snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,322
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Heri ya mwaka mpya mwalimu wangu wa Volleyball...
Sijui kama umenimiss kama nilivyokumisi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Heri ya mwaka mpya mwalimu wangu wa Volleyball...
Sijui kama umenimiss kama nilivyokumisi
Polisi wenyewe mpaka muda huu wameufyata! Maana hata hawamuelewi huyu mama anataka nini! Sasa hui ujasiri wa kuwapiga watu watautoa wapi?
Nani wa kutupiga Tena? Mtesi. wetu yupo kuzimu anasubiri moto wa mileleKama mmeshakua sugu sasa mkipigwa msianze kelele zenu
Huyu na wapuuzi wenzake akina Ole Sabaya, Bashite, Chalamila, na Mataga wengine walidhani hii nchi ni mali yao! Sasa tuone ile jeuri yao watamfanyia nani kuanzia sasa!
Mkuu,mpe Mungu wetu heshima,jina la MUNGU huanzia na herufi kubwa,"Sir God".Sir god wao ni historia..Wakinywee Kikombe...Nyambafu
Washenzi nyie ,amekufa mungu wenu aliyekuwa anawapa kiburi kwa Samia mtazima fegi nyambafu ninyisasa si amesema wameshakua sugu ama? tatizo la wapinzani wanajikutaga wajuaji sana ingawa sio wote, hawa wanawake wa uku wanajikutaga kama wanajikuataga wajuaji sana, sasa yeye anatuambia amekua sugu ili iweje? kwamba aendelee kupata kichapo si ndo maana yake? badala ya kuraise concerns ya kutoshirikiana nae ama kushirkiana nae ama kuchukua hatua wanatuambia wamekua sugu,
-
si bora ccm iendelee kwa miaka ingine 60
Wewe Punda ,shut up your fu**ken ass, nadhani wewe ndo Kheri James,hatutaki msamaha wake mbwa nyie,mmeua watu wengi sanawakipewa kichapo mtandaoni oooh sjui uonevu unaofanywa na ccm, mara sjui ICC haya mtu ameamua kukiri makosa wanasema wamekua sugu what do you expect
Hakuna Police wa kupiga wapinzani sasa hivi, Shetani yupo kuzimusasa mkawaambie polisi mmekua sugu sasa





Nani analia?Huyo dogo analia lia nini? Ubaya ubaya tu
Huyo Mwenyekiti UVCCM anaitwa "Heri James Magufuli" Katibu Mkuu Hazina anaitwa "Doto James Magufuli", Mwendazake anaitwa "Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli". . . .Huyo kichaa sitaki hata kumsikia!
Halafu nasikia ana undugu na jiwe pamoja na yule jamaa wa hazina
Mwalimu umeanza umbea...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni binadamu mwenzako usimuombee mabaya, tusameheane Mungu anatutaka hivyo...Anatakiwa afungwe huyo mpuuzi haraka sana
Duh!Huyu alisema m"anayedai Magufuli hajafanya kazi asubiri ashufughulikie wake zao, wapate mimba "
sina hamu naye

Ni binadamu mwenzako usimuombee mabaya, tusameheane Mungu anatutaka hivyo...Anatakiwa afungwe huyo mpuuzi haraka sana
Pamoja na hayo siyo vyema kuhukumiana kwa ubaya.... UbarikiweKheri ni kinyago kilichoundwa na ''mtozi' wa Star tv kupitia vipindi vyake kadhaa vya mahojiano.
Pia Kuna uzi humu ndani ukieleza uhusiano wake wa kifamilia na Jiwe
Ni binadamu mwenzako usimuombee mabaya, tusameheane Mungu anatutaka hivyo...Anatakiwa afungwe huyo mpuuzi haraka sana
Pamoja na hayo siyo vyema kuhukumiana kwa ubaya.... UbarikiweKheri ni kinyago kilichoundwa na ''mtozi' wa Star tv kupitia vipindi vyake kadhaa vya mahojiano.
Pia Kuna uzi humu ndani ukieleza uhusiano wake wa kifamilia na Jiwe
Ni sawa ila hakuna binadamu aliyekamilika....Huyu alisema m"anayedai Magufuli hajafanya kazi asubiri ashufughulikie wake zao, wapate mimba "
sina hamu naye
Ni binadamu mwenzako usimuombee mabaya, tusameheane Mungu anatutaka hivyo...Anatakiwa afungwe huyo mpuuzi haraka sana
Pamoja na hayo siyo vyema kuhukumiana kwa ubaya.... UbarikiweKheri ni kinyago kilichoundwa na ''mtozi' wa Star tv kupitia vipindi vyake kadhaa vya mahojiano.
Pia Kuna uzi humu ndani ukieleza uhusiano wake wa kifamilia na Jiwe
Ni sawa ila hakuna binadamu aliyekamilika....Huyu alisema m"anayedai Magufuli hajafanya kazi asubiri ashufughulikie wake zao, wapate mimba "
sina hamu naye