"Khatima ya Zanzibar na Mustakbali wa Muungano" - Seif Sharif Hamad

Hivi umefika kweli Zanzibar? hao watanganyika 1000 ni nusu tuu ya wale wanaojiita wamasaai . Kwa taarifa yako watanganyika wanaoisha Zanzibar hawapungui laki moja (100,000)... Hawa ni raia tuu. <br />
<br />
Hakuna mzanzibari anaesubiri kujengewa hoja na Dr,Slaa au Mtikila na wengine , hilo ilikuwa tu, kukumbusha kwamba sio wazanzibari tuu , wanaotaka serikali tatu. Na wewe na kundi lako mnaoshikilia serikali mbili nikidogo sana iwe kwa Tanganyika au kwa Tanzania kwa jumla. Mimi binafsi sitaki hata kuusikia muungano na wala sina haja ya kujenga hoja kwa hilo.<br />
<br />
Wanachodai wazanzibar ni kurudushiwa kwa mamlaka ya serikali ya SMZ. Watu wamechoka na muungano wa serikalimbili &quot;butu&quot;. Serikali tatu, Tanganyika, Zanzibar na Muungano. Hiyo formula mnayotumia kugawa mapato ya muungano ndio formula hiyo hiyo itumike kulipia gharama za muungano.
<br />
<br />
Mkuu Takashi heshima mbele, unaweza kuniambia kwa nini wanzazibar wanataka mamlaka ya serikali ya SMZ wakati hiyo serikali tayari ipo na nadhan ina mamlaka kamili? Kingine SMZ ilikaa madarakani kabla ya Muungano kwa muda wa siku kama 100, unaweza kuniambia SMZ ndani ya siku 100 za kwanza nje ya Muungano ilifanya nini cha maana na ilikuwa na mamlaka gani kabla ya Muungano na sasa mamlaka hayo hayapo baada ya Muungano?
 
<br />
<br />
Mkuu Takashi heshima mbele, unaweza kuniambia kwa nini wanzazibar wanataka mamlaka ya serikali ya SMZ wakati hiyo serikali tayari ipo na nadhan ina mamlaka kamili? Kingine SMZ ilikaa madarakani kabla ya Muungano kwa muda wa siku kama 100, unaweza kuniambia SMZ ndani ya siku 100 za kwanza nje ya Muungano ilifanya nini cha maana na ilikuwa na mamlaka gani kabla ya Muungano na sasa mamlaka hayo hayapo baada ya Muungano?


Mkuu Masuke, Serikali ya SMZ ipo kwa jina tuu, lakini haina mamlaka yeyote. Kwa maana mamlaka yake ni ndani ya Zanzibar tuu...SMZ haiwezi kufanya uhusiano wa kimataifa , achilia mbali nchi na nchi lakani hata yale mashirika ya kimaendeleo ya kimataifa bila ya ruhusa kutoka Dar ...

Zanzibar ili kua na kiti chake UN...Hapo ilikua na uwezo wa kufanya uhusiano wa kimataifa na nchi yeyote .
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kimeahidi kuendelea kutetea muundo wa serikali mbili katika sura ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katibu Mwenezi wa CCM Zanzibar, Issa Haji Gavu, alisema kushindwa kutetea sura ya sasa ya Muungano ni kwenda kinyume na sera na ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Gavu alisema chama chake kinaamini sura iliyopo ya Muungano inazidi kuungwa mkono na wananchi wengi na ndio maana kikashinda Uchaguzi Mkuu mwaka jana.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya vipeperushi kusambazwa mjini Zanzibar kumtaka Waziri wa Kilimo, Mansour Yusufu Himid, kujiuzulu kwenye nyadhifa zake baada ya kuunga mkono Muungano wenye muundo wa serikali tatu.
Akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, makazi, Maji na Nishati, Mansour ambaye ni mjumbe wa NEC na Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi ya CCM Zanzibar, alisema Muungano wa sasa ni butu na wakati umefika wa kuangalia mwelekeo wa serikali tatu.
Katibu huyo Mwenezi wa CCM aliwaambiwa waandishi wa habari kuwa viongozi wanaodai serikali tatu wanapingana na sera na ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
“CCM itaendelea kulinda na kutetea muundo wa serikali mbili katika mfumo wa Muungano kwa sababu sera hiyo ndiyo iliyotupatia ushindi katika uchaguzi mkuu mwaka jana,” alisema Gavu.
Alisema kwa msingi huo wanachama na viongozi wanatakiwa kusimama imara kutetea serikali ya serikali mbili, lakini kila mwananchi atakuwa na uhuru wa maoni utakapofika mjadala wa Katiba mpya.

CCM inatawala kimabavu Zanzibar. Tangu kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi CCM haijashinda hata chaguzi moja Zanzibar. Lakini ,tayari sasa hivi hao waliokuwa wakitumiwa wameanza kuamka. Vibaraka waliobakia ni wachache sana na muda wao unakaribia kwisha. Vile vitisho kutoka Dodoma havina makali tena Zanzibar.

Vipeperushi vimetokea bara kufanya uchochezi, lakini watu wa Zanzibar wamegundua zile njama zenu. Labda mpeleke vingine.
 
Hivi nani anahitaji zaidi muungano wa Tanganyika ama wazanzibari im sick n tired with lets take our part ways kila m2 achukue chake then 2jue nani anamhitaji mwenzake zaidi 2mechoshwa na malalamiko na njia ya kupata uamuzi wa busara ni kuuliza wananchi watuletee kura za maoni (referendum) then we'll decide
 
[
QUOTE=Nguruvi3;2284898]Heee! mara ya tatu(record ipo) unataka serikali 3 hoja ikifika shingoni hutaki tena. Wazbar wanadai kurudishiwa mamlaka kutoka kwa nani? mamlaka sio kama dau ni uwezo, sasa unataka kusema hanma uwezo wa kujitawala!!

Mimi msimamo wangu uko pale pale. Nadhani tunatofautiana matumizi ya kiswahili na hii inachangia kutokunielewa. Kwa kifupi, mimi nataka tuelekee kwenye serikali tatu au tuvunje muungano....sasa naona hii iko wazi zaidi... Wewe unataka serikali mbili kuelekea moja. Nadhani niko sahihihi hapa?

Hiyo ndoto yako ya kwamba iko siku kutakua na serikali moja, naona ni ndoto ya mchana... kwa maana ni ndoto ya kupuuzwa...
 
Hivi nani anahitaji zaidi muungano wa Tanganyika ama wazanzibari im sick n tired with lets take our part ways kila m2 achukue chake then 2jue nani anamhitaji mwenzake zaidi 2mechoshwa na malalamiko na njia ya kupata uamuzi wa busara ni kuuliza wananchi watuletee kura za maoni (referendum) then we'll decide

Hapo umeongea mkuu... Tunahitaji kura ya maoni juu ya muungano... Tumechoka vile vile na majina ya kegeli, "mkoa ,wilaya, tarafa ,kata, upuuzi mtupu... Hao CCM ndio wanaogopa kwasabau nini kitatokea wanakielewa.
 
Mimi nitawauliza Wazanzibar tena, na tena hadi waje na jibu lenye kuridhisha..

Hivi mlipopiga kura kuridhia serikali ya MSETO hamkufahamu kwamba mlikuwa mkiunga mkono serikali mbili? Nini hasa sababu ya kuwepo na serikali ya mseto ikiwa CCM uongozi wake wa juu uko bara!..

Je, mliweza kujiuliza ukipiga kura ya HAPANA ilikuwa inapinga serikali ya mseto na kuunga mkono kitu gani?..na hicho mlichokikataa kwa kutopiga HAPANA ni kitu gani?..kwani haitakuwa akili kupiga kura ya kuchagua NDIO ama HAPANA wakati hujui hiyo Hapana inasimamia hoja gani..

Wakuu zangu umeisha funga ndoa, mke ni sehemu ya bwana na kama unataka talaka hakuna sababu ya kufikia makubaliano kugawana majukumu na mamlaka ndani ya nyumba!.. Hainingii akili mnapo omba talaka leo wakati nafasi ilikuwepo mkachagua kusuluhishwa ili kudumisha ndoa yenu..CDM siku zote wamesimama kutetea serikali tatu ni kitu gani haswa kiliwafanya CUF kupindua malengo hayo na kuungana na CCM ambayo kwayo Muungano hauna mjadala - mliungana nao ili iweje!
 
Mimi msimamo wangu uko pale pale. Nadhani tunatofautiana matumizi ya kiswahili na hii inachangia kutokunielewa. Kwa kifupi, mimi nataka tuelekee kwenye serikali tatu au tuvunje muunganoHiyo ndoto yako ya kwamba iko siku kutakua na serikali moja, naona ni ndoto ya mchana.
Ninachosema sema ni kuwa serikali tatu unazozitaka wewe zitakuwaje kiutawala? Hebu nitajie mambo unayodhani yanaweza kuwa ya serikali ya shirikisho. Nitajie 2 tu.
Halafu niambie serikali zitagharamiwa na nani na kwa utaratibu upi?
Kama ukishindwa kujibu maswali hayo, basi usiseme tena serikali 3 kwasababu kasuku anaweza kusema hivyo ingawa hajui maana.

Mimi nasema muungano ni jambo bora bila kujali ni wa namna gani, lakini huu uliojengeka kwa misingi ya Bara kubeba mzigo wa Zbar, no, no.
Hatuwezi kufanya kazi kutwa nzima ili tulipe umeme kwa Wzbar buree! halafu wakimaliza kucheza bao wanatukuna matusi.

Tunachosema sasa ni kuwa kwa vile SMZ ipo, mbara hatakiwi Zbar na wala hana nafasi sasa tunaelekea huku;
Ajira, Ardhi, Elimu kama Wbar wavayogombea mafuta.

Sisi tunasema si halali kijana wa kibara akizunguka anatafuta ajira, ili hali kuna Mzanzibar ameajiri sehemu ambayo kijana huyo ana haki zaidi.
Tunasema Elimu viwango viwe sawa, hakuna upendeleo wa viwango hafifu kutoka Zbar na kuwanyima nafasi watoto wa Kibara wenye uwezo.

Tunasema SMZ ilipie vijana wa Zbar elimu ya juu ikiwa ni pamoja na madeni ya waliohitimu akiwemo viongozi wa sasa. Hakuna sababu ya kijana wa bara kukosa mkopo na mkopo huo apewe mzbar mwenye kiwango hafifu chini ya upendeleo maalum.
Tunasema, ardhi si ya muungano, kama umejenga bara, wakti sasa wa kuuza maana tutachukua na kukutupia begi lako.

nikuulize ninahitaji muungano ili iweje, maana hata kama haupo I have nothing to lose. Msimamo wangu ni kuwa tumekuwa wakarimu na tunapata fadhila za matusi, sasa basi ondokeni hatuhitaji malalamiko na laana zenu bila makosa. Tuwabebe mgongoni halafu mrushe mateke hovyo!! Ondokeni rudini kwenye nchi ya asali na maziwa, mkiamua kukaa bara muwe na adabu, mfanye kazi, muache kidomodomo, halafu muende shule.
 
Mimi nitawauliza Wazanzibar tena, na tena hadi waje na jibu lenye kuridhisha..

Hivi mlipopiga kura kuridhia serikali ya MSETO hamkufahamu kwamba mlikuwa mkiunga mkono serikali mbili? Nini hasa sababu ya kuwepo na serikali ya mseto ikiwa CCM uongozi wake wa juu uko bara!..

Je, mliweza kujiuliza ukipiga kura ya HAPANA ilikuwa inapinga serikali ya mseto na kuunga mkono kitu gani?..na hicho mlichokikataa kwa kutopiga HAPANA ni kitu gani?..kwani haitakuwa akili kupiga kura ya kuchagua NDIO ama HAPANA wakati hujui hiyo Hapana inasimamia hoja gani..

Wakuu zangu umeisha funga ndoa, mke ni sehemu ya bwana na kama unataka talaka hakuna sababu ya kufikia makubaliano kugawana majukumu na mamlaka ndani ya nyumba!.. Hainingii akili mnapo omba talaka leo wakati nafasi ilikuwepo mkachagua kusuluhishwa ili kudumisha ndoa yenu..CDM siku zote wamesimama kutetea serikali tatu ni kitu gani haswa kiliwafanya CUF kupindua malengo hayo na kuungana na CCM ambayo kwayo Muungano hauna mjadala - mliungana nao ili iweje!

Mkuu Mkandara , siasa huzielewi na hasa siasa za Zanzibar. CUF na CCM hawajaungana , kila chama bado kina sera zake vile vile. Kura ya maoni ililazimika kuweka utulivu wa kisiasa Zanzibar. Na sasa utulivu upo , kilichobakia ni kujipanga na kutetea maslahi ya zanzibar. Sasa wako kitu kimoja kudai haki za Zanzibar katika muungano.

Sio muda mrefu sana mume na mke atajulikana, watu wanajipanga wanasubiri mchakato wa katiba mpya...
 
Ninachosema sema ni kuwa serikali tatu unazozitaka wewe zitakuwaje kiutawala? Hebu nitajie mambo unayodhani yanaweza kuwa ya serikali ya shirikisho. Nitajie 2 tu.
Halafu niambie serikali zitagharamiwa na nani na kwa utaratibu upi?
Kama ukishindwa kujibu maswali hayo, basi usiseme tena serikali 3 kwasababu kasuku anaweza kusema hivyo ingawa hajui maana.

Mimi nasema muungano ni jambo bora bila kujali ni wa namna gani, lakini huu uliojengeka kwa misingi ya Bara kubeba mzigo wa Zbar, no, no.
Hatuwezi kufanya kazi kutwa nzima ili tulipe umeme kwa Wzbar buree! halafu wakimaliza kucheza bao wanatukuna matusi.

Tunachosema sasa ni kuwa kwa vile SMZ ipo, mbara hatakiwi Zbar na wala hana nafasi sasa tunaelekea huku;
Ajira, Ardhi, Elimu kama Wbar wavayogombea mafuta.

Sisi tunasema si halali kijana wa kibara akizunguka anatafuta ajira, ili hali kuna Mzanzibar ameajiri sehemu ambayo kijana huyo ana haki zaidi.
Tunasema Elimu viwango viwe sawa, hakuna upendeleo wa viwango hafifu kutoka Zbar na kuwanyima nafasi watoto wa Kibara wenye uwezo.

Tunasema SMZ ilipie vijana wa Zbar elimu ya juu ikiwa ni pamoja na madeni ya waliohitimu akiwemo viongozi wa sasa. Hakuna sababu ya kijana wa bara kukosa mkopo na mkopo huo apewe mzbar mwenye kiwango hafifu chini ya upendeleo maalum.
Tunasema, ardhi si ya muungano, kama umejenga bara, wakti sasa wa kuuza maana tutachukua na kukutupia begi lako.

nikuulize ninahitaji muungano ili iweje, maana hata kama haupo I have nothing to lose. Msimamo wangu ni kuwa tumekuwa wakarimu na tunapata fadhila za matusi, sasa basi ondokeni hatuhitaji malalamiko na laana zenu bila makosa. Tuwabebe mgongoni halafu mrushe mateke hovyo!! Ondokeni rudini kwenye nchi ya asali na maziwa, mkiamua kukaa bara muwe na adabu, mfanye kazi, muache kidomodomo, halafu muende shule.
Sawa sawa, mimi kwa mtazamo wangu , mambo ya muungano yawe mawili 2 tuu, wizara ya mambo ya ndani na wizara ya Ulinzi...Kila upande utakua na kiongozi wake mwenye madaraka kamili. Kama atakua Rais au waziri Mkuu hiyo kila upande utaamua wenyewe. Kiongozi wa shirikisho atachaguliwa na Bunge la muungano.

Gharama za uendeshaji wa mambo ya muungano yatachangiwa kwa kigezo kama mgao wa mapato ya muungano yanavyo gawiwa... Na nasema hivi kwasababu Zanzibar inapata less than 6% ya mgao. Masuala ya kimataifa kila nchi itakuwa huru kuwa na uhusiano nchi nyengine.

Hayo malalamiko yako mengine , jibu lake ni kuwa na serikali ya Tanganyika . Vingenevyo hautakuwa mkweli . Mimi nataka leo kesho Tanganyika irudi na hapa ndio tutamaliza mvutano . Zanzibar hakuna asali wala maziwa, lakini hawatakaa kimya kuendelea kudhulumiwa. Kazi wanafanya na shule wanaenda. Huwezi kufanya dhulma halafu baadea urudishiwe heshima.
 
Sawa sawa, mimi kwa mtazamo wangu , mambo ya muungano yawe mawili 2 tuu, wizara ya mambo ya ndani na wizara ya Ulinzi...Kila upande utakua na kiongozi wake mwenye madaraka kamili. Kama atakua Rais au waziri Mkuu hiyo kila upande utaamua wenyewe. Kiongozi wa shirikisho atachaguliwa na Bunge la muungano.

Gharama za uendeshaji wa mambo ya muungano yatachangiwa kwa kigezo kama mgao wa mapato ya muungano yanavyo gawiwa... Na nasema hivi kwasababu Zanzibar inapata less than 6% ya mgao. Masuala ya kimataifa kila nchi itakuwa huru kuwa na uhusiano nchi nyengine.

Hayo malalamiko yako mengine , jibu lake ni kuwa na serikali ya Tanganyika . Vingenevyo hautakuwa mkweli . Mimi nataka leo kesho Tanganyika irudi na hapa ndio tutamaliza mvutano . Zanzibar hakuna asali wala maziwa, lakini hawatakaa kimya kuendelea kudhulumiwa. Kazi wanafanya na shule wanaenda. Huwezi kufanya dhulma halafu baadea urudishiwe heshima.
Kwa hiyo kwa sababu Zanzibar inagawiwa less than 6% ya mgao mchango wake kwa serikali ya muungano itakuwa less than 6%? You must be joking!
 
Kwa hiyo kwa sababu Zanzibar inagawiwa less than 6% ya mgao mchango wake kwa serikali ya muungano itakuwa less than 6%? You must be joking!
Tena hawaelezi pato la taifa wanachangia nini, Wzbar wanalalamika hata kama utawapa bure. Umeme wa bilioni 50 hawajalipa na hawaoni hiyo ni advantage. Kwa bajeti ya Znz bilioni 50 ni 10%. Hapo hatujasema mamilioni ya elimu, ajira na fursa za upendeleo wanazopewa.

Takashi kwanini unadhani wizara ya mambo ya ndani na ulinzi vinapaswa kuwa vya shirikisho na si mambo kama elimu na afya!
Je mamlaka ya huyo kiongozi wa shirikisho yatakuwa ni yapi. Na kwanini achaguliwe na bunge na ni bunge gani litamchagua?
 
Tena hawaelezi pato la taifa wanachangia nini, Wzbar wanalalamika hata kama utawapa bure. Umeme wa bilioni 50 hawajalipa na hawaoni hiyo ni advantage. Kwa bajeti ya Znz bilioni 50 ni 10%. Hapo hatujasema mamilioni ya elimu, ajira na fursa za upendeleo wanazopewa.

Takashi kwanini unadhani wizara ya mambo ya ndani na ulinzi vinapaswa kuwa vya shirikisho na si mambo kama elimu na afya!
Je mamlaka ya huyo kiongozi wa shirikisho yatakuwa ni yapi. Na kwanini achaguliwe na bunge na ni bunge gani litamchagua?
Wizara ya mambo ya ndani na Ulinzi, kwasababu hiyo ndio sababu kubwa ya upande wa Tanganyika kwamba wao wanalinda mapinduzi au wana wasiwasi kama eti Sultani atarudi. Wizara nyengi zisiwe za muungano kwasabau hizi zinahusiana na masuala ya jamii na maendeleo ya kila nchi. Hatuwezi kuwa limited katika masuala fulani...Na hii itachangia ushindani wa kimaendeleo.

Tunaona nchi jirani kama Ruanda wanavyopiga hatua ,pamoja na kwamba sio muda mrefu sana walikua kati machafuko. Zanzibar kuendela kuwa chini ya himaya ya Taganyika haitaendelea , kamwe. Na kuendelea kudumazwa kiuchumi haisaidii Tanganyika wala Zanzibar.
Mamlaka ya kiongozi wa shirikisho yatakuwa largely ceremonial , atakua mkuu wa nchi ambae hanauwezo wa kungila mambo ambayo si ya muungano. Achaguliwe na kwasababu nafasi yake iwe ina zunguka kwa kila upande kila baada ya miaka 8. Atachaguliwa na Bunge la muungano kwa mfumo mpya utakao wekwa...
 
Kwa hiyo kwa sababu Zanzibar inagawiwa less than 6% ya mgao mchango wake kwa serikali ya muungano itakuwa less than 6%? You must be joking!

Sasa kwenye mgao mnawambia kama wao ni sawa na "ka-wilaya tu, cha Tanganyika" lakini kwenye kuchangia mnataka iwe nchi kamili , iwe 50/50 kila upande...I hope this is not a joke!
 
[/B]
Wizara ya mambo ya ndani na Ulinzi, kwasababu hiyo ndio sababu kubwa ya upande wa Tanganyika kwamba wao wanalinda mapinduzi au wana wasiwasi kama eti Sultani atarudi. Wizara nyengi zisiwe za muungano kwasabau hizi zinahusiana na masuala ya jamii na maendeleo ya kila nchi. Hatuwezi kuwa limited katika masuala fulani...Na hii itachangia ushindani wa kimaendeleo.

Tunaona nchi jirani kama Ruanda wanavyopiga hatua ,pamoja na kwamba sio muda mrefu sana walikua kati machafuko. Zanzibar kuendela kuwa chini ya himaya ya Taganyika haitaendele , kamwe. Na kuendelea kudumazwa kiuchumi haisaidii Tanganyika wala Zanzibar.
Mamlaka ya kiongozi wa shirikisho yatakuwa largely ceremonial , atakua mkuu wa nchi ambae hanauwezo wa kungila mambo ambayo si ya muungano. Achaguliwe na kwasababu nafasi yake iwe ina zunguka kwa kila upande kila baada ya miaka 8. Atachaguliwa na Bunge la muungano kwa mfumo mpya utakao wekwa...
Takashi lazima uelewe kuwa unaongea na waelewa.Hujibu maswali bali unapenda hadithi sana. Swali wizara ya ndani na wizara ya ulinzi kwanini.

Zbar siku zote haitaki kuvunja muungano kabisa ila inataka kuwe na namna ambayo itaiwezesha kulinda maslahi yao ambayo nje ya muungano yanaleta matatizo na ndio kiini cha wewe kusema mambo ya ndani na wizara ya ulinzi na si vinginevyo. Kama hataki muungano serikali tatu mnazitaka ili iwe nini? kwanini mnalilia serikali ya Tanganyika irudi na si Watanganyika wenyewe? Tatizo ni Tanganyika au ninyi kurejea kwenu na kuwaacha Watanganyika na yao. Nani amewaomba msaada wa kuirejesha Tanganyika, kama mkiondoka si muungano umekufa Tanganyika inawahusuje?

Wizara ya mambo ya ndani ndiyo yenye uhamiaji unaohusisha na vibali vya ukazi pamoja na ajira, hili ndilo unalotaka ili kuwapa Wzbar uchochoro wa kunufaika bila ya wabara kunufaika.
Wizara ya ulinzi ni kwasababu bajeti ya wizara hiyo ni kubwa sana. Hata kwa udogo wa znz bado bajeti itakuwa ni kubwa na inaweza kuchukua hata nusu ya bajeti ya nchi. Kwa kutambua hilo ndio maana unasema iwe ya muungano ili kubebesha mzigo wabara.

Kama kiongozi wa muungano atakuwa ceremonial, hatuna haja ya kuingia gharama za kuwa na kiongozi asiye na kazi na kwahiyo serikali ya shirikisho haina maana. Na hapa ndipo swali linazuka endapo hatuhitaji muungano ceremonial leader ni kwa ajili ya nini na manufaa gani.

Hakuana Mbara atakayeathrika sultani akirudi na kwahiyo hakuna anayetaka kuzuia ujio wake. Hiyo ni sababu hafifu isiyo na mashiko lakini yenye maana sana kwani tunazidi kuelewa wenzetu uelewa wao upo wapi. Kama Rwanda ime ku inspire hakuna haja ya kusubiri ambizaneni wazbr mrejee nyumbani mkaijenge nchi yenye ya asali, maziwa na jasmini. Lakini kwa idadi iliyopo bara na masilahi mnayopata hatuwezi kuwavumilia mkitutukana kila siku. Ndio maana sasa tuna waondoa kisayansi na baadhi ni waathirika tayari.
Ajira, Ardhi, elimu, kodi, biashara! Tunawaeleimisha watu wetu kwanini atafute ajira aliyopewa mzbar n.k
 
Takashi lazima uelewe kuwa unaongea na waelewa.Hujibu maswali bali unapenda hadithi sana. Swali wizara ya ndani na wizara ya ulinzi kwanini.

Zbar siku zote haitaki kuvunja muungano kabisa ila inataka kuwe na namna ambayo itaiwezesha kulinda maslahi yao ambayo nje ya muungano yanaleta matatizo na ndio kiini cha wewe kusema mambo ya ndani na wizara ya ulinzi na si vinginevyo. Kama hataki muungano serikali tatu mnazitaka ili iwe nini? kwanini mnalilia serikali ya Tanganyika irudi na si Watanganyika wenyewe? Tatizo ni Tanganyika au ninyi kurejea kwenu na kuwaacha Watanganyika na yao. Nani amewaomba msaada wa kuirejesha Tanganyika, kama mkiondoka si muungano umekufa Tanganyika inawahusuje?

Wizara ya mambo ya ndani ndiyo yenye uhamiaji unaohusisha na vibali vya ukazi pamoja na ajira, hili ndilo unalotaka ili kuwapa Wzbar uchochoro wa kunufaika bila ya wabara kunufaika.
Wizara ya ulinzi ni kwasababu bajeti ya wizara hiyo ni kubwa sana. Hata kwa udogo wa znz bado bajeti itakuwa ni kubwa na inaweza kuchukua hata nusu ya bajeti ya nchi. Kwa kutambua hilo ndio maana unasema iwe ya muungano ili kubebesha mzigo wabara.

Kama kiongozi wa muungano atakuwa ceremonial, hatuna haja ya kuingia gharama za kuwa na kiongozi asiye na kazi na kwahiyo serikali ya shirikisho haina maana. Na hapa ndipo swali linazuka endapo hatuhitaji muungano ceremonial leader ni kwa ajili ya nini na manufaa gani.

Hakuana Mbara atakayeathrika sultani akirudi na kwahiyo hakuna anayetaka kuzuia ujio wake. Hiyo ni sababu hafifu isiyo na mashiko lakini yenye maana sana kwani tunazidi kuelewa wenzetu uelewa wao upo wapi. Kama Rwanda ime ku inspire hakuna haja ya kusubiri ambizaneni wazbr mrejee nyumbani mkaijenge nchi yenye ya asali, maziwa na jasmini. Lakini kwa idadi iliyopo bara na masilahi mnayopata hatuwezi kuwavumilia mkitutukana kila siku. Ndio maana sasa tuna waondoa kisayansi na baadhi ni waathirika tayari.
Ajira, Ardhi, elimu, kodi, biashara! Tunawaeleimisha watu wetu kwanini atafute ajira aliyopewa mzbar n.k

Tetizo lenu muungano mumechukulia kama mumeiteka Zanzibar....Hamtaki iwe na uwezo wa kujiamulia mambo yake. Kuhusu kama Sultani atarudi au kulinda mapinduzi ,hizo ni kauli zenu (CCM) kila siku ,sio mimi. Kwahiyo kama Tanganyika na Zanzibar hazitokubaliana juu ya mfumo gani mpya wa muungano , basi itabidi turudi katika option no,2 . Kuvunja muungano.

Wazanzibari waliopo Tanganyika hivi sasa , wapo kwasababu mfumo uliopo hivi sasa unaruhusu kuwepo kwao. Na vile vile, watanganyika waliopo zanzibar . Ikibidi kuondoka kila mtu atarudi kwao . Hao wazanzibari wanaishi hapo kama wageni ndani ya nafsi zao, ndio maana hata ikitokea kufariki ,basi maiti inarudishwa Zanzibar,bila ya gharama yeyote.

Ninachoelewa mimi , wazanzibari wanaofanya kazi Tanganyika ni wale waajiriwa wa wizara za muungano . Mtu mwengine yeyote , aidha amejiajiri mwenyewe au na kuajiri watanganyika. Watanganyika wanafanya kazi Zanzibar ukiachilia mbali waajiriwa wa wizara za muungano, wengi wao wameajiriwa na wazanzibari. Nadhani kunatofauti hapa !

Kuhusu elimu, wazanzibari wengi hivi sasa hawana umuhimu sana kama zamani kusoma bara... Miaka ya sasa wengi wanasoma nje , kwa hilo hamutamkomoa mtu. Kuhusu biashara , hiyo kazi itafanywa Zanzibar na nyinyi baadae mtafata bidhaa...Rudisheni tanganyika mambo mengine yote yata kaa sawa.

Kuna mtu amenifahamisha kama wewe ni kada wa CCM hivi ni kweli ? kama ni kweli basi pole sana...
 
takashi;2293257]Tetizo lenu muungano mumechukulia kama mumeiteka Zanzibar....Hamtaki iwe na uwezo wa kujiamulia mambo yake. Kuhusu kama Sultani atarudi au kulinda mapinduzi ,hizo ni kauli zenu (CCM) kila siku ,sio mimi. Kwahiyo kama Tanganyika na Zanzibar hazitokubaliana juu ya mfumo gani mpya wa muungano , basi itabidi turudi katika option no,2 . Kuvunja muungano.
Hao wazanzibari wanaishi hapo kama wageni ndani ya nafsi zao, ndio maana hata ikitokea kufariki ,basi maiti inarudishwa Zanzibar,bila ya gharama yeyote.
Ninachoelewa mimi , wazanzibari wanaofanya kazi Tanganyika ni wale waajiriwa wa wizara za muungano .
Kuhusu elimu, wazanzibari wengi hivi sasa hawa umuhimu sana kama zamani kusoma bara... Miaka ya sasa wengi wanasoma nje.
Kuna mtu amenifahamisha kama wewe ni kada wa CCM hivi ni kweli ? kama ni kweli basi pole sana..

Ha ha ha! hili la uchama napenda kukufahamisha kuwa ni mwanaharakati na mpenda maendeleo, sio mwanachama wa mrengo wowote ingawa naamini kuwa siasa safi ni kichochoe kizuri cha maendeleo. Lakini tujiulize je ukiwa CUF/CCM au Chadema hiyo inakuzuia kuwa huru kimawazo?

Hilo la mapinduzi nawaachia wenyewe kwasababu miongoni mwenu wapo wanaosema daima na wengine wanasema mapinduzi ziiii.
Inategemea kichwani kuna nywele za aina gani. Kama kipili pili basi mapinduzi daima, kama zimevurugika basi mapinduzi ni udhalimu wa Nyerere.
Hadi leo hamjakubaliana uhalali wa mapinduzi na sina ubavu wa kuwashawishi au kuelimisha juu ya hilo.

Hiyo option ya 2 ya kuvunja muungano mnayo ninyi, Mbara hana cha kupoteza!!
Hilo la maiti kurudishwa bila gharama nilikuwa silijui, yaani maiti inasafirishwaje bila kulipiwa!! Lakini wamakonde, wanyakyusa, wahaya, wasukuma, wachaga, wasambaa n.k nao pia hurudisha ndugu zao makwao kwa mazishi, je ina maana wanaishi huko waliko kama wageni na si Watanzania!!
Anyway hata mantiki ya hoja yako siioni.

Nitajie kuna wizara gani iliyoko bara ambayo si ya muungano! taja moja tu.
Elewa pia maana ya ajira si wizarani ni soko la ajira liwe la binafsi au serikali lakini linaongozwa na sheria za ajira. Kuna wenzenu wanaomba vibali vya kazi, je ninyi mnaomba pia. Hapa kwanza unatakiwa uelewe maana ya soko la ajira nadhani utaelewa maana halisi.

Takashi, hao wzbar wanaosoma nje ni wale wa maalimu baada ya vurugu wakatimkia nje.
Masikini wapo na wanasoma kwa kodi za bara, ikiwa ni pamoja na umeme wa buree wakirudi likizo.

Unaposema wanasoma nje unawakejeli Wzbar wenzako. Huwezi kuniambia mtu asiyeweza kujenga maliwato na anasubiri bamvua ana uwezo wa kumlipia mtoto Nairobi University!!!
Usiangalie watoto wa waarabu wawili watatu angalia entire population. Mvuvi anayeshona nyavu na dau la watu watatu unaponiambia anaweza kumsomesha mtoto university of Johanessburg naona unamdhalilisha.

Msimamo wangu ni kuwa muungano ni jambo zuri kama wenzetu wanavyofanya, lakini muungano huo usiwe wa umimi, ubinafsi, changu ni changu chako ni chetu, malalamiko yasiyoisha na yasio na tija, wala muungano wa kubebeshana mizigo.

Muungano usio na malalamiko ya kipuuzi yasio na mashiko wala kufikirisha. Fikiria mtu anaposema hatujawahi kuwa na mkuu wa majeshi, hatujawahi kuwa na mkuu wa polisi, tugawane sawa ingawa sichangii chochote, ni haki yetu kuwa na umeme wa bure, mafuta si ya muungano, watoto wetu wasome kwa kodi zao, tusiwape ajira ila tupewe zao, tusiwamilikishe ardhi ila watumilikishe yao, tuwe na bandari huru bidhaa zetu ziingie kwao bure, tuwe na mawaziri sawa gharama ni zao, tuwachome moto n.k

Ikifika hapo nasema sitaki 1,2,au 3 waondoke kwa usalama na watuache kwa usalama.Sina sababu ya kutamka kuvunja kwasababu wakiondoka na mabegi yao mashallah muungano umehitimishwa.

Zbar for Zbaris, rejeeni kwenye nchi yenye asali na mito inayotirirka maziwa atakayewafuata huko mgomvi.
 
Ha ha ha! hili la uchama napenda kukufahamisha kuwa ni mwanaharakati na mpenda maendeleo, sio mwanachama wa mrengo wowote ingawa naamini kuwa siasa safi ni kichochoe kizuri cha maendeleo. Lakini tujiulize je ukiwa CUF/CCM au Chadema hiyo inakuzuia kuwa huru kimawazo?

Hilo la mapinduzi nawaachia wenyewe kwasababu miongoni mwenu wapo wanaosema daima na wengine wanasema mapinduzi ziiii.
Inategemea kichwani kuna nywele za aina gani. Kama kipili pili basi mapinduzi daima, kama zimevurugika basi mapinduzi ni udhalimu wa Nyerere.
Hadi leo hamjakubaliana uhalali wa mapinduzi na sina ubavu wa kuwashawishi au kuelimisha juu ya hilo.

Hiyo option ya 2 ya kuvunja muungano mnayo ninyi, Mbara hana cha kupoteza!!
Hilo la maiti kurudishwa bila gharama nilikuwa silijui, yaani maiti inasafirishwaje bila kulipiwa!! Lakini wamakonde, wanyakyusa, wahaya, wasukuma, wachaga, wasambaa n.k nao pia hurudisha ndugu zao makwao kwa mazishi, je ina maana wanaishi huko waliko kama wageni na si Watanzania!!
Anyway hata mantiki ya hoja yako siioni.

Nitajie kuna wizara gani iliyoko bara ambayo si ya muungano! taja moja tu.
Elewa pia maana ya ajira si wizarani ni soko la ajira liwe la binafsi au serikali lakini linaongozwa na sheria za ajira. Kuna wenzenu wanaomba vibali vya kazi, je ninyi mnaomba pia. Hapa kwanza unatakiwa uelewe maana ya soko la ajira nadhani utaelewa maana halisi.

Takashi, hao wzbar wanaosoma nje ni wale wa maalimu baada ya vurugu wakatimkia nje.
Masikini wapo na wanasoma kwa kodi za bara, ikiwa ni pamoja na umeme wa buree wakirudi likizo.

Unaposema wanasoma nje unawakejeli Wzbar wenzako. Huwezi kuniambia mtu asiyeweza kujenga maliwato na anasubiri bamvua ana uwezo wa kumlipia mtoto Nairobi University!!!
Usiangalie watoto wa waarabu wawili watatu angalia entire population. Mvuvi anayeshona nyavu na dau la watu watatu unaponiambia anaweza kumsomesha mtoto university of Johanessburg naona unamdhalilisha.

Msimamo wangu ni kuwa muungano ni jambo zuri kama wenzetu wanavyofanya, lakini muungano huo usiwe wa umimi, ubinafsi, changu ni changu chako ni chetu, malalamiko yasiyoisha na yasio na tija, wala muungano wa kubebeshana mizigo.

Muungano usio na malalamiko ya kipuuzi yasio na mashiko wala kufikirisha. Fikiria mtu anaposema hatujawahi kuwa na mkuu wa majeshi, hatujawahi kuwa na mkuu wa polisi, tugawane sawa ingawa sichangii chochote, ni haki yetu kuwa na umeme wa bure, mafuta si ya muungano, watoto wetu wasome kwa kodi zao, tusiwape ajira ila tupewe zao, tusiwamilikishe ardhi ila watumilikishe yao, tuwe na bandari huru bidhaa zetu ziingie kwao bure, tuwe na mawaziri sawa gharama ni zao, tuwachome moto n.k

Ikifika hapo nasema sitaki 1,2,au 3 waondoke kwa usalama na watuache kwa usalama.Sina sababu ya kutamka kuvunja kwasababu wakiondoka na mabegi yao mashallah muungano umehitimishwa.

Zbar for Zbaris, rejeeni kwenye nchi yenye asali na mito inayotirirka maziwa atakayewafuata huko mgomvi.


Mwanaharakati !!!
mwanaharakati gani usiyependa mabadiliko? Hizo harakati za nini? Mimi naweza kusema kama mwanaharakati wa kweli... Na "demand change" katika mfumo mzima wa siasa za Tz. Siasa zilenge katika kuleta maendeleo na sio kuwagawa watu, kuwakandamiza au kuwatawala ,kwa maana ya kuwanyima uhuru wa maoni juu ya mustakbali wa nchi yao.
Mimi ni miongoni katika wale walipata bahati kusoma nje...Nimetoka katika familia ya kawaida na scholarship ilidhaminiwa na IDB ...Na hivi sasa imeengeza idadi ya wanafunzi kutoka nchi za Afrika . Nilisoma Uturuki . Hivi sasa ninaowafahamu ambao wako katika serikali ni Dr, Hussein Mwinyi na Dr, Abdalla Juma ambae ni mbunge wa Rahaleo zanzibar, vile vile ni naibu waziri wa Afrika Mashariki.

Hakuna malalamiko ya kipuuzi katika muungano. Malalamiko ni ya kweli , yanaweza yakaonekana ya kipuuzi kwa kutegemea umetoka upande gani wa muungano. Suala zima la muungano limewekwa siri, na huu ndio UPUUZI mkubwa. Miaka 47 ya kero za muungano huu ni UPUUZI vile vile. Inaoneka wazi kama upande mmoja hauko serious kutafuta ufumbuzi.

Suala la serikali moja hio nakuhakikishia halita tokea. Hao wanaojiita wana CCM zanzibar vile vile hawata likubali. Watu wa zanzibar wanachotaka ni uhuru wa mamlaka ya juu ya nchi yao na hilo wataendelea kulidai mpka kufa ...

Mimi nitamalizia hapa katika mada hii... Kile chambo tumekimaliza sasa tusubiri chambo kingine.
 
Bro kama maalim atatuwachia sisi vijana basi muungano tunauvyeka siku hiyo hivo waache wakaupeleke huko kanisani sio Zanzibar. hatutaki kutawaliwa tena hapa lazima wazanzibari wajitawale wenyewe tumatawaliwa for so long.

Kazi ipo wapi ??? SI bora ukaanzisha Chama kuliko kudandia sera za wengine ? Nakuhakikishia utapata wafuasi kibao ukiwa na sera hizo za kuvunja Muungano siku hihiyo Chama chako/chenu kitakapoasisiwa.
Karibu Zanzibar watamiliki anga lao ,ingawa Mbowe alishindwa kupeleka helikopta huko,wakitishia kuitungua ikiwa itakaribia.Ni wakati wa Utawala wa CCM hao,ila huu wakati wa CUF wanafuata sheria na mikakati ya uhakika ambayo itawezesha Zanzibar kuwa na mamlaka ya anga na kuruhusika kutulisha ndege wazitakazo.
 
[h=1]Smz wanataka Serekali 3,Wz’bar Muungano uvunjike,Tanganyika wanataka tubaki na mfumo huu wa Serekali 1 ya Rep Of Tanganyika.[/h]Written by amini // 25/07/2011 // Habari // No comments

Mimi nasema inaonekana mpaka sasa hivi bado Wzanzibar hatujawa na msimamo moja wakusema kitugani tunataka, hivi sasa kuna tafauti kubwa ya viongozi wa Zanzibar wa sMz na raia wa kawaida Wzanzibar.
Viongozi wa smz wao wanapendelea kuwe na Muundo wa Serekali moja na Wzanzibar walio wengi wanataka Muungano uvunjike kabisa usiwepo.
Sasa mpaka sasa bado Wzanzibar tumetafautiana na viongozi wetu, kuna hatari ya kunahatari ya kutoku-stick kwa one voice ikawa serekali 3 zisije na wala Muungano usivunjike tukabaki na mfumo huu huu wa Serekali 2 lakini uhakika ni mmoja ya Repblic of Tanganyika.
Mimi nahisi huenda tukagonganiswa vishwa kwa vile tuna misimamo miwili tafauti Wzanzibar na viongozi wetu wa smz, wao wenzetu wa Tanganyika wote msimamo wao ni mmoja tu, ni kubaki Serekali hii hii ya Tanganyika ijitayo Tanzania na mfumo huu wa Serekali mmoja ya Repblic of Tanganyika.
Sasa kama hatuku stick kwa sauti moja Wzanzibar basi tujuwe viongozi wetu wa ccm wataitwa Giningi(Dodoma) na wakirudi huko tayari watakuwa ma-Zombi na kuunga mkono Serekali mbili kuelekea mmoja ambayo uhakika wa kilimacho cha wtanganyika ni hii tulio nayo ya Republic of Tanganyika.

Mkuu, hebu andika lugha inayoeleweka, pamoja na kuletwa baraa kwenye shule kusomeshwa bado cha na sha huoni tofauti na siyo tafwauti? Halafu viongozi wenu ni wepi ninyi wenye elimu pana, hebu wataje basi, wote mliowataka wanafanyishwa kazi rahisi na kuvuta mvinyo kwa mirija bara huku, starehe inaheshima! Kweli tunawatunzatunza mjielewe kwanza, mpaka mu-unguja-pemba wa mwisho atakapokuja kujifunza maisha bara na akaelewa ndipo tutawapeni Uhuru! nenda kokote utaikuta serikali ya Tanganyika, teh, tena umejitahidi kusema vizuri!
 
Back
Top Bottom