Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
MLETENI TUMUUE....!
1.kulia ni Kibaka machachari Mkoani Arusha,Mkazi wa Unga limited anaitwa ALLY DANGOTE (19)
Kushoto ni Kibaka mwenzie Hashim Kibwerezi
2.Alikamatwa baada ya mtego wa Polisi Jamii wa mitaa mitatu ya
1.Polisi Jamii wa Kwa baniani
2.Polisi Jamii wa Kanisani
3.Polisi Jamii wa Tindigani
3.Walipowakamata wakawapeleka kwa mwenyekiti wa Mtaa Bw. Abubakar Seif.
4.Mwenyekiti wa mtaa Bw. Abubakar Seif akawapeleka Polisi kituo cha kati Arusha na kuwakabidhi wakiwa wazima wote wawili.
5.Jioni ya leo ndugu walijulishwa kuwa waende wakachukue Maiti zao monchwari.
6.Wananchi wamemimika Chumba cha Kuhifadhia maiti wanaingia na Kuhakikisha kama Kweli ALLY DANGOTE amefariki.
Duuuuhhhh kuua imekuwa kazi nyepesi Kiasi hiki..? Mbeleni italeta shida tu kujua yupi Jambazi yupo siyo Jambazi kwa hao wanaojua Kuua.
Binafsi naona bora wangeuwawa na wananchi wenye hasira kali kama kweli ni wauaji au watu hatarishi kuliko kuhalalisha polisi Kuua watuhumiwa.
SO SIMPLE YANI,HAKUNA NOMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.kulia ni Kibaka machachari Mkoani Arusha,Mkazi wa Unga limited anaitwa ALLY DANGOTE (19)
Kushoto ni Kibaka mwenzie Hashim Kibwerezi
2.Alikamatwa baada ya mtego wa Polisi Jamii wa mitaa mitatu ya
1.Polisi Jamii wa Kwa baniani
2.Polisi Jamii wa Kanisani
3.Polisi Jamii wa Tindigani
3.Walipowakamata wakawapeleka kwa mwenyekiti wa Mtaa Bw. Abubakar Seif.
4.Mwenyekiti wa mtaa Bw. Abubakar Seif akawapeleka Polisi kituo cha kati Arusha na kuwakabidhi wakiwa wazima wote wawili.
5.Jioni ya leo ndugu walijulishwa kuwa waende wakachukue Maiti zao monchwari.
6.Wananchi wamemimika Chumba cha Kuhifadhia maiti wanaingia na Kuhakikisha kama Kweli ALLY DANGOTE amefariki.
Duuuuhhhh kuua imekuwa kazi nyepesi Kiasi hiki..? Mbeleni italeta shida tu kujua yupi Jambazi yupo siyo Jambazi kwa hao wanaojua Kuua.
Binafsi naona bora wangeuwawa na wananchi wenye hasira kali kama kweli ni wauaji au watu hatarishi kuliko kuhalalisha polisi Kuua watuhumiwa.
SO SIMPLE YANI,HAKUNA NOMA.
Sent using Jamii Forums mobile app