Yaani for Gods sake naomba tu hii siku iishe maana nimeboreka kupitiliza!
No sms tangu asubuhi kwenye simu yangu achilia mbali simu zenyewe
No new email achilia mbali skype
Yaani ndio kusema watu wote wamenisusa leo?
Mh we si nimesikia umeachwa jana! Sio unataka kunitafutia ugomvi mwenzio kupigana sijui!
Hahahahaaa hivi bado zipo hizo? Dah siku nyingi sijaziona....
Mbona yangu hujajibu?Hahahahaaaa haya naisubiri
Hivi huwa inaandikwaje tena?...katika huduma ambayo imenipita pembeni ni hiyo ya plz call me na plz recharge me lol...Hahahahaaa hivi bado zipo hizo? Dah siku nyingi sijaziona....