Khadija Seif: Mtangazaji wa kwanza wa kike Tanzania

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,827
9,536
Katika maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani 2022 mwanamama huyu/Bibi huyu ameelezea historia yake kwamba alianza kutangaza mwaka 1954 katika kituo cha "Sauti ya Tanganyika" anasema wakati mmoja kituo hicho cha redio kiliitwa "Sauti ya Mzizima" pia kiliitwa "Sauti ya Kariakoo".

Baadae kikaitwa "Redio Tanzania Dar es Salaam-RTD".

Miongoni mwa mambo amesisitiza ni watangazaji wa sasa kuzingatia maadili wakati wanapotangaza.

PICHANI: Anaghani, kwani mbali na utangazaji pia ni mshairi huyu bibi.

20220210_131619.jpg
 
... watu wa pwani walikuwa na advantage ya Kiswahili kwa wakati huo kiliwabeba sana. Ningeletwa mimi mhadzabe na Kiswahili wapi na wapi! Inasemekana hata Nyerere wakati anafanya urafiki na wazee wa Kariakoo hadi wakamkabidhi TANU, Kiswahili kilikuwa kinampa shida to some extent; ila kimalkia ungedhani anaishi kwenye corridor za Buckingham.
 
... watu wa pwani walikuwa na advantage ya Kiswahili kwa wakati huo kiliwabeba sana. Ningeletwa mimi mhadzabe na Kiswahili wapi na wapi! Inasemekana hata Nyerere wakati anafanya urafiki na wazee wa Kariakoo hadi wakamkabidhi TANU, Kiswahili kilikuwa kinampa shida to some extent; ila kimalkia ungedhani anaishi kwenye corridor za Buckingham.
Kwamba mshua alikuwa anagonga ungenge kuliko kisw
 
... watu wa pwani walikuwa na advantage ya Kiswahili kwa wakati huo kiliwabeba sana. Ningeletwa mimi mhadzabe na Kiswahili wapi na wapi! Inasemekana hata Nyerere wakati anafanya urafiki na wazee wa Kariakoo hadi wakamkabidhi TANU, Kiswahili kilikuwa kinampa shida to some extent; ila kimalkia ungedhani anaishi kwenye corridor za Buckingham.
Walimkabidhi TANU toka wapi? TANU ni chama alichokianzisha yeye Mwalimu mwaka 1954 toka TAA. Sasa hiyo TANU unayozungumzia ni ipi zaidi ya aliyoianzisha yeye!
 
Walimkabidhi TANU toka wapi? TANU ni chama alichokianzisha yeye Mwalimu mwaka 1954 toka TAA. Sasa hiyo TANU unayozungumzia ni ipi zaidi ya aliyoianzisha yeye!
Mzee Mohamed Said amejitahidi sana kufafanua historia ya uhuru wa nchi hii. Tafuta nyuzi zake humu ndizo nilitumia kama rejea.
 
... watu wa pwani walikuwa na advantage ya Kiswahili kwa wakati huo kiliwabeba sana. Ningeletwa mimi mhadzabe na Kiswahili wapi na wapi! Inasemekana hata Nyerere wakati anafanya urafiki na wazee wa Kariakoo hadi wakamkabidhi TANU, Kiswahili kilikuwa kinampa shida to some extent; ila kimalkia ungedhani anaishi kwenye corridor za Buckingham.
Dudus,
Mwalimu Nyerere hakupokelewa Dar es Salaam na mzee yeyote alipofika mwaka wa 1952.
Hii ni katika moja ya makosa yaliyomo katika historia ya TANU.

Nyerere mtu aliyekuwa najuananae kwa karibu sana alipofika Dar es Salaam ni Joseph Kasella Bantu.

Kasella Bantu akiishi Temeke.
Kasella Bantu ndiye aliyempeleka Nyerere kwa Abdul Sykes.

Abdul Sykes alikuwa ndiye Secretary na Act. President wa TAA.

Hicho chama cha TAA kimetokana na African Association chama ambacho baba yake Abdul, Kleist Sykes alikuwa katibu muasisi mwaka wa 1929.

Hakuna mzee yeyote aliyempokea Nyerere Dar es Salaam wala kumkabidhi TANU.
Wala Mwalimu hakupata kujulikana hadi pale alipokuja kusuhubiana na Abdul Sykes.

Katika historia ya TANU kutokea TAA wazee waliokuwa ndani ya uongozi wa TAA na wao kushiriki katika kuweka msingi wa kuunda TANU walikuwa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Said Chaurembo.

Hawa walikuwa wajumbe katika TAA Political Subcommittee.
Wala si sawa kusema kuwa Nyerere aliunda TANU.

Historia ya TANU inaanza mbali sana kwa karibu ni mwaka wa 1945 Abdul Sykes, Ally Sykes na askari wenzao katika 6th Batallion KAR Burma Infantry wakiwa Kalieni Camp Bombay hapo ndipo katika mkesha wa Christmas, 1945 walipoamua kuunda TANU kudai uhuru wa Tanganyika na jina hili lilitolewa huko.

Hapo Kalieni Camp askari Waafrika kutoka Afrika ya Mashariki walikuwa wanasubiri kurudishwa makwao baada ya WWII.

Urafiki wa Nyerere na wazee wa Dar es Salaam ulianza baada ya TANU kuundwa 1954 na mzee aliyekuwa karibu sana na Mwalimu alikuwa Mzee Mshume Kiyate mwaka wa 1955.

Ukipenda unaweza ukawaongeza na wengine kama Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Jumbe Tambaza, Mwinjuma Mwinyikambi na Max Mbwana.

Historia hii nimeiandika kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes (1998).

1644642093076.png

Kulia ni Mzee Mshume Kiyate, Julius Nyerere, Mzee Max Mbwana na Mzee Mwinjuma Mwinyikambi.
 
Katika maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani 2022 mwanamama huyu/Bibi huyu ameelezea historia yake kwamba alianza kutangaza mwaka 1954 katika kituo cha "Sauti ya Tanganyika" anasema wakati mmoja kituo hicho cha redio kiliitwa "Sauti ya Mzizima" pia kiliitwa "Sauti ya Kariakoo".

Baadae kikaitwa "Redio Tanzania Dar es Salaam-RTD".

Miongoni mwa mambo amesisitiza ni watangazaji wa sasa kuzingatia maadili wakati wanapotangaza.

PICHANI: Anaghani, kwani mbali na utangazaji pia ni mshairi huyu bibi.

View attachment 2114776
N'
Mama Khadija Said si mwanamke wa kwanza kutangaza radioni.
Mwanamke wa kwanza ni Mama Maunda Plantan na alikuwa anatangaza English Serivice.

Fanya utafiti utalijua hili.

Katika sifa kubwa za Bi. Maunda ambao utakushangaza ukizungumzanae ni ulimu wake katika lugha ya Kiingereza.

1644643317425.png

Nikifanya mahojiano na Bi. Maunda Plantan nyumbani kwake Magomeni Mikumi

1644643462083.png
 
Dudus,
Mwalimu Nyerere hakupokelewa Dar es Salaam na mzee yeyote alipofika mwaka wa 1952.
Hii ni katika moja ya makosa yaliyomo katika historia ya TANU.

Nyerere mtu aliyekuwa najuananae kwa karibu sana alipofika Dar es Salaam ni Joseph Kasella Bantu.

Kasella Bantu akiishi Temeke.
Kasella Bantu ndiye aliyempeleka Nyerere kwa Abdul Sykes.

Abdul Sykes alikuwa ndiye Secretary na Act. President wa TAA.

Hicho chama cha TAA kimetokana na African Association chama ambacho baba yake Abdul, Kleist Sykes alikuwa katibu muasisi mwaka wa 1929.

Hakuna mzee yeyote aliyempokea Nyerere Dar es Salaam wala kumkabidhi TANU.
Wala Mwalimu hakupata kujulikana hadi pale alipokuja kusuhubiana na Abdul Sykes.

Katika historia ya TANU kutokea TAA wazee waliokuwa ndani ya uongozi wa TAA na wao kushiriki katika kuweka msingi wa kuunda TANU walikuwa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Said Chaurembo.

Hawa walikuwa wajumbe katika TAA Political Subcommittee.
Wala si sawa kusema kuwa Nyerere aliunda TANU.

Historia ya TANU inaanza mbali sana kwa karibu ni mwaka wa 1945 Abdul Sykes, Ally Sykes na askari wenzao katika 6th Batallion KAR Burma Infantry wakiwa Kalieni Camp Bombay hapo ndipo katika mkesha wa Christmas, 1945 walipoamua kuunda TANU kudai uhuru wa Tanganyika na jina hili lilitolewa huko.

Hapo Kalieni Camp askari Waafrika kutoka Afrika ya Mashariki walikuwa wanasubiri kurudishwa makwao baada ya WWII.

Urafiki wa Nyerere na wazee wa Dar es Salaam ulianza baada ya TANU kuundwa 1954 na mzee aliyekuwa karibu sana na Mwalimu alikuwa Mzee Mshume Kiyate mwaka wa 1955.

Ukipenda unaweza ukawaongeza na wengine kama Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Jumbe Tambaza, Mwinjuma Mwinyikambi na Max Mbwana.

Historia hii nimeiandika kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes (1998).

View attachment 2116833
Kulia ni Mzee Mshume Kiyate, Julius Nyerere, Mzee Max Mbwana na Mzee Mwinjuma Mwinyikambi.
Shukrani sana Mzee Mohamed Said. Maulaga59 ufafanuzi umetolewa.
 
Dudus,
Mwalimu Nyerere hakupokelewa Dar es Salaam na mzee yeyote alipofika mwaka wa 1952.
Hii ni katika moja ya makosa yaliyomo katika historia ya TANU.

Nyerere mtu aliyekuwa najuananae kwa karibu sana alipofika Dar es Salaam ni Joseph Kasella Bantu.

Kasella Bantu akiishi Temeke.
Kasella Bantu ndiye aliyempeleka Nyerere kwa Abdul Sykes.

Abdul Sykes alikuwa ndiye Secretary na Act. President wa TAA.

Hicho chama cha TAA kimetokana na African Association chama ambacho baba yake Abdul, Kleist Sykes alikuwa katibu muasisi mwaka wa 1929.

Hakuna mzee yeyote aliyempokea Nyerere Dar es Salaam wala kumkabidhi TANU.
Wala Mwalimu hakupata kujulikana hadi pale alipokuja kusuhubiana na Abdul Sykes.

Katika historia ya TANU kutokea TAA wazee waliokuwa ndani ya uongozi wa TAA na wao kushiriki katika kuweka msingi wa kuunda TANU walikuwa Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Said Chaurembo.

Hawa walikuwa wajumbe katika TAA Political Subcommittee.
Wala si sawa kusema kuwa Nyerere aliunda TANU.

Historia ya TANU inaanza mbali sana kwa karibu ni mwaka wa 1945 Abdul Sykes, Ally Sykes na askari wenzao katika 6th Batallion KAR Burma Infantry wakiwa Kalieni Camp Bombay hapo ndipo katika mkesha wa Christmas, 1945 walipoamua kuunda TANU kudai uhuru wa Tanganyika na jina hili lilitolewa huko.

Hapo Kalieni Camp askari Waafrika kutoka Afrika ya Mashariki walikuwa wanasubiri kurudishwa makwao baada ya WWII.

Urafiki wa Nyerere na wazee wa Dar es Salaam ulianza baada ya TANU kuundwa 1954 na mzee aliyekuwa karibu sana na Mwalimu alikuwa Mzee Mshume Kiyate mwaka wa 1955.

Ukipenda unaweza ukawaongeza na wengine kama Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Jumbe Tambaza, Mwinjuma Mwinyikambi na Max Mbwana.

Historia hii nimeiandika kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes (1998).

View attachment 2116833
Kulia ni Mzee Mshume Kiyate, Julius Nyerere, Mzee Max Mbwana na Mzee Mwinjuma Mwinyikambi.
Mzee mdini upo..naona unalialia tu.

Bado unaendelea kuhujumiwa...hadi awamu hii.


#MaendeleoHayanaChama
 
N'
Mama Khadija Said si mwanamke wa kwanza kutangaza radioni.
Mwanamke wa kwanza ni Mama Maunda Plantan na alikuwa anatangaza English Serivice.

Fanya utafiti utalijua hili.

Katika sifa kubwa za Bi. Maunda ambao utakushangaza ukizungumzanae ni ulimu wake katika lugha ya Kiingereza.

View attachment 2116849
Nikifanya mahojiano na Bi. Maunda Plantan nyumbani kwake Magomeni Mikumi

View attachment 2116850
Mie nilihudhuria tu shuhuli ya Maadhimisho ya Siku ya Redio hapo UDSM bibi katueleza hivyo kwamba yeye ni mtanganyika wa kwanza mwanamama kutangaza hapo redioni.
 
Mie nilihudhuria tu shuhuli ya Maadhimisho ya Siku ya Redio hapo UDSM bibi katueleza hivyo kwamba yeye ni mtanganyika wa kwanza mwanamama kutangaza hapo redioni.
N'
Hapana neno mimi nilitaka kusahihisha hapo palipokosewa.
Mama Khadija Said ni mama yangu.

Mwanae Said Alibati tumekuwa sote na mchezo wetu mmoja.
Nikiingia na kutoka nyumbani kwao kama kwetu katika miaka ya 1960.

Tukishikiri pia katika kipindi chake cha watoto.
Mama Maunda Plantan pia ni mama yangu na akimjua vyema marehemu mama yangu.

Nakueleza haya kudhihirisha kuwa nawajua vyema hawa mama zangu.
 
Mzee mdini upo..naona unalialia tu.
u
Bado unaendelea kuhujumiwa...hadi awamu hii.
Jiwe...
Hapana usifanye hivyo si vyema.
Huu ni mjadala tu watu hawatukanani na kukejeliana.

Mbona mimi nakuheshimu na nakujibu kwa adabu?
Kwani lipi baya nililosema?

Au roho inakuuma kwa kusoma historia hiyo ambayo iko kinyume na historia iliyozoeleka?
Lakini nitafanya nini wakati huo ndiyo ukweli wa historia ya Mwalimu na TANU?

Au unajisikia vibaya kuona Waislam walivyomzunguka Baba wa Taifa?

Hupendi kuona ukweli huu unajiuliza wazee wako wewe walikuwa wapi miaka hiyo ya kupigania uhuru wa Tanganyika?

Hili si la kukusikitisha kwani hata hawa wazee wangu waliopigania uhuru wa Tanganyika hawakuomba nafasi hiyo.

Walijikuta wamezaliwa Dar es Salaam na ndiko harakati zilipoanzia.
Si jambo la kukufanya wewe ujihisi mdogo ujazwe hasad na kuanza kutukana na kukejeli watu.

Hakika huna kosa kwa wazee wako kutokuwapo.
Jitulize na tufanye mjadala wa staha.
 
Hawa nao pia alikuwa nao Mzee wetu Nyerere,hakuwa mbaguzi
Jiwe...
Hapana usifanye hivyo si vyema.
Huu ni mjadala tu watu hawatukanani na kukejeliana.

Mbona mimi nakuheshimu na nakujibu kwa adabu?
Kwani lipi baya nililosema?

Au roho inakuuma kwa kusoma historia hiyo ambayo iko kinyume na historia iliyozoeleka?
Lakini nitafanya nini wakati huo ndiyo ukweli wa historia ya Mwalimu na TANU?

Au unajisikia vibaya kuona Waislam walivyomzunguka Baba wa Taifa?

Hupendi kuona ukweli huu unajiuliza wazee wako wewe walikuwa wapi miaka hiyo ya kupigania uhuru wa Tanganyika?

Hili si la kukusikitisha kwani hata hawa wazee wangu waliopigania uhuru wa Tanganyika hawakuomba nafasi hiyo.

Walijikuta wamezaliwa Dar es Salaam na ndiko harakati zilipoanzia.
Si jambo la kukufanya wewe ujihisi mdogo ujazwe hasad na kuanza kutukana na kukejeli watu.

Hakika huna kosa kwa wazee wako kutokuwapo.
Jitulize na tufanye mjadala wa staha.
FB_IMG_1548180505363.jpeg
 
Jiwe...
Hapana usifanye hivyo si vyema.
Huu ni mjadala tu watu hawatukanani na kukejeliana.

Mbona mimi nakuheshimu na nakujibu kwa adabu?
Kwani lipi baya nililosema?

Au roho inakuuma kwa kusoma historia hiyo ambayo iko kinyume na historia iliyozoeleka?
Lakini nitafanya nini wakati huo ndiyo ukweli wa historia ya Mwalimu na TANU?

Au unajisikia vibaya kuona Waislam walivyomzunguka Baba wa Taifa?

Hupendi kuona ukweli huu unajiuliza wazee wako wewe walikuwa wapi miaka hiyo ya kupigania uhuru wa Tanganyika?

Hili si la kukusikitisha kwani hata hawa wazee wangu waliopigania uhuru wa Tanganyika hawakuomba nafasi hiyo.

Walijikuta wamezaliwa Dar es Salaam na ndiko harakati zilipoanzia.
Si jambo la kukufanya wewe ujihisi mdogo ujazwe hasad na kuanza kutukana na kukejeli watu.

Hakika huna kosa kwa wazee wako kutokuwapo.
Jitulize na tufanye mjadala wa staha.
Wazee wake walikua wanachambia majani huko milimani Mzee Mohamed sio kila shoga ni wa kujibizana nae sometimes uwe unajitetea wanakuzoea vibaya hawa mashoga
 
Back
Top Bottom