Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,284
Hahahah! Smile bwana, huachi kunichekesha kwa sredi zako za kikubwa.
hv ww ni yule digna tulosoma wote uganda ama ni majina tu yamefanana.
Hahahah! Smile bwana, huachi kunichekesha kwa sredi zako za kikubwa.
hii ipo kwenye katiba mpya kama vip hama nchi
wanaume wenye ajira za mwisho wa mwezi itabidi wawe wanaume wa mwanamke mmoja sasa
Sema Bank Statement, au Cash flow. i'm a businessman. Achana na hao wanaosubiri kupanga foleni Bank mwisho wa mwezi.lete salary slip yako kwanza
Na kwann utegemee kipato cha mumeo??kwan wewe huwezi kufanya kazi kwa mikono yako ukajiingizia kipato??yan wanawake bado wanamawazo ya kutegemea kipato cha mume??kweli ndo mana wanawake wengi wanateseka na kunyanyasika sana nowdays!amken wanawake!waume zetu ni wenzi wetu ambao tunashea life together lkn si ndo unamfanya kama Ndo ATM.tuwaheshimu waume zetu na kufurahia sapoti ya kipato chao lkn si ndo kulazimisha eti asilimia kadhaaa ya mshahara wake uje kwangu no!afanye hivyo kwa kupenda kwake.tuwe na ubinadam
sometimes!ni hela zake yeye ndo apange zitumike vipi
ipo kwenye mchakato wa katiba mpya mkuu teh tehMmmh smile bana unaniangusha on this........cant yu think of sisi kuwapiga chini ili kila mtu ale chake??????
May be ni kiama cha ndoa sasa instead
Ila umeulizwa chanzo cha habari naona unapita roundabout..........or u are still thinking?????
ubaya gani si atakupa
wife atakuwa anakufanyia allocation ya fund maana hilo limewashinda
Sasa je? mwanamke lazima atunzwe bana hata kama anazo.Na kwann utegemee kipato cha mumeo??kwan wewe huwezi kufanya kazi kwa mikono yako ukajiingizia kipato??yan wanawake bado wanamawazo ya kutegemea kipato cha mume??kweli ndo mana wanawake wengi wanateseka na kunyanyasika sana nowdays!amken wanawake!waume zetu ni wenzi wetu ambao tunashea life together lkn si ndo unamfanya kama Ndo ATM.tuwaheshimu waume zetu na kufurahia sapoti ya kipato chao lkn si ndo kulazimisha eti asilimia kadhaaa ya mshahara wake uje kwangu no!afanye hivyo kwa kupenda kwake.tuwe na ubinadam sometimes!ni hela zake yeye ndo apange zitumike vipi
ipo kwenye mchakato wa katiba mpya mkuu teh teh
Wala hatuandamani, nikijakuoa hiyo system ni nzuri sana. Maana pesa zikiisha zimesha zikiwepo zipo kila mtu anajua.nadhani wanaume wote mtaandamana lakini ikipitishwa dunia itakuwa na maendeleo sana au unaonaje mkuu
nadhani wanaume wote mtaandamana lakini ikipitishwa dunia itakuwa na maendeleo sana au unaonaje mkuu
wanaume wameumbwa mateso matesooooo kuhangaika..........ukizaliwa ww ni kijana kupata kazi kwako itakua tabu......oohooooo kijanaaaa...........umenikumbusha mbali sana shost.........jamani sasa hv mishahara ya wanaume inaingizwa kwenye a/c za wake zao hata kama wife ni mother house ofisi inamfungulia a/c inamuwekea mshahara woote wa mzee nyumba ndogo zitakomaje
heri nitafute mchumba mwenye mshahara mnono a/c yangu ijae mie
mwanamke opportunity bwana
kweli wanaume mmeumbwa mateesooo matesoo kuhangaika
oaoaunaakili sana SULTANI mwanamke matunzo bwana alaaSasa je? mwanamke lazima atunzwe bana hata kama anazo.
Huwezi kuolewa kwa mtazamo huu.Afadhali hata wanaofanya kazi usiku na kulala mchana.jamani sasa hv mishahara ya wanaume inaingizwa kwenye a/c za wake zao hata kama wife ni mother house ofisi inamfungulia a/c inamuwekea mshahara woote wa mzee nyumba ndogo zitakomaje
heri nitafute mchumba mwenye mshahara mnono a/c yangu ijae mie
mwanamke opportunity bwana
kweli wanaume mmeumbwa mateesooo matesoo kuhangaika
umeona shosti hee kuna mwanaume hela inatoka kwa manaaati yaani anatoa kidogo akate roho. mwanamke matunzo bwana beby chukua laki tano ya window shoping nini hadi rahawanaume wameumbwa mateso matesooooo kuhangaika..........ukizaliwa ww ni kijana kupata kazi kwako itakua tabu......oohooooo kijanaaaa...........umenikumbusha mbali sana shost.........
:focus:ila kumlisha mtu mpaka afe ni kazi ujue ama kweli uanaume kweli kazi khaa! kila tatizo likishindwa kupatiwa solution lawama zote kwa mwanaume wa familia hiyo........utawasikia eti ivo anajiita mwanaume kabisaaaaa......
:lol::lol::lol:MWANAUME PESA SIO SHATI NA SURUALI JAMANI:lol::lol::lol: