Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Walitushinda kwa mitutu ya bunduki na usalama wa taifa. Mungu akasema mbona kazi ndogo sana hii ngoja nipige mchungaji na kila fala atawanyike. Hili Ni funzo kuwa siku moja Mungu ataamua kuitoa CCM mwenyewe,na sisi tutanyamaza kimyaaa tukiangalia. Na CCM na usalama wao wa taifa hawatoamini. Halaf hesabu itaanza kupita,kila mtu atalipwa kwa ubaya wake
