Naomba mnisaidie kumfahamu huyu jamaa wa insta anaitwa khaby 00 Mimi sielewi vituko vyake anaemuelewa atuelezee na historia ya maisha yake . Na uraia wake yeye anafanya vitu simpo vya kipumbavu .
Huyo jamaa ana followers Insta kuliko Mark mwenyewe.Ana watu milioni 28 na laki 4 na ushee wanaom follow insta.
Kiba haingii ndani kwa huyu jamaa
Je kati ya kiba na huyu nani anaeleweka?
Non fregga un cazzo per lui hai capito?Naomba mnisaidie kumfahamu huyu jamaa wa insta anaitwa khaby 00 Mimi sielewi vituko vyake anaemuelewa atuelezee na historia ya maisha yake . Na uraia wake yeye anafanya vitu simpo vya kipumbavu .