Alianza Ulimboka akaja Kibanda atakaefuta mungu amuepushe kazia hiyo
Muajili wake ni Rostam Aziz chini ya Mkurugenzi Mtendaji Hussein Bashe. kampuni Habari Corporation.mwajiri wake ni nani? tupeni taarifa ya tukio zima alitekwa? alivamiwa? au ni nini yaani hii kitu sielewi kabisa
ni fisadi mzoefu rostam bin aziz,kibanda aliamua kufanya kazi kwa mwizi wa rasilmali za watanzania na kusema wimbo wanaoimba chadema wa ufisadi hauna mashiko na wa kishamba,huyo ndio absalom kibanda.mwajiri wake ni nani? tupeni taarifa ya tukio zima alitekwa? alivamiwa? au ni nini yaani hii kitu sielewi kabisa
mwajiri wake ni nani? tupeni taarifa ya tukio zima alitekwa? alivamiwa? au ni nini yaani hii kitu sielewi kabisa
Ila mengine hayamuhusu mungu yapo ndani ya uwezo wa binadamu, style iliyotumika kumtesa Dr Ulimboka ndio hiyo hiyo aliyofanyiwa Kibanda, Kung'olewa meno, kung'olewa kucha na kutobolewa macho.Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation, Absalom Kibanda, kwa sasa yuko Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, akipelekwa Afrika Kusini kwa matibabu.
Ndege imekodiwa na mwajiri wake. Hali yake si nzuri.
Tuungane kumwomba Mungu amjalie apone-arejee salama.
hata mimi nashangaa kwa sababu wakenya wamerudi kwao kupiga kura.
Hivi tunapoambiwa jeshi la police linalinda raia na mali zao manake nini? Hawa police wako wapi raia wanatendewa unyama kila kukicha ktk nchi yao? Pole sana KIBANDA
Alianza Ulimboka akaja Kibanda atakaefuta mungu amuepushe kazia hiyo
Suleman kova yuko studio, kuweni wapole muda sio mrefu filamu mpya itatangazwa rasmi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums