.....nahisi ni evolution tu, au kama mafundisho ya kiimani yalivyotutabiria. U binadamu, haya na imani unatutoka...twarudia zama za 'mapangoni'....
Karibia tutakuwa worse than animals...
......NK, .....mimi nimejiamulia kama nitaoa tena, basi atayenifaa ni ex-victim mwenzangu, ....ambaye nae keshaburuzwa vya kutosha bila kuthaminiwa huko alikotoka.
....iwapo sie wawili, tuliojaa makovu tukiamua kuishi pamoja, kuna chances pia za kuumizana japo sio kwa kiwango "kikubwa" (note the "-")...au wewe waonaje?
Maumivu ya Mapenzi siyataki tena Mbu mie. Hivi, ni kwanini Mapenzi yanauma?
......NK, .....mimi nimejiamulia kama nitaoa tena, basi atayenifaa ni ex-victim mwenzangu, ....ambaye nae keshaburuzwa vya kutosha bila kuthaminiwa huko alikotoka.
....iwapo sie wawili, tuliojaa makovu tukiamua kuishi pamoja, kuna chances pia za kuumizana japo sio kwa kiwango "kikubwa" (note the "-")...au wewe waonaje?
Maumivu ya Mapenzi siyataki tena Mbu mie. Hivi, ni kwanini Mapenzi yanauma?
Hahahha What an improvement Mbu.......kweli nimeamini maumivu ya mapenzi hupoa.........from kutaka mtoto wa kike tu bila mama mtu to kufikiria kuoa tena. May Mwenyezi MUNGU akupe kheri Soulmate.
Hilo ni wazo zuri sana Mbu.
Tatizo ni ukweli kuwa doa zinapovunjika kila mmoja anastory ya kujitetea. Hivyo hata yule ambaye alikuwa chita unaweza kukutana nae akakujaza uongo ukamuona ni victim kumbe ni source ya kuvunjika kwa ndoa yake. Nakwambia kazi kweli kweli. Tena wenye makosa wanajua kweli kujitetea.