"Khatima ya Zanzibar na Mustakbali wa Muungano" - Seif Sharif Hamad

Mkuu hilo suala la mafuta ni hoax tu, kuna mtu aliwadanganya wazenji kuwa kuna mafuta. Ukweli ni kuwa kuna mwamba wa mafuta Pemba, na kuna dalili za kuwepo kwa mafuta. Lakini hakuna uhakika kama mafuta yakichimbwa yanaweza kurudisha investement iliyowekwa kwenye uchimbaji, kwa hiyo ni hear say tu inayotumiwa na wanasiasa wenye lengo la kujitafutia madaraka. Hakuna lolote. Kama kweli mafuta yangekuwepo Zanzibar for sure makampuni malafi yangeshafika na kuanza kuchimba, mafuta ya Afrika ni many cases ni mazuri kuliko ya uarabuni, so kama kweli yangekuwepo yangechimbwa tu. Anayesema yapo anatakiwa kutuambia ni lini walifanya utafiti na ni nani na majibu ya utafiti huo yako wapi na yamefanyiwa kazi gani, na waseme ni kwanini hayajafanyiwa kazi.

Mkuu baadhi ya wazanzibar wa ile kauli ya chetu changu, changu changu. So wanajua kabisa wana maana gani. Sidhani kama kuna haja ya kuuliza kama muungano ukivunjika waliko hapa bara watafanya nini. Jibu ni rahisi kabisa walipo hapa bara watarudi kwao, wakitaka kukaa wanakaribishwa, watakaa kama wageni wengine. I am sure wanajua hilo, naona ni vizuri wakiruhusiwa kufanya wanachokitaka. Si kama wao hawajui itakuwaje muungano utakapovunjika, wanajua kabisa lakini wanaona ni heri uvunjike ili wapate mafuta.

wazanzibari wamekua wakidai haki zao kabla ya suala la mafuta kuibuka... Kutokuwepo kwa mafuta hakutamzuwia mzanzibari kudai haki zake, kamwe... Vile vile wazanzibari hawataacha kudai haki zao eti kwasababu kuna wapemba wanamaduka bara...you have invested in a failed strategy...Hao wapemba kama ikibidi watarudi ,na hayo maduka watafungua Zanzibar na nyinyi baadae mtafata bidhaa zanzibar.

kama kweli wanaume rudisheni Tanganyika !
 
mkuu nguruvi3 naungana na wewe kabisa. Tunatakiwa tufike mahali wajue kabisa kuwa hatutaki kunyooshewa vidole, ukweli ni kuwa serikali tatu ni obvious kuwa haziwezekani, umeweka sababu wazi kabisa, nani atakaye zilipia? Wenzetu wanaonekana kuwa hot sana ikifika kwenye benefits, lakini wako mute sana inapofika kwenye responsibilities.

It is very stupid kusikia kuwa wanataka kuishi kwa misaada, bara ndio inawafanya wasipate misaada. Can you imagine mtu anaupigia debe umatonya? Tena hadharani? Hapo ndipo walipofikia wenzetu.

Sasa hivi ni bora tuanza kuwahighlight ili ikifika siku ya siku wajue kuwa hawataruhusiwa hata kuwa wamachinga.

hamna lolote....tunachotaka kusikia ni kurudishwa kwa serikali ya tanganyika sio pumba... Au mnaogopa hamtakua na mafichio mengine?
 
wazanzibari wamekua wakidai haki zao kabla ya suala la mafuta kuibuka... Kutokuwepo kwa mafuta hakutamzuwia mzanzibari kudai haki zake, kamwe... Vile vile wazanzibari hawataacha kudai haki zao eti kwasababu kuna wapemba wanamaduka bara...you have invested in a failed strategy...Hao wapemba kama ikibidi watarudi ,na hayo maduka watafungua Zanzibar na nyinyi baadae mtafata bidhaa zanzibar.

kama kweli wanaeme rudisheni Tanganyika !

Pack of crap, wapemba wenyewe Zanzibar hawatakiwi, ukumbuke kuwa wabara si wajinga, si kama hawana haki zao, kukaa kimya haina maana kuwa hawataki kuzidai.
 
Pack of crap, wapemba wenyewe Zanzibar hawatakiwi, ukumbuke kuwa wabara si wajinga, si kama hawana haki zao, kukaa kimya haina maana kuwa hawataki kuzidai.

tumesikia mengi... sasa tunatka kurudi kwa serikali ya Tanganyika sio pumba... kukaa kimya ni kuridhika na hali ilivyo sasa. Mtaendelea kukaa kimya kwasababu nyinyi ndio mnafaidika zaidi na muungano... au na wewe utanambia kama kuna wapemba wanamaduka bara? na sio bara tuu. Hata Greece ,Italy na Uturuki vile vile.
 
tumesikia mengi... sasa tunatka kurudi kwa serikali ya Tanganyika sio pumba... kukaa kimya ni kuridhika na hali ilivyo sasa. Mtaendelea kukaa kimya kwasababu nyinyi ndio mnafaidika zaidi na muungano... au na wewe utanambia kama kuna wapemba wanamaduka bara? na sio bara tuu. Hata Greece ,Italy na Uturuki vile vile.

Takashi,

Naomba tu nikuulize hivi unajua mwanaume wa kweli anapodhalilishwa husimama kulinda heshima yake katika jamii, ndo maana watu wamekuwa wakipigana, mataifa yakipigana. Sasa Sitta kawambia uwezo wenu mdogo, na hamchangii gharama yeyote katika serikali ya Muungano. Na Jk aliwahi kuwaambia kama mna kitu semeni, sasa kama nyinyi ni wanaume na hamjajificha kwenye sketi za kinamama si mgewaita wabunge wenu warudi toka Dodoma?

Zanzibar ni masikini saana, hivi hujui aslimia 86% ya wazanzibar wanakula mlo mooja tu? jioni wanakula mikate mikavu. Wanaotaka muungano uvunjike ni wenye asili ya kiaarabu, chungeni saana msio na damu ya kiaarabu yaani mara hiii mmesahau jinsi mlivyoteswa na waarabu?????
 
Wanaolazimisha muungano nani? Zanzibar au Tanganyika? Kwanini wewe binafsi unapinga kuwepo kwa serikali tatu? Achilia mbali kuvunja Muungano? sasa ni wakati wa kudai kura ya maoni kwa wa tz wote? Hilo la umeme ni unafiki mtupu, hakuna logic yeyote kwamba mnatoa umeme bure ... Kwamba mna huruma sana au wakarimu sana?Usipige kelele kuwepo kwa wafanyakazi wa-kizanzibari katika wizara za Muungano bara, bili ya kuongelea wanajeshi wa JWTZ. Mimi nimefika Mtwara na sehemu nyengine za Tanganyika , hivi najiuliza kwanini hawa watu wanalazimisha kuwatawala watu wengine wakati wao wenyewe hawana mbele wala nyuma? Hivi nini hasa wanakitaka ?=takashi;2277323]Kama kweli ni mkweli wa hayo maandiko yako ...Basi ungana na wale wanaotaka kuwepo kwa serikali ya Tanganyika...vinginevyo wewe ni mnafiki...Muungano unawaumiza lakini kuwachia huwezi...Serikali tatu hutaki , kuvunja muungano hutaki sasa tukuelewe vipi?
Mheshimiwa Takashi,
Kwanza unatakiwa utulizane halafu ujibu hoja. Kutoa povu kunavuruga mtiririko wa hoja zako.Hoja hujibiwa kwa hoja na si hadithi au ngano.
Hakuna mtu anayelazimisha muungano, ila wapo watu wanolazimisha muungano ambao ni wzbar wanaoishi bara.

Nimeandika sana kuhusu uwepo wa serikali tatu, nilidhani utaelewa lakini kama alivyo waziri wako somo ni gumu. Nina dhima ya kuwaelewesha Wzbar kwanini napinga serikali tatu. Kwa muundo wa sasa serikali ya muungano inaendeshwa na kodi za Tanganyika bila senti tano kutoka Zanzibar. SMZ inalipa mishahara ya wafanyakazi kwa kodi za Mbara. Ukiongeza serikali ya tatu ni kumuongezea mtu wa bara kubeba mizigo isiyomuhusu. Ndio maana wewe na waziri wako humuwezi kueleza serikali tatu zitaendeshwaje na kwa gharama gani.

Nitakupa mfano. Bajeti ya SMZ ni bilion600 sawa na bajeti ya wizara moja tu ya Tanganyika. Ukiwa na serikali ya tatu ambayo ni ya shirikisho itahitaji equal partnership. Haina maana kugawana vyeo tu kama Wbar wanavyodhani bali gharama pia.
Serikali ya tatu ikiwa na bajeti ya bilion 600, Zanzibar itachangia nini???? maana hiyo ndiyo bajeti ikitoa nusu basi haina bajeti!! period.
Kwa mantiki hii nadhani wewe na waziri wako sasa mnaelewa kwani hatutaki serikali tatu. In simple words, Zbar haina uwezo wa kuchangia serikali ya tatu. Mnachotaka ni kumbebesha Mtanganyika mzigo mwingine usiomhusu.

Ima la kuvunja muungano, hili halimuhusu mtu wa Kigoma,Moshi au Musoma kwasababu wao wanaijua Zanzibar kwenye vitabu. Lakini linamgusa Mzbar waliojzazna bara kuanzia msasani, Ilala, makorora, Mwara, Lindi n.k Wao ndio wawe na wasi wasi wa muungano si Mhaya wa Bukoba aliyetulizana kule na maisha yake ya kawaida na ambaye pengine alisikia Zbar katika kipindi cha jografia tu.

Hili la kudai kura ya maoni umepotoka. Tanganyika wadai kura ya maoni ya nini? Mzabar akiondoka bara muungano haupo.
Wzbar ndio wanatakiwa wapige kura ya maoni. Mbara anafaidi ni kutoka Zbar ili tuseme kuwa ana umuhimu wa kupiga kura ya maoni? Nyinyi ndio mnalalamika kuonewa , mna hiari ya kuondoka au kupiga kura ya maoni.
Mpare wa kule Same au Mwanga milimani anahitaji kura ya nini maana hana mpango wa kwenda kuishi Zbar hata kwa bahati mbaya.
Kura ya maoni kwake ni ya nini?

Kama ikibidi kura ya maoni, basi tunaweza kumuomba mbunge wa Ubungo atuwakilishe na jimbo lake ambalo lina idadi na nguvu ya uchumi inayolingana na Zbar. By the way hiyo kura ya maoni atailipia nani?

Wanajeshi wapo wa Zbar huku Bara, na waliopo Zbar haifikii robo ya jeshi lililoajiriwa bara la wzbar ikiwa ni pamoja na wanafunzi vyuoni n.k.
Kwa vile Zbar hawataki muungano,hawa walioajiriwa wanatakiwa waache kazi za bara (ukoloni) warudi Zbar kwanza. Wakiendelea kufanya kazi huku wafunge midomo yao. Tumeanza kuamka na suala la kuwatimua makazini ili vijana wetu wapate ajira sasa linaendelea kupata mwamko.
Viwango vya elimu na ada za bure sasa tunasema basi, SMZ ilipe kama serikali nyingine.

Hili la JWTZ linatumika ili kuhalalisha uwepo wa Wzbar kwenye ajira za bara bila mantiki, ni la mtu aliyekosa hoja. Nitakueleza mimi nilikuwa jeshini.
Tafuta maana ya brigade, platoon, kombania n.k. Unataka kusema Znz haina wanajeshi kwamba waioko ni wabara tu.
Ukishindwa kusema nitakumwagia vitu ili wewe na wenzako mjipange kwa hoja zenye mashiko. Kuna wanajeshi wabara wangapi Znz kwa kutumia logic tu na makisio kutokana na akili zetu za kawaida.

Kuhusu umasikini wa Mtwara, ah! ndugu yangu unashangaa hilo, nenda New Orleans, au Brooklyn au East London, Sao Polo, Ingushetia, Tonga, Fiji, Haiti, Lagos eneo la Sururele, Soweto, Katre bon mauritius, Guand dong, Bombay, Yemen ujombani, ndipo utaelewa kuwa una limitation nyingi sana katika ufahamu na uchambuzi wa hoja. Mtwara si masikini, nenda pemba ujionee bwana! my point is usiangalie Mtwara kama dunia nzima, ipo dunia nyingine Ustadhi wangu!!

Wzbar ushirika ni pale wawili wanapokubali majukumu sawa. Ukitoa 5 na mimi 5 tunasema upo ushirika. Tutakuwa na haki sawa kwa kila jambo.
Ukito 0 na mimi nikatoa 10 hapo ni unyonyaji na huna haki si kwa lolote lile hata kusema tu.

Hebu waambie wana jamvi Serikali tatu zitaendeshwaje na kwa gharama ya nani?? Hili ndilo swali Takashi/ zbar bloga/mzalendo.net au Waziri wenu humtaki kulijibu. Mkijibu hili tu nitaunga mkono serikali 3. Lakini ujinga wa kutamka serikali 3 ili kumvisha mzigo Mtanganyiika No! no! no! na ufunguo wa kuvunja muungano mnao ninyi. Ondokeni katika nchi ya watu na rejeeni kwenye nchi yenu ya asali, maziwa na tende.
 
Tatizo ni kuwa hawana uwezo wa kuelewa hiki ulichoandika hapa!! Walishajazwa hadithi za kusadikika, huwaambii kitu!!!
 
Takashi,

Naomba tu nikuulize hivi unajua mwanaume wa kweli anapodhalilishwa husimama kulinda heshima yake katika jamii, ndo maana watu wamekuwa wakipigana, mataifa yakipigana. Sasa Sitta kawambia uwezo wenu mdogo, na hamchangii gharama yeyote katika serikali ya Muungano. Na Jk aliwahi kuwaambia kama mna kitu semeni, sasa kama nyinyi ni wanaume na hamjajificha kwenye sketi za kinamama si mgewaita wabunge wenu warudi toka Dodoma?

Zanzibar ni masikini saana, hivi hujui aslimia 86% ya wazanzibar wanakula mlo mooja tu? jioni wanakula mikate mikavu. Wanaotaka muungano uvunjike ni wenye asili ya kiaarabu, chungeni saana msio na damu ya kiaarabu yaani mara hiii mmesahau jinsi mlivyoteswa na waarabu?????

Sawa mkuu muda sio mrefu uliobakia ....Mateso ya waarabu watu walikua wanakula milo 3....mateso ya watanganyika watu wanakula mlo mmoja kama ulivyo sema ..."mkate mkavu " by the way, you are very right.
 
Mheshimiwa Takashi,
Kwanza unatakiwa utulizane halafu ujibu hoja. Kutoa povu kunavuruga mtiririko wa hoja zako.Hoja hujibiwa kwa hoja na si hadithi au ngano.
Hakuna mtu anayelazimisha muungano, ila wapo watu wanolazimisha muungano ambao ni wzbar wanaoishi bara.

Nimeandika sana kuhusu uwepo wa serikali tatu, nilidhani utaelewa lakini kama alivyo waziri wako somo ni gumu. Nina dhima ya kuwaelewesha Wzbar kwanini napinga serikali tatu. Kwa muundo wa sasa serikali ya muungano inaendeshwa na kodi za Tanganyika bila senti tano kutoka Zanzibar. SMZ inalipa mishahara ya wafanyakazi kwa kodi za Mbara. Ukiongeza serikali ya tatu ni kumuongezea mtu wa bara kubeba mizigo isiyomuhusu. Ndio maana wewe na waziri wako humuwezi kueleza serikali tatu zitaendeshwaje na kwa gharama gani.

Nitakupa mfano. Bajeti ya SMZ ni bilion600 sawa na bajeti ya wizara moja tu ya Tanganyika. Ukiwa na serikali ya tatu ambayo ni ya shirikisho itahitaji equal partnership. Haina maana kugawana vyeo tu kama Wbar wanavyodhani bali gharama pia.
Serikali ya tatu ikiwa na bajeti ya bilion 600, Zanzibar itachangia nini???? maana hiyo ndiyo bajeti ikitoa nusu basi haina bajeti!! period.
Kwa mantiki hii nadhani wewe na waziri wako sasa mnaelewa kwani hatutaki serikali tatu. In simple words, Zbar haina uwezo wa kuchangia serikali ya tatu. Mnachotaka ni kumbebesha Mtanganyika mzigo mwingine usiomhusu.

Ima la kuvunja muungano, hili halimuhusu mtu wa Kigoma,Moshi au Musoma kwasababu wao wanaijua Zanzibar kwenye vitabu. Lakini linamgusa Mzbar waliojzazna bara kuanzia msasani, Ilala, makorora, Mwara, Lindi n.k Wao ndio wawe na wasi wasi wa muungano si Mhaya wa Bukoba aliyetulizana kule na maisha yake ya kawaida na ambaye pengine alisikia Zbar katika kipindi cha jografia tu.

Hili la kudai kura ya maoni umepotoka. Tanganyika wadai kura ya maoni ya nini? Mzabar akiondoka bara muungano haupo.
Wzbar ndio wanatakiwa wapige kura ya maoni. Mbara anafaidi ni kutoka Zbar ili tuseme kuwa ana umuhimu wa kupiga kura ya maoni? Nyinyi ndio mnalalamika kuonewa , mna hiari ya kuondoka au kupiga kura ya maoni.
Mpare wa kule Same au Mwanga milimani anahitaji kura ya nini maana hana mpango wa kwenda kuishi Zbar hata kwa bahati mbaya.
Kura ya maoni kwake ni ya nini?

Kama ikibidi kura ya maoni, basi tunaweza kumuomba mbunge wa Ubungo atuwakilishe na jimbo lake ambalo lina idadi na nguvu ya uchumi inayolingana na Zbar. By the way hiyo kura ya maoni atailipia nani?

Wanajeshi wapo wa Zbar huku Bara, na waliopo Zbar haifikii robo ya jeshi lililoajiriwa bara la wzbar ikiwa ni pamoja na wanafunzi vyuoni n.k.
Kwa vile Zbar hawataki muungano,hawa walioajiriwa wanatakiwa waache kazi za bara (ukoloni) warudi Zbar kwanza. Wakiendelea kufanya kazi huku wafunge midomo yao. Tumeanza kuamka na suala la kuwatimua makazini ili vijana wetu wapate ajira sasa linaendelea kupata mwamko.
Viwango vya elimu na ada za bure sasa tunasema basi, SMZ ilipe kama serikali nyingine.

Hili la JWTZ linatumika ili kuhalalisha uwepo wa Wzbar kwenye ajira za bara bila mantiki, ni la mtu aliyekosa hoja. Nitakueleza mimi nilikuwa jeshini.
Tafuta maana ya brigade, platoon, kombania n.k. Unataka kusema Znz haina wanajeshi kwamba waioko ni wabara tu.
Ukishindwa kusema nitakumwagia vitu ili wewe na wenzako mjipange kwa hoja zenye mashiko. Kuna wanajeshi wabara wangapi Znz kwa kutumia logic tu na makisio kutokana na akili zetu za kawaida.

Kuhusu umasikini wa Mtwara, ah! ndugu yangu unashangaa hilo, nenda New Orleans, au Brooklyn au East London, Sao Polo, Ingushetia, Tonga, Fiji, Haiti, Lagos eneo la Sururele, Soweto, Katre bon mauritius, Guand dong, Bombay, Yemen ujombani, ndipo utaelewa kuwa una limitation nyingi sana katika ufahamu na uchambuzi wa hoja. Mtwara si masikini, nenda pemba ujionee bwana! my point is usiangalie Mtwara kama dunia nzima, ipo dunia nyingine Ustadhi wangu!!

Wzbar ushirika ni pale wawili wanapokubali majukumu sawa. Ukitoa 5 na mimi 5 tunasema upo ushirika. Tutakuwa na haki sawa kwa kila jambo.
Ukito 0 na mimi nikatoa 10 hapo ni unyonyaji na huna haki si kwa lolote lile hata kusema tu.

Hebu waambie wana jamvi Serikali tatu zitaendeshwaje na kwa gharama ya nani?? Hili ndilo swali Takashi/ zbar bloga/mzalendo.net au Waziri wenu humtaki kulijibu. Mkijibu hili tu nitaunga mkono serikali 3. Lakini ujinga wa kutamka serikali 3 ili kumvisha mzigo Mtanganyiika No! no! no! na ufunguo wa kuvunja muungano mnao ninyi. Ondokeni katika nchi ya watu na rejeeni kwenye nchi yenu ya asali, maziwa na tende.
Hoja ? wewe endelea kusubiri hizo hoja unazo zipenda , lakini wazanzibari wataendelea kudai mpaka kieleweke.....Kwa mtazamo wako wazanzibari hawana hoja, sawa...Vipi wakina Dr,Slaa , Rev Mtikila , Lissu na wengineo wa Tanganyika ambao vile vile wanataka kurudishwa kwa serikali ya Tanganyika? Au hawa vile vile hoja zao hazina mshiko? Usisahau vile vile kama watanganyika wengi tuu ,wanaishi Zanzibar. Vipi kuhusu wao una maoni gani?
 
hivi kwa nini kila siku waz'bar wanalalamikia huu muungano ??? kama kasoro zipo mbona tuna ambiwa "kero za muungano zinashughurikiwa"

Kwani Bara wanafaidi nini cha maana na huu muugano hadi kuvumilia matusi yote haya kama kuambiwa ni wezi wa mchana

Mi naona huu muungano ufumuliwe wananchi waamue kama uwepo au la aidha uundwe upya kama tunavyo elekea kufanya juu ya katiba
 
Hoja ? wewe endelea kusubiri hizo hoja unazo zipenda , lakini wazanzibari wataendelea kudai mpaka kieleweke.....Kwa mtazamo wako wazanzibari hawana hoja, sawa...Vipi wakina Dr,Slaa , Rev Mtikila , Lissu na wengineo wa Tanganyika ambao vile vile wanataka kurudishwa kwa serikali ya Tanganyika? Au hawa vile vile hoja zao hazina mshiko? Usisahau vile vile kama watanganyika wengi tuu ,wanaishi Zanzibar. Vipi kuhusu wao una maoni gani?
Swali hapa ni rahisi tu, wewe na wzbar hamsubiri akina Mtikila au Dr Salaa wawaandalie majibu. Ninachoshangaa wewe na waziri wako mnatoa maelezo tu bila kujua. Unaposema serikali tatu 'justify' kwanini 3, zitaendeshwaje na gharam ipi na kutoka kwa nani. Haitoshi kusema serikali tatu bila kujenga hoja. Kila mtu anaweza kusema serikali 3, ni mwenye busara na hekima atakayetuambia ni kwanini tatu ziendeshweje. Mimi nimekueleza kwanini sipendelei serikali 3 kwasababu zilizowazi.
Nadhani na wewe unawajibu wa kusema serikali 3 kwa utaratibu upi. Kama huwezi basi ukae kimya ili usiembe wimbo usiojua maana yake.

Ama kwa Watanganyika walioko Zbar ingawa ni wachache sana na hawafiki hata 1000, nimewahi kuwakumbusha kuwa uwepo wao huko uwe na tahadhari kwasababu wanachukiwa kama wabara, haikuchukua muda wakaanza kuchomwa moto.

Ni vema wakafikiria kurudi nyumbani, na ikitokea wzbar wakaanza kupanda meli basi SMZ iwatimue. Wakati inawatimua nasi tutaangalia wanatimuliwa kwa utaratibu upi, wa kuambia rejeeni nyumbani kama tunavyowaambia au ule walioutumia hivi karibuni, na itakuwa fair game kujifunza SMZ wanafanya nini. Ni ngumu lakini tutavumiliana tu.

Hivi Wzbar wanadai nini? wana nchi yao shida ni kupanda meli au kufanya nini. Wakipanda meli kimeshaeleweka. Anyway hii sio hoja tujibu hoja.
 
Takashi,

Naomba tu nikuulize hivi unajua mwanaume wa kweli anapodhalilishwa husimama kulinda heshima yake katika jamii, ndo maana watu wamekuwa wakipigana, mataifa yakipigana. Sasa Sitta kawambia uwezo wenu mdogo, na hamchangii gharama yeyote katika serikali ya Muungano. Na Jk aliwahi kuwaambia kama mna kitu semeni, sasa kama nyinyi ni wanaume na hamjajificha kwenye sketi za kinamama si mgewaita wabunge wenu warudi toka Dodoma?

Zanzibar ni masikini saana, hivi hujui aslimia 86% ya wazanzibar wanakula mlo mooja tu? jioni wanakula mikate mikavu. Wanaotaka muungano uvunjike ni wenye asili ya kiaarabu, chungeni saana msio na damu ya kiaarabu yaani mara hiii mmesahau jinsi mlivyoteswa na waarabu?????

We Njomba, umesahau kama Zanzibar ilikuwa kama Dubai kwa wafanya biashara wa kitanganyika hadi 1996 ndio walianza kuachia kwenda Zanzibar kibiashara.
watanganyika wengi walikuwa wakifanya kazi za kulima na ukuli wa mizigo kule Zanzibar...wengine walikuwa ni house keeping na madobi waosha Nguo huko Zanzibar hadi 1998 bado walikuwa hizo kazi wanafanyishwa....Aiisiii bora tafuta mtu anaejuwa history ya Zanzibar akwambie ili upate kujua:A S 103:
 
Hoja ? wewe endelea kusubiri hizo hoja unazo zipenda , lakini wazanzibari wataendelea kudai mpaka kieleweke.....Kwa mtazamo wako wazanzibari hawana hoja, sawa...Vipi wakina Dr,Slaa , Rev Mtikila , Lissu na wengineo wa Tanganyika ambao vile vile wanataka kurudishwa kwa serikali ya Tanganyika? Au hawa vile vile hoja zao hazina mshiko? Usisahau vile vile kama watanganyika wengi tuu ,wanaishi Zanzibar. Vipi kuhusu wao una maoni gani?

Usiongee kama mswahili, ongea kama mtu mwenye elimu na kuweza kujenga hoja ya msingi. Slaa, Mtikila, Lissu ni wanasiasa wa bara, si wasemaji wa Tanganyika. Tanganyika haipo, wanaotaka iwepo ni wale waliochoshwa na kelele za wajinga wachache toka visiwani, na za wajanja ambo serikali ya muungano imewazuia kutimiza ajenda zao za kurudisha usultani. Wanasiasa kutaka ziwepo serikali tatu hawana maana kuwa ni wasemaji wa Tanganyika. Wenye akili siku zote wanapigania kuungana, kama kwenye muungano kuna kasoro wanarekebisha. wasio na akili siku wanapigania kujitenga na wana uchu wa madaraka.

Huku bara hata ikija serikali ya Tanganyika leo, hakuna litakalobadilika maana hatutarajii na wala hatuna hamu ya mkoloni arudi. Tofauti na Zanzibar ambako mpaka leo kuna wanaopinga mapinduzi na wanaotaka sultani aje. Na ukiwaambie kwanini mnataka muungano ufe hawana hoja ya msingi. Au nianze tu kwa kukuuliza wewe kwanini unataka muungano ufe?
 
ziendeshweje. Mimi nimekueleza kwanini sipendelei serikali 3 kwasababu zilizowazi.Swali hapa ni rahisi tu, wewe na wzbar hamsubiri akina Mtikila au Dr Salaa wawaandalie majibu. Ninachoshangaa wewe na waziri wako mnatoa maelezo tu bila kujua. Unaposema serikali tatu 'justify' kwanini 3, zitaendeshwaje na gharam ipi na kutoka kwa nani. Haitoshi kusema serikali tatu bila kujenga hoja. Kila mtu anaweza kusema serikali 3, ni mwenye busara na hekima atakayetuambia ni kwanini tatu
Nadhani na wewe unawajibu wa kusema serikali 3 kwa utaratibu upi. Kama huwezi basi ukae kimya ili usiembe wimbo usiojua maana yake.

Ama kwa Watanganyika walioko Zbar ingawa ni wachache sana na hawafiki hata 1000, nimewahi kuwakumbusha kuwa uwepo wao huko uwe na tahadhari kwasababu wanachukiwa kama wabara, haikuchukua muda wakaanza kuchomwa moto.

Ni vema wakafikiria kurudi nyumbani, na ikitokea wzbar wakaanza kupanda meli basi SMZ iwatimue. Wakati inawatimua nasi tutaangalia wanatimuliwa kwa utaratibu upi, wa kuambia rejeeni nyumbani kama tunavyowaambia au ule walioutumia hivi karibuni, na itakuwa fair game kujifunza SMZ wanafanya nini. Ni ngumu lakini tutavumiliana tu.

Hivi Wzbar wanadai nini? wana nchi yao shida ni kupanda meli au kufanya nini. Wakipanda meli kimeshaeleweka. Anyway hii sio hoja tujibu hoja.

Hivi umefika kweli Zanzibar? hao watanganyika 1000 ni nusu tuu ya wale wanaojiita wamasaai . Kwa taarifa yako watanganyika wanaoisha Zanzibar hawapungui laki moja (100,000)... Hawa ni raia tuu.

Hakuna mzanzibari anaesubiri kujengewa hoja na Dr,Slaa au Mtikila na wengine , hilo ilikuwa tu, kukumbusha kwamba sio wazanzibari tuu , wanaotaka serikali tatu. Na wewe na kundi lako mnaoshikilia serikali mbili nikidogo sana iwe kwa Tanganyika au kwa Tanzania kwa jumla. Mimi binafsi sitaki hata kuusikia muungano na wala sina haja ya kujenga hoja kwa hilo.

Wanachodai wazanzibar ni kurudushiwa kwa mamlaka ya serikali ya SMZ. Watu wamechoka na muungano wa serikali mbili "butu". Serikali tatu, Tanganyika, Zanzibar na Muungano. Hiyo formula mnayotumia kugawa mapato ya muungano ndio formula hiyo hiyo itumike kulipia gharama za muungano.
 
Usiongee kama mswahili, ongea kama mtu mwenye elimu na kuweza kujenga hoja ya msingi. Slaa, Mtikila, Lissu ni wanasiasa wa bara, si wasemaji wa Tanganyika. Tanganyika haipo, wanaotaka iwepo ni wale waliochoshwa na kelele za wajinga wachache toka visiwani, na za wajanja ambo serikali ya muungano imewazuia kutimiza ajenda zao za kurudisha usultani. Wanasiasa kutaka ziwepo serikali tatu hawana maana kuwa ni wasemaji wa Tanganyika. Wenye akili siku zote wanapigania kuungana, kama kwenye muungano kuna kasoro wanarekebisha. wasio na akili siku wanapigania kujitenga na wana uchu wa madaraka.

Huku bara hata ikija serikali ya Tanganyika leo, hakuna litakalobadilika maana hatutarajii na wala hatuna hamu ya mkoloni arudi. Tofauti na Zanzibar ambako mpaka leo kuna wanaopinga mapinduzi na wanaotaka sultani aje. Na ukiwaambie kwanini mnataka muungano ufe hawana hoja ya msingi. Au nianze tu kwa kukuuliza wewe kwanini unataka muungano ufe?

Mimi mswahili na nitaongea kama mswahili , kuwa na elimu, kutokuwa na elimu haibadilishi kitu. Sihitaji kuwa na elimu kusema ninachokiamini. Hilo la kurudisha usultani ndio kasumba yenu ya mwisho ...Hamna jengine la kuwadanganya wazanzibari. Lakini sio wazanzibari wa leo. Miaka 47 ya muungano hizo kasoro ,kero za muungano mumeshindwa kuziondoa. Sasa mlitarajia nini? Wewe toa sababu za kunisadikisha mimi nikubali muungano kama ulivyo.
 
we huna madhambi!! mbona akili zako zatokea chini kwenda juu?
Nakubaliana nawe moja kwa moja Bw. Mwanjelwa na uchambuzi wako hapo juu. Maalim Seif ni kweli ana madhambi mengi aliyolifanyia Taifa hili na zaidi wenzake wa Zanzibar. Na la ghasi zaidi ni lile la kupandikiza mbegu za U-pemba na-uunguja. Hili limeathiri sana jamii na naweza kusema limeacha kovu kubwa kwa generation ya hivi sasa licha ya juhudi kubwa zinazofanyika hivi sasa kuondosha kasoro hiyo. Hii inazidishwa na udogo wa pahala penyewe, na muingiliano mkubwa uliopo baina ya watu kutoka sehemu hizo mbili. Huyo ni mtu asiyestahili kuaminiwa tena na jamii katika lolote lile, na sidhani kuwa iko siku atapata fursa ya kuichezea jamii kama alivyofanya hapo mwanzo. Siku zake katika CUF nafikiri zinahesabika sasa. Yuko ukingoni kumalizika. na laiti kama CUF wataondokana naye leo hii, basi utaona wapi chama hicho kinafika katika mstakabala wa kisiasa.
 
Mimi mswahili na nitaongea kama mswahili , kuwa na elimu, kutokuwa na elimu haibadilishi kitu. Sihitaji kuwa na elimu kusema ninachokiamini. Hilo la kurudisha usultani ndio kasumba yenu ya mwisho ...Hamna jengine la kuwadanganya wazanzibari. Lakini sio wazanzibari wa leo
Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kimeahidi kuendelea kutetea muundo wa serikali mbili katika sura ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katibu Mwenezi wa CCM Zanzibar, Issa Haji Gavu, alisema kushindwa kutetea sura ya sasa ya Muungano ni kwenda kinyume na sera na ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
Gavu alisema chama chake kinaamini sura iliyopo ya Muungano inazidi kuungwa mkono na wananchi wengi na ndio maana kikashinda Uchaguzi Mkuu mwaka jana.
Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya vipeperushi kusambazwa mjini Zanzibar kumtaka Waziri wa Kilimo, Mansour Yusufu Himid, kujiuzulu kwenye nyadhifa zake baada ya kuunga mkono Muungano wenye muundo wa serikali tatu.
Akichangia bajeti ya Wizara ya Ardhi, makazi, Maji na Nishati, Mansour ambaye ni mjumbe wa NEC na Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi ya CCM Zanzibar, alisema Muungano wa sasa ni butu na wakati umefika wa kuangalia mwelekeo wa serikali tatu.
Katibu huyo Mwenezi wa CCM aliwaambiwa waandishi wa habari kuwa viongozi wanaodai serikali tatu wanapingana na sera na ilani ya uchaguzi ya chama hicho.
“CCM itaendelea kulinda na kutetea muundo wa serikali mbili katika mfumo wa Muungano kwa sababu sera hiyo ndiyo iliyotupatia ushindi katika uchaguzi mkuu mwaka jana,” alisema Gavu.
Alisema kwa msingi huo wanachama na viongozi wanatakiwa kusimama imara kutetea serikali ya serikali mbili, lakini kila mwananchi atakuwa na uhuru wa maoni utakapofika mjadala wa Katiba mpya.
 
HiWanachodai wazanzibar ni kurudushiwa kwa mamlaka ya serikali ya SMZ. Watu wamechoka na muungano wa serikalimbili "butu". Serikali tatu, Tanganyika, Zanzibar na Muungano. Hiyo formula mnayotumia kugawa mapato ya muungano ndio formula hiyo hiyo itumike kulipia gharama za muungano.
Heee! mara ya tatu(record ipo) unataka serikali 3 hoja ikifika shingoni hutaki tena. Wazbar wanadai kurudishiwa mamlaka kutoka kwa nani? mamlaka sio kama dau ni uwezo, sasa unataka kusema hanma uwezo wa kujitawala!!

Mimi nasema wakti umefika, iwe serikali 2, 1 au hakuna lazima tuangalie wapi mnadandia na wapi mnasukuma gari.
Hao 100,000 timueni si mumeshaanza kwa kutumia mbinu zile, sisi tunasema tutawaondoa kwa hiari yenu.

Ajira sasa zinaangaliwa kama kuna Mzbar tunahoji iweje Mbara atembee na bahasha kuomba kazi halafu Mzbar apewe kazi na matusi juu.
Huko vyuoni tutauliza kuna standard gani za viwango vya elimu zinatumika kusajili Wbar, na tutauliza bodi ya mikopo hawa wanalipwa na kodi za Mbara kama nani. Hili lipo na linafanyiwa kazi.
Tutawaaambiwa TRA hakuna soko huria bara, mzigo ukitua bara kodi kama kawaida.
Tutawauliza mna hati miliki za ardhi kama hanma ah! hatutakuwa na hiyana tutarejesha kila kitu na kuwakabidhi mabegi yenu.
Tutauliza kwanini mpewe umeme bure na mtu wa kidatu morogoro alipie!!
Tutahoji mnachangia nini kwenye muungano na kama hautakuwepo tutaathirika vipi.

Rejeeni nyumbani kwenye nchi ya asli na maziwa. Zbar for Zbaris
 
Back
Top Bottom