kweli mkuuHuyu kanunua simumpya anatest kama camera inafanyakazi
Watakuwa wamemchapa kistaarabuMbpna hana jeraha lolote?
duh ulikuwepo eneo la tukioWamemla kiboga tu....
Hapoo umetuongopea mkuu kibaka gani hana hata alama ya fimbo au damu mmmmhhh au kamwibia sharobaro wale wa kamata mwizii men kamata mwizii meen huku kashika suruali krb na dushe
Kupigwa? macho yangu yananiambia hapana.
Ila tu huko makalioni sijui salama au macho yananidanganya?
View attachment 225036
angekuwa ameiba pesa nyingi kama hawa yasingemkuta hayo.
ulikuwepo eneo la tukio mkuuHaja zote zimetoka kwa kipigo
Mbona hapo nyuma kaloana kimemsibu nini.