Kibaka akiwa hoi Kigamboni

Kibaka akiwa hoi Kigamboni

kirumonjeta

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2008
Posts
3,966
Reaction score
1,968
Kibaka mmoja toka maeneo ya Mji Mwema Kigamboni ameshughulikiwa na wananchi wenye hasira kali karibia kutolewa roho baada ya kuingia nyumba ya watu eneo la kiwanda cha viatu na kuiba simu na nguo majira ya saa 8 usiku wa kuamkia leo.

My take: Vijana acheni kupenda vya dezo mtakufa.
 

Attachments

  • 1423282584034.jpg
    1423282584034.jpg
    166.5 KB · Views: 2,285
....mbona anang'aaa ile mbaya, hata arusini anaingia kabisaa. Kweli mji mwema ni wema kwelikweli au ndo akina kamata mwizi meeeen...!!
 
Huyo si amelala tena kwa starehe kabisa.Nyie mmemkuna tu hamjampiga.
 
Hapoo umetuongopea mkuu kibaka gani hana hata alama ya fimbo au damu mmmmhhh au kamwibia sharobaro wale wa kamata mwizii men kamata mwizii meen huku kashika suruali krb na dushe
 
Tunataka picha zamaiti watukama hawa
 
Huyu kanunua simumpya anatest kama camera inafanyakazi
 
Hapoo umetuongopea mkuu kibaka gani hana hata alama ya fimbo au damu mmmmhhh au kamwibia sharobaro wale wa kamata mwizii men kamata mwizii meen huku kashika suruali krb na dushe

Nadhan huyo ni mlevi au tu na wala sio mwizi...
 
Kupigwa? macho yangu yananiambia hapana.
Ila tu huko makalioni sijui salama au macho yananidanganya?
 
Hyo kibaka hana hata jeraha,ila suruali imeroa kidogo kwny nanihii..au wamembandua???
 
Huyu atakuwa alikamatwa na WANAUME WA DAR, yaani hapo ndio wamemshughulikia hadi mwisho!
 
Wamempiga na mito ya kulalia. Unajua tena wanaume wa Dar nadhani wamemvunja mbavu kwa kumpiga na mito.
 
Back
Top Bottom