Kibanda apelekwa kutibiwa Afrika Kusini

Ila mengine hayamuhusu mungu yapo ndani ya uwezo wa binadamu, style iliyotumika kumtesa Dr Ulimboka

This is the same Mafia Gang, i don't buy any other story.
Endelea kuamini kuwa aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama!. Kumbe wengine hamjui 'dupe'!, or 'make belive'! kwa kutumia 'Ulimboka style' ili kuuaminisha umma kuwa ni 'wale wale!' kwa lengo la kuwapoteza tuu maboya 'simple minds', kama nyinyi and you've bought it jumla!.
Pole!, but with time you'll grow up and become 'ordinary mind' and finaly into 'great mind' and by that time, you'll be able to think deep na kutopotezwa na hizi danganya toto za kupotezea maboya.
Pasco.
 
Endelea kuamini kuwa aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama!. Kumbe wengine hamjui 'dupe'!, or 'make belive'! kwa kutumia 'Ulimboka style' ili kuuaminisha umma kuwa ni 'wale wale!' kwa lengo la kuwapoteza tuu maboya 'simple minds', kama nyinyi and you've bought it jumla!.
Pole!, but with time you'll grow up and become 'ordinary mind' and finaly into 'great mind' and by that time, you'll be able to think deep na kutopotezwa na hizi danganya toto za kupotezea maboya.
Pasco.
ww mjinga unatetea kitu gani hapa?hata kama si hao waliomteka Dk Uli, hao unaowatetea wamewapata waliofanya ushenzi huu kwa Dk Uli? km wao walifanya na hawajapatikana hadi leo bas wamefundisha na wengine kufanya hivi kwa sababu serikali pengine inawalinda.acha kutetea uozo ww.
 
Another ufisadi, waletwe FBI kuchunguza hao watekaji

Ulimboka. Mwangosi. Muuza magazeti wa Morogoro. Mapadri wawili mmoja karestishwa in peace na wengne tunawindwa km swala. Ila saa ya ukombozi inakaribia Mungu wetu ni simba wa vita. Tutashinda.
 
ni fisadi mzoefu rostam bin aziz,kibanda aliamua kufanya kazi kwa mwizi wa rasilmali za watanzania na kusema wimbo wanaoimba chadema wa ufisadi hauna mashiko na wa kishamba,huyo ndio absalom kibanda.
get well soon brother

Na mkaamua machadema kumsulubu Kibanda kwa style yenu ile ile
KUSHAMBULIWA KWA KIBANDA-NIMUHANGA WA ALICHOKIANDIKA..? Connected dots…!
Jana usiku limetokea tukio baya la kuvamiwa na kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation, Ndugu Abdalom Kibanda.
Tukio hilo ambalo limesababisha sintofahamu kubwa miongoni mwa watanzania wanahabari, wapenda uwazi na ukweli na wale wenye kusimamia misingi ya Amani na utulivu katika nchi hii.
Aina ya tukio lenyewe na upekee wa utokeaji wake umegubikwa na utata mkubwa kiasi kwamba akili yangu ikanituma kutafakari kwa kina na kuyaandika haya, ikiwa ni miongoni mwa YAWEZEKANAYO kuwa ndiyo yaliyosababisha tukio ilo la kusikitisha kutokea kwa Mtanzania mwenzetu huyu kipenzi cha wanahabari.
•Mengi yanahusuanishwa na tukio hili, lakini wengi wakihusianisha tukio hili na kazi ya mhusika ya Uandishi, ambapo tukio hili linamkuta katika kipindi ambacho mtindo wa uandishi wake umebadilika na mfumo wa hoja zake umekuwa wa mlengwa wa kati. Lakini pia wapo wachache wanaohusianisha tukio hilo na ujambazi ama unyang’anyi, hisia ambazo binafsi nazipinga kwani Watu waliomvamia na kumtoa katika gari kisha wakampiga kabla ya kumtupa na kumtelekeza umbali mdogo na nyumbani kwake hawakuchukua kitu chochote katika vitu ambavyo Mhariri huyo anavimiliki kuanzia gari, simu na pesa.
•Hivyo, nalihusianisha tukio hili na aina ya kazi ambayo mhanga anaifanya, kazi ya UHARIRI WA HABARI katika vyombo vya habari, na hisia zangu zimenipeleka huko baada ya kuzingatia kwa umakini mkubwa matukio yafuatayo.
a)14th November 2012, Baada ya kuundwa kwa sekretarieti mpya ya chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Kibanda akiwa ni Mhariri wa Gazeti la Tanzania Daima ambalo linafahamika wazi kuwa ni chombo cha propaganda cha Chadema chini ya Mbowe, aliandika makala ambayo ilikuwa ikisifu safu hiyo mpya ya uongozi ya CCM,
huku akinukuu kauli mbalimbali za viongozi wa upinzani akiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Znz, Mhe. Maalim Seif Sharif. Baada ya tukio hili wakuu wa gazeti hilo walimuita na kumuonya juu ya makala yake hiyo.
Lakini katibu Mkuu wa Chadema hakuishia na kuridhishwa kwa kuonywa kwa Kibanda bali alienda mbele zaidi na kumjibu; ambapo tarehe 16th November 2012, sehemu ya nukuu yake alipokuwa akimjibu Kibanda inapatikana katika link hii; http://www.habarimasai.com/en/ziliz...i-mpya-ya-ccm-asema-wapo-kwenye-kashfa-ya-epa

Na link nyingine ndani ya Tanzania Daima la ijumaa ya tarehe 16 th Nov 2012 ni hii;

http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=42529

b)Lakini mara tu ya jibu hilo la Slaa kwa Kibanda, Mhariri huyo kwa ufundi mkubwa aliandika makala nyingine ambayo ilikuwa ikimsifu zaidi Katibu Mkuu mpya wa CCM, ndugu Abdulrahaman Kinana, ambae Slaa alimkosoa katika majibu yake dhidi ya Kibanda. Mhariri huyo makini alieleza bayana kuwa kuiponda sekreatieti mpya ya CCM ni sawa na kukosa akili, akaendelea kufafanua na kutaja wasifu wa kila kiongozi kwa kadri alivyowafahamu yeye, akielekeza nguvu zaidi kwa Katibu Mkuu Kinana na kuelezea umahiri wa kinana kama strategist tangu akiwa jeshini, lakini akataja uzoefu wake ndani ya chama na pia kutaja alivyoshiriki katika chaguzi mbalimbali na kuwawezesha wagombea urais wa Awamu ya tatu na Nne kushinda kwa kishindo.
Baada ya Makala hiyo ya pili, ulizaliwa mgogoro wa haja ndani ya kampuni hiyo ya freemedia uliomuhusisha Kibanda na wamiliki wa kampuni na Chama kinacholitumia gazeti hilo. Mgogoro ambao ulipelekea Kibanda kuihama Freemedia na kuhamia katika New Habari Corporation ambayo kimsingi ni ya wadau wa Chama Cha Mapinduzi na kampuni ambayo kwa namna moja ama nyingine inaruhusu kuandikwa habari katika mandhari na tafsir ya HABARI bila propaganda wala upendeleo. Kwa maana nyingine ni kuwa Ndugu Kibanda alikuwa akihariri habari ambazo zinasema ukweli wa mazuri ya chama cha Mapinduzi na kuimwagia sifa kwa mipango yake ya kuiletea nchi Maendeleo lakini pia kwa kasi ya utekelezaji wa Ilani ya chama.
Baada ya Uamuzi huo wa Kibanda kuhamia New Habari Corporation na kuiandika habari zenye mlengwa wa Kati, wakuu wa Free media walimuita ili kufanya nae mazungumzo ya kumtaka kurejea katika kampuni yao, hasa baada ya Gazeti lao la Tanzania Daima kuanza kupoteza dira na kuandika habari ambazo hazina mvuto hivyo kulifanya kushuka kimauzo na kipropaganda dhidi ya Chama Cha Mapinduzi. Lakini Kibanda aliendelea kukataa kurudi na kuwa pamoja na viongozi hao wasiojua nini maana ya kuwa kiongozi, hawaheshimu taaluma wala hawataki kuruhusu fikra huru kuchukua nafasi katika chama na Kampuni zao.
Kulingana na ukweli huo wa kuwepo kwa uhasama baina ya Mhariri Huyu makini na mabosi wake wa kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi hapo awali, hisia zangu zinanipelekea kuamini kuwa yawezekana kabisa mpango huu wa kumvamia, kumshambulia na kuhatarisha maisha yake umeratibiwa na viongozi hao ambao hali nao sahani moja, na ndiyo asili ya swali JE, KIBANDA ni muhanga wa alichokiandika..?
 
Inauma sana kwa mtu km KIbanda kufanyiwa vile< hebu tusubiri hawa waliotumwa kuchunguza, hata km wataleta taarifa zinazofeva serikali itajulikana ukweli ni upi. Ni wazi kuwa Kibanda ana conflict na state kutokana na habari zake zinazo iweka "uchi" serikali. Lakini hatuwezi kusema kuwa govt inhusika ktk hili, tuvumilie watakuja na lipi hao wana tume.
 
Tatizo tunaelea cancer tulianza na ya dk sasa umebaki wewe unaeenda ku comment humu
 
Dada yangu Tina,
Samahani sana, napata mashaka na usahihi wa hii taarifa yako uliyoileta humu chini ya "habari mpasuko!".
Kwanza hukuweka source, ila kwa vile ni lady, kutoweka source kunahalalisha uwezekano wa connection fulani, kama member tuu mwenzake wa jf, mshirika wake newsroom, rafiki wa kike, mke, etc, that is understandable!, na tumevumilia kwa ahadi ya kupatiwa update!. Lakini tangu ilipopost ile first post, tunaelekea masaa 6 baadaye na hakuna update yoyote!.

Mara baada ya kuisoma humu, nilitembelea zile kumbi ambazo Kibanda huwa anashinda, sikukuta kitu, hii inamaana wewe Tina ndio the first to know hata barazani kwake wasijua, ilhali unadai ametekewa nyumbani kwake?!. Kutekwa ni kuhamisha toka sehemu moja hadi nyingine, kuna kuvamiwa nyumbani na kutekwa, lakini huku kuvamiwa nyumbani, kutekwa, kujeruhiwa na kupelekwa Muhimbili kunatia mashaka sana!.

Mode!.
Nashauri tuweke vigezo maalum vya "habari mpasuko", ili kupata uhakika wa habari mpasuko yoyote ambayo ni shoking, 1. lazima mleta habari atoe source, na kama ni yeye na ameshuhudia then
2. Aweke contact ili modes mumpigie simu ku verify hiyo habari, vinginevyo mtu yoyote anaweza kuleta uzushi wowote na kusail through hivyo kuligeuza jukwaa letu hili adhimu kuonekana kama kijiwe fulani, au genge la wazushi na wote kuonekana hatuna maana!.
Endelea kuamini kuwa aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama!. Kumbe wengine hamjui 'dupe'!, or 'make belive'! kwa kutumia 'Ulimboka style' ili kuuaminisha umma kuwa ni 'wale wale!' kwa lengo la kuwapoteza tuu maboya 'simple minds', kama nyinyi and you've bought it jumla!.
Pole!, but with time you'll grow up and become 'ordinary mind' and finaly into 'great mind' and by that time, you'll be able to think deep na kutopotezwa na hizi danganya toto za kupotezea maboya.
Pasco.
@Pasco, kulikoni?
 
Kwanza nimpe pole za dhati ndugu Kibanda.

Aidha, nipende kuwaasa ndugu zangu watanzania tusipende kutoa maoni comments ambazo kwa namna moja au nyingine zina mtazamo wa kupandikiza chuki na uhasama baina ya watawala, watawalia. Mfano mzuri ni ndugu yangu aliyeandika kuhusu "yanayompata kibanda ni kuhusu anayoandika?"

Kama binadamu kila mmoja ana mawazo yake ni vyema ukayatunza na kuacha system ije na taarifa zake za kitaalamu, najua wengi wetu hatuliamini jeshi la polisi kwa sasa kutokana na matukio mbalimbali yanayofanywa na wao wenyewe mfano mauwaji ya raia, mwandishi wa Iringa na hata jinsi walivyolishughulikia suala la Ndugu yangu Dr. Ulimboka.

Hata hivyo sio vyema tukaanza kuhusisha kampuni za aliyokuwa akiifanyika kazi ndugu kibanda kabla ya kwenda mtanzania, kwanini nasema hivyo, hi ni kutokana na ukweli kwamba kikulacho kinguoni mwako, pamoja na kushindwa kukubaliana na mabosi wake kurudi kufanya kazi free media kama mchangiaji mmoja hapo juu alivyoainisha, bado siamini juu kama tunapaswa kuwashutumu.

Pendekezo langu nivyema tukaheshimu taratibu za nchi hata kama zinatukera, jeshi la polisi lijitahidi kuwa independent na kufanya upelelezi bila kuunguliwa na kushawishiwa, waandishi kujitahidi kujilinda na kuchukua tagadhari ya maisha Yao popote walipo aidha ni vyema pia tukawa kitu kimoja haswa kwakuzingatia sisi sote ni wanataluma moja tusikubali watu watugawe kwa mantiki ya vyama vya siasa. Ikubukwe kuwa huu ni mfulukizo wa matukio mabaya na yakuhudhunisha wanayofanyiwa waandishi nikikumbuka ndugu yetu kubenea, mwakilishi wa kwizera radio Bahati mbaya jina nimelisahau, Ndugu mwangosi, Tuhuma alizopewa Jerry Muro na sasa kaka yetu kibanda.

Natoa shukrani za dhati kwa uongozi wa kampuni ya mtanzania kwa kumpeleka mhariri huyo Africa kusini na kumpa pole na kumtakia ahueni ya haraka ndugu kibanda na kuiomba familia yake kumtegemea mwenyezi Mungu haswa katika kipindi hiki kigumu na wasiwasi juu ya afya ya mwanafamilia Yao.

Aidha, kwa wale wanaotekeleza uharamia huo wakumbuke kuwa hakuna binadamu atayeishi milele na pindi wanapokubali kutekeleza hayo wawe wanazifikiria familia za hao wanaoenda kuwadhuru. Hii itasaidia kupunguza kuwa na yatima bila sababu.

Mwezi Mungu awape nguvu madaktari wanaomtibu na walionzisha matibabu yake hapa nyumbani. Amen
 
@Pasco, kulikoni?
Mkuu Mag3, breaking news ya Tina ilishushwa humu saa 8 usiku na ikadumu hivyo hivyo hadi saa 2 asubuhi, six hours!, without any update or any collaboration. Nilipopata confirmation toka mtandao mwingine, niliomba msamaha kwa Tina, nikaweka ile confirmation pamoja na picha, ile ile confirmation, post hiyo ilifutwa!, nilianzisha thread ya Kibanda Kama Dr. Ulimboka!, Nae Kupelekwa Afrika Kusini ..., thread hii ikafungwa!.

Mara tuu baada ya kutekwa kwa Dr. Ulimboka, nilianzisha thread ya Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ... hivyo hiki kilichomtokea Kibanda, kimekuwa crafted very carefully ili kifanane na kisa cha Ulimboka just to "make belive" kuwa ni wale wale "wa Ulimboka!" kwa lengo la kupoteza tuu watu maboya!.

Kwa sasa naomba tuzizungumze mengi, lets keep wish him a speedy recovery then we can dig to the bottom of it!.

Pole sana Kibanda, get well soon!.
Pasco.
 
Ila mimi jamani hii style yao wanayoitumia yakun'goa kucha na meno kwa kutumia pair of pliers ndio inanimaliza,hivi mwisho wa hii kitu ni nini jamani,tutafakari na kujiuliza who is behind these scenes,i feel like cold running up my spine,it's horrifying really,hatujui kesho atakuwa nani!
 
Endelea kuamini kuwa aliyekutwa na ngozi ndiye aliyekula nyama!. Kumbe wengine hamjui 'dupe'!, or 'make belive'! kwa kutumia 'Ulimboka style' ili kuuaminisha umma kuwa ni 'wale wale!' kwa lengo la kuwapoteza tuu maboya 'simple minds', kama nyinyi and you've bought it jumla!.

Pole!, but with time you'll grow up and become 'ordinary mind' and finaly into 'great mind' and by that time, you'll be able to think deep na kutopotezwa na hizi danganya toto za kupotezea maboya.
Pasco.


......
Hapa kuna pointi ya msingi sana. Ni wachache sana wanaweza iona.
 
Back
Top Bottom