Kheri James, achana na sisi kabisa

Kheri James, achana na sisi kabisa

Acha umburula wewe, ulijuaje. Mwenyekiti asijibiwe meseji umewahi kusikia wapi au na wewe ni Kigogo
umburula ni wewe usiyetaka kuchangia hoja kwa haki...swala la meseji acha na hizo hotuba za vitisho nazo..maana waswahili wakipata pakutokea mmhh ..achana na sms vipi kuhusu hotuba nazo alijuaje ???
 
Ninakumbuka hii kauli,
Sijui nini kinawaogopesha?
Lakini wameumiza mioyo ya watu ni basi tu hatupashwi kujichukulia sheria mikononi
Ila huyu nusu kiumbe hastahili hata kusimama na kuwaambia WaTz hata neno moja
 
Wewe nae walewale, ungewashauri wenzio wakiri makosa kipindi baba yao yupo tungejua wana nia ya dhati, hizi ni hadaa.

mm sifanyi politics wala staki kujihusisha uko, my comment was from a wise man perspective
 
Katiba yenyewe ya ccm inaeleza wazi kuhusu Utu , ila huyu jamaa alivuka viwango na pia media zetu hazina uadilifu kabisaa zikawa zina report ujinga ule
Hapana, ilikuwa sahihi kabisa kuripoti.
Leo tungekuwa na references zipi?
 
Mimi nimejifunza:-

1. Dunia Mapito
2. Tenda Haki.
3. Bwana asipoulinda mji wake walindao wanakesha bure.....(Wale Wahutu wenye silaha,Jammer,ambulance DR kama wote etc)
4. Kutesa kwa zamu
5. Yatima Hadeki.
6. Hakuna marefu yasiyokuwa na Mwisho.
7. Muosha huoshwa.
8. Kiburi si maungwana.
9. Sisi wote ni wa mungu na kwake tutarejea.
10. Cheo ni Dhamana.

View attachment 1738084

View attachment 1738086
Hii hapo juu ni nini?
 
Kauli zao na matendo Yao ziliumiza sana watu mwilini na rohoni Sasa ni wakati wao wa kulipa na kupatilizwa uovu wao.
 
Hivi wewe mtoa mada na wenzio ni mna matatizo ya akili au ni uyatima wa siasa unawasumbua.

Kila mtu akiandika nyuzi ni kulopoka lopoka tu mamaaa mamaa....sasa kati ya wewe na henry james nani ni mtoto halisi wa huyo mnaemwita mama.Mwenzio anayo namba yake na anamtext sasa wewe mwenzangu na mie hata mtandao anaoutumia huujui na bado unajivimbisha mashavu.

Embu tutoleeni ujinga wenu wa kukuita Rais wetu mamaaa mamaa utafikili mpo mayatima wa siasa.
Eeeenhe, EEEeeehe Bhwanaah.

Mmelewa hadi mnajitapikia kiasi hiki?

Ulevi wenu huu utakapowaisha kichwani, mtajiona nanyi bado ni binaadam?

Huyo mama, ni mama yenu au mmemnunua dukani?

Kinachokuvimbisha kifua ni nini, hicho chama?

Omba sana, ulevi utakapokwisha kichwani ndipo utakapotambua kwamba nchi hii sio mali yenu, ni mali ya waTanzania.

Hao polisi mnaojivunia kuwapiga watu, siku itawadia, mitutu itageuziwa kwenu.
 
Mimi nimejifunza:-

1. Dunia Mapito
2. Tenda Haki.
3. Bwana asipoulinda mji wake walindao wanakesha bure.....(Wale Wahutu wenye silaha,Jammer,ambulance DR kama wote etc)
4. Kutesa kwa zamu
5. Yatima Hadeki.
6. Hakuna marefu yasiyokuwa na Mwisho.
7. Muosha huoshwa.
8. Kiburi si maungwana.
9. Sisi wote ni wa mungu na kwake tutarejea.
10. Cheo ni Dhamana.

View attachment 1738084

View attachment 1738086
OOoooh; EeeenhnHeeee!

Taaabu Sana dunia hii!

Mtu huyo, sijui akilini mwake alikuwa akiwaza nini wakati huo.

Picha inaonyesha alikuwa na furaha sana, kukutana na watu wake!

Sasa mabunduki hapo yalikuwa ni ya kazi ?
 
Hii hapo juu ni nini?

Pitia hapa chini utapata maelezo.


 
OOoooh; EeeenhnHeeee!

Taaabu Sana dunia hii!

Mtu huyo, sijui akilini mwake alikuwa akiwaza nini wakati huo.

Picha inaonyesha alikuwa na furaha sana, kukutana na watu wake!

Sasa mabunduki hapo yalikuwa ni ya kazi ?
Ndio cha kushangaza ,rais wa wanonge ,alikuwa anapendwa na wanyonge,kwenye mikutano walikuwa wanajaa wanyonge lakini alikuwa anaogopa kulipuliwa mabomu na wanyonge.
 
Walitushinda kwa mitutu ya bunduki na usalama wa taifa. Mungu akasema mbona kazi ndogo sana hii ngoja nipige mchungaji na kila fala atawanyike. Hili Ni funzo kuwa siku moja Mungu ataamua kuitoa CCM mwenyewe,na sisi tutanyamaza kimyaaa tukiangalia. Na CCM na usalama wao wa taifa hawatoamini. Halaf hesabu itaanza kupita,kila mtu atalipwa kwa ubaya wake
Bwana Heri ...... naona unataka sasa kuwa Bwana Shari!!! Unautaka mswamaha kwa kosa gani? Hilo kosa ulifanya lini? Na uliyemfanyia kosa ni nani? Kwa nini mswamaha uutake sasa Bwana Shari!!
 
mm sifanyi politics wala staki kujihusisha uko, my comment was from a wise man perspective
Kwenda huko Takataka wewe,Eti Wiseman,baada ya Magufuli kufa ndo mnajifanya ma Wisemen?
Mlidhani Magufuli ni MUNGU hatakaa afe?
Washenzi wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom