Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,380
Kibaka akiiba kuku wa jirani, unakuwa na uchungu sana na huyo kibaka hata kama kuku si wako. Ila Mtawala akigawa maliasili za nchi kwa wageni katika mazingira ya utatanishi, hutaki hata asemwe na akisemwe eti amekoswa adabu!
Kibaka unaweza mtia kiberiti kwa hofu kesho anaweza kuiba na kuku wako.
Swali ni je, Mtawala akigawa maliasili za nchi kwa wageni, hakuwezi kuathiri future ya nchi na hata watoto na wajukuu zako?
Ukihongwa fedha au cheo kutetea watawala, hiyo hela au hicho cheo kitakusaudia wewe milele?
Na je, hicho cheo au hizo fedha zitakuwa na msaada wa kudumu kwa watoto na wajukuu zako?
Hamjiulizi ni kwanini Taifa kama Marekani wanahifadhi tani za mafuta leo hii?
Hamuoni wenzetu wanawaza ya kesho ikiwemo future ya watoto, wajukuu na hata vitukuu wao?
Mnatetea mambo haya, mnawaza kwa kutumia akili au vichwani mna tope kama sio ki...ny..si?
Kibaka unaweza mtia kiberiti kwa hofu kesho anaweza kuiba na kuku wako.
Swali ni je, Mtawala akigawa maliasili za nchi kwa wageni, hakuwezi kuathiri future ya nchi na hata watoto na wajukuu zako?
Ukihongwa fedha au cheo kutetea watawala, hiyo hela au hicho cheo kitakusaudia wewe milele?
Na je, hicho cheo au hizo fedha zitakuwa na msaada wa kudumu kwa watoto na wajukuu zako?
Hamjiulizi ni kwanini Taifa kama Marekani wanahifadhi tani za mafuta leo hii?
Hamuoni wenzetu wanawaza ya kesho ikiwemo future ya watoto, wajukuu na hata vitukuu wao?
Mnatetea mambo haya, mnawaza kwa kutumia akili au vichwani mna tope kama sio ki...ny..si?