King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Siku hizi nimeacha, usinitie majaribuni. Ila namiss gun yangu aisee!
Last edited by a moderator:
Nafikiri nia ni kukwepa gharama za GUEST ili kinachobakiWanawake wenzangu,
Siku hizi kutembea na mume wa mtu ni jambo la kawaida lakini ndio akulete nyumbani, ulalie the same bed anacholalia na mkewe?? That is too much akhaa!!
Hebu tujiulize kwa nini hakuleti nyumbani hapo wakati mkewe yupo? Jeuri hiyo hana kwa kuwa- ANAMPENDA MKEWE na HAYUKO tayari kumpoteza kwa sababu YAKO. Wewe utabakia kuwa mwanamke wa kupoza MHEMKO wake siku zote na katu hutoifilia hadhi ya MKEWE.
Tahadhari, Chukua Hatua!
Mami ofcourse hamna justification, na ndio maana mwanamke anatakiwa adeal na huyo mvulana alomletea mwanamke mwingine ndani. Yeye ndo wa kulaumiwa, yeye ndie wakuulizwa alikua anafikiria nini na yeye ndio wakuadhibiwa.Aksante Lizzy
Ni kweli yapo mengi lakini nakataa kuamini kuwa kuna any justification ya kucheat openly kiasi cha kuleta nyubani, chumbani, kitandani, kwenye shuka langu. NO MATTER WHAT I HAVE DONE, ndio ulete kitandani?? UMENICHOKA na HUNIHITAJI TENA so SITEGEMEI UNIBEMBELEZE wala KUNIOMBA MSAMAHA zaidi sana unambie...................HAYA NADHANI UMENIELEWA FUNGASHA KILICHO CHAKO SEPA.
Mwanamke decent hadi akapendwa atakuwa ameelezwa hali halisi na kama kweli ni decent katu hatokubali kuletwa kwenye kitanda cha mke halali!
yaani labda nisijue kuwa kuna kiumbe kimelala kwenye our 'matrimonial bed', WALLAH NIKIJUA, mimi sina shida na huyo dada, ntamuacha aende zake, mimi namtaka huyo wangu mwandani! tutaanzia alif tujue pa kuishia, ila atalipa vibaya kuliko mimi nilivyomfuma, NITAMUUMIZA MARA 5 YA ALIVYONIFANYA, taratibu tu kwa vitendo, maneno hayasaidii wanawake wenzangu.
yaani labda nisijue kuwa kuna kiumbe kimelala kwenye our 'matrimonial bed', WALLAH NIKIJUA, mimi sina shida na huyo dada, ntamuacha aende zake, mimi namtaka huyo wangu mwandani! tutaanzia alif tujue pa kuishia, ila atalipa vibaya kuliko mimi nilivyomfuma, NITAMUUMIZA MARA 5 YA ALIVYONIFANYA, taratibu tu kwa vitendo, maneno hayasaidii wanawake wenzangu.
MwanajamiiOne bwana!
Sasa ukimdharau na kum curse huyo Other woman ndio mumeo atatulia?
Kitendo cha mumeo kumleta concubine wake kitandani kwako ni dharau kwako na si huyo hawara!
Na kitu kingine, what make u think kuwa huyo mwanamke ana dreams za kuolewa????
Kudivert lawama from the real monster (mumeo aliyeapa kuwa atakuwa na wewe) na kwenda kwa huyo OW haisaidii sana, it is just a weakness! Face the problem ur husband and not the symptoms!
Hebu acha mambo yako banaaa....tunaomba kujua sababu zinazopelekea mwanaume kumduu hawara kwenye kitanda walalacho na mkewe. Ina mana gesti zote zimejaa ama hela ya gesti hana???!!!
Waonee huruma wajukuu zako wana kiu ya kujua nini hasa kinawasukuma kufanya hivyo....nna uhakika huwezi mfanyia hivo Bibi DC
mmh hatariWanawake wenzangu,
Siku hizi kutembea na mume wa mtu ni jambo la kawaida lakini ndio akulete nyumbani, ulalie the same bed anacholalia na mkewe?? That is too much akhaa!!
Hebu tujiulize kwa nini hakuleti nyumbani hapo wakati mkewe yupo? Jeuri hiyo hana kwa kuwa- ANAMPENDA MKEWE na HAYUKO tayari kumpoteza kwa sababu YAKO. Wewe utabakia kuwa mwanamke wa kupoza MHEMKO wake siku zote na katu hutoifilia hadhi ya MKEWE.
Tahadhari, ChukuaHatua!
Kwa nini unadhani ni aibu ya mwanamke tu? Na si mwanamme ambaye kakuoa tena labda kanisani au msikitini?
Kwa nini unambebesha lawama mwanamke peke yake?
Tena mie wa ambiance nitakasirika zaidi ila kama ni mwanamke decent angalau nitavumilia.MJ1, siku mmeo akitembea na changu afu ukafahamu na ukamuona changu huyo, maumivu utakayopata, utanielewa.(Sijafanya risechi so wanamme msinirukie,nasikia wanafuata machangu wapate mtandao rahisi, sasa imagine mmeo akizama kwenye mbolea ya changu ambaye kwa siku anahudumia watu kadhaa)
Swali, hivi mwanamke hawezi mpenda mwanamme aliyeoa? Naamanisha kupenda na si kwa jili ya kujinufaisha na faida yeyote.
Halafu nitaendelea na ninachofikiri.
Mtu kawezi kumpenda mkewe halafu akafanya uzinzi na mwanamke mwingine!Yoyote anaempenda mkewe atamheshimu na hataweza kumpa haki ya mkewe mwanamke mwingine!
Anaefanya uzinzi ni mjinga,lakini anaelipa ujinga kwa ujinga ni mjinga zaidi!