa na CCM, je mikutano ya CDM haikujaa
watu? Ni wangapi kati ya wahudhuriaji waliopiga kura?
 
Nimemsoma Kibanda between the line anatatizo moja tu;muumini wa historia kale bila kuzingatia mabadiliko yaliyopo katika jamii anayoishi ndiyo maana pamoja na hoja zilizoibuka kwenye makala yake ya awali bado leo tena amerudia mrundiko wa wa historia kale za Mkapa, Mrema, Kikwete bila kueleza what exactly Kinana can do to overturn the current political storm.

Ndiyo maana headline ya Makala yake ni tofauti na content. Utaanzaje na headline ya HUYU NDIYE KINANA NINAYEMFAHAMU halafu ndani (I mean kwenye content) umejaza Riwaya za nyuma za akina Mrema, Mkapa, Nyerere na Kikwete? Tulitegema angekuja na facts za ni kwa vipi Kinana atasababisha kifo cha Upinzani nchini lakini wapi.Blaa blaa zilezile tu.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo hiyo Tume ya Uchaguzi ya Rais ndio iliyowatangaza washindi John Mnyika, Joseph Mbilinyi, Halima Mdee, Godbless Lema, Freeman Mbowe na wengine.

bila wananchi kukesha hayo maeneo usalama wa taifa na polisi walishaamua kuyachakachua,.
 

Sidhani kama ni sawa sana mtu kama wewe kuandika vitu kama hivi?!,labda nikwambie ukitaka kujua urijali wangu we nambie nikukute chumba namba ngapi ili ujue niko sawa au siko sawa,mimi nilikuwa naamini humu ndani tunakwenda kwa hoja lakini kumbe naona huna hoja umeanza matusi,wewe sema uko chumba namba ngapi mimi nije ili uone na katika hili sipepesi macho,nawaomba mods msiiondoe wala msiniban kwa sababu yake mmeiacha imekuja,so nipeni haki yangu na mimi!![/QUOTE]

WABHEJASANA,
Pole sana kauli za matusi ndio msingi wa hoja kwa hawa Pro-Chadema JF.
 
Last edited by a moderator:
Ni mali ya kiongozi wa CHADEMA; 'unajifanya' hujui au mkwara tu?! Haya Lete lingine!

CEO wa chadema na gazeti la tanzania daima ni freeman mbowe,kibanda amejaribu kutahadhalisha hatari ya chadema mbele na kwa maoni yake hamkubali dr slaa kama presidential material,lakini pia ana kerwa na pro chadema ambao hawataki kusikia hata ushauri mbaya wa sura ya chadema
 
Huyu bado tu hataenda habari corporation?

Kumsifia mtu ndio UKWELI(maadili), kweli hii taaluma inatumika kama mpira wa kiume!

Huwezi amini kama ndio mwenyekiti wa jukwaa la wahariri

Tumeambiwa anaanza kazi kwa Bashe (Habari Corporation) very soon, kuna thread inaongelea suala hilo humu humu JF
 
We mhariri ningekuona wa maana kama ungekuwa unaongelea ni jinsi gani taifa letu linaweza kujikwamua na mikataba mibovu, kupunguza rushwa kwenye mahakama na polisi barabarani ili watu wa kawaida wapate ahueni. We hizi porojo za kusifia viongozi ili uteuliwe kuwa mkuu wa wilaya, hazitasaidia nchi wala watanzania wa enzi hizi sio wakusikia kusifia watu badala ya kuandika makara zitakazo saidia wananchi wapate ahueni ya maisha. UNALETA SIASA KWENYE TASNIA YA HABARI? KWELI UKIPOKEA BAHASHA UNAKUWA KAMA KICHAA!
 
Mi mwenzenu huwa naogopa sana nikiona mtoto wa kiume ameshupalia kumsifia mwanamme mwenzie, bora hizo sifa ziwe za kweli, au asifie once. Lakini akirudia rudia na wengine hawaoni hivyo huwa naogopa kweli. Thank god ak sio mwanangu
 
kuisifia ccm kushinda chaguzi ndogo ni ufinyu wa mawazo, kwa nini serikali ya ccm inakataa kuboresha daftari la wapiga kura kila panapotokea uchaguzi wa marudio?
wasifu ccm wakishinda uchaguzi km watakubali kuboresha daftari la wapiga kura kwanza kila unapotokea uchaguzi mdogo!
 

WOWOWO,
Historia katika siasa zetu ni jambo la muhimu sana. Naona unajidanganya na upepo wa mwaka 2010 uliowapitia Chadema wakapata viti vya ubunge 23 vinawapa upofu mnajisahau mnadhani Chadema mnakubalika kila kona ya nchi yeyote atakayewakosoa lazima hatakuwa mpinzani wa Chadema.
 
Last edited by a moderator:
Hatimaye mbivu na mbichi zinaanza kujitenga. Taraatiiiibu ukweli unaanza kujibainisha. Kibanda ameanza kuionesha sura halisi ya cdm na kuwaonya watanzania kuiogopa kama ukoma. Hapo dikteta anayemsemea Kibanda ni Slaa. J.K kanyaga twende acha wafu wa chadema wazikane wenyewe.
 
WABHEJASANA,
Pole sana kauli za matusi ndio msingi wa hoja kwa hawa Pro-Chadema JF.

Ni aibu, tena aibu kubwa kwa mwanaume kuthubutu kuzungumzia mahusiano ya kingono ya mwanaume mwenzako. Hilo sio tusi bali ni ukweli halisi na mnapaswa kuutambua. Ni bahati mbaya sana kwamba baadhi yenu hamna hoja ya kuandika ama kujadili juu ya Dr. Slaa zaidi ya mambo ya mahusiano yake ya kingono ambayo hayatusaidii chochote kama Taifa.
 
bila wananchi kukesha hayo maeneo usalama wa taifa na polisi walishaamua kuyachakachua,.

Mkuu hoja yako mbona dhaifu sana...kama Dr Slaa alishinda urais mbona watu hawakuingia barabarani na kukesha.
 
Mimi ndiyo maana niliachaga hata kusoma makala zako,nilijua umenunuliwa na lowasa na leo kina Rostam wameshakupata kwa bei yako cheap...kajenge kibanda na hiyo hela yako ya kuhongwa na Lowasa.
 

Yaani kiongozi wa kitaifa ambaye watanzania wanamtegemea kuwa rais katelekeza familia mke wake pamoja na watoto na kesi ipo mahakamani unataka kutufunga mdomo tusijadili uadilifu wa kiongozi wa taifa kisa wewe umesema ni aibu.

Watu hawajamsingizia Dr Slaa yote kayafanya nyie Pro-Chadema JF ndio mnatakiwa mkae na Dr Slaa na mwambieni ni kitendo cha aibu alichokifanya kiongozi ni kioo cha jamii.

Hakuna aibu kumjadili kiongozi ambaye hana maadili.
 

Lakini kumbuka kinana huyo huyo ndiye alishusha ushindi wa Kikwete kutoka 80% (mwaka 2005) hadi 61% (mwaka 2010). Na kinana huyo ndiyo alisababisha majimbo zaidi ya 15 ya CCM kupokwa na CHADEMA mwaka 2010. Sasa sijui mnaangalia tu past history yake tu au inakuwaje..
 
tarehe moja disemba anaanza kazi pale kijiweni new habari huyo ni mtu wa lowasa na anapelekwa pale kwa mkakati maalumu,
 
TUMBIRI Ni kwanini unamtaka Ansbert Ngurumo ndiye atoe kauli yake juu ya mwenendo wa Kibanda badala wewe mwenyewe utoe? Kwani wewe huna uwezo wa kujisimamia mpaka usimamiwe.

Mkuu WABHEJASANA,
Hivi mtu ukitaka mtu fulani atoe kauli yake juu ya jambo fulani maana yake hawezi kujisimamia? Na tunavyotaka kauli ya Rais Kikwete juu ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa maana yake watu wote tumeshindwa kujisimamia? Jipange vizuri Boss wangu.
 
Alafu heading ya hii thread haijakaa vizuri. Mkuu Kimbunga eti wewe ndiye Kinana? Naona heading ya thread inasomeka "Kinana ni Kimbunga"!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…