Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Dah laana zote za kumbukumbu la torati 28:15-68 ziwe juu ya kila aliyehusika,he unyama wa aina gani huu
Mmh! kazi kweli.... tuombe mungu amsaidie.
kama ndo hivyo basi isiwe mwisho wa harakati zake kama dr. Ulimboka kwani watajitangazia ushindi kama walivyojitangazia kwa huyu dr.
waliambiwa moi walitoe wakakataa wakidhani madaktari wa south wanasomea mbinguni. Mtu amekaa siku zote hizi na dead body organ kwa uzembe na upuuzi wa wachache. Leo badala ya operation ya kulitoa ingekuwa inafanyika ya kuweka hilo la plastic. Pumbaf zao ila mwenyezi amtibu mjeruhiwa.
MODS!!!!! Hili linaidhalilisha JF please take actionVitendo wakati yeye ni mhusika mkuu...unakumbuka swala la kubenea, Dr Ulimboka, Mwandishi wa channel ten.....
huyu jamaa hapa namnukuu "Neville C. Meena,
Secretary General,
Tanzania Editors Forum - TEF,
Dar es Salaam - Tanzania." ni mnafiki sana.....kulikuwa na haja gani ya kuripoti upasuaji na kutuambia ya Jekey?.....ni heri wange kuumiza wewe Neville kwa kuwa ni mnafiki kuliko watu wote ninao wajua