Khaa! ..Hebu na Tujitambue...

.....nahisi ni evolution tu, au kama mafundisho ya kiimani yalivyotutabiria. U binadamu, haya na imani unatutoka...twarudia zama za 'mapangoni'....

Karibia tutakuwa worse than animals...
 
very true broda!
.....nahisi ni evolution tu, au kama mafundisho ya kiimani yalivyotutabiria. U binadamu, haya na imani unatutoka...twarudia zama za 'mapangoni'....

Karibia tutakuwa worse than animals...
 
Hilo ni wazo zuri sana Mbu.

Tatizo ni ukweli kuwa doa zinapovunjika kila mmoja anastory ya kujitetea. Hivyo hata yule ambaye alikuwa chita unaweza kukutana nae akakujaza uongo ukamuona ni victim kumbe ni source ya kuvunjika kwa ndoa yake. Nakwambia kazi kweli kweli. Tena wenye makosa wanajua kweli kujitetea.


......NK, .....mimi nimejiamulia kama nitaoa tena, basi atayenifaa ni ex-victim mwenzangu, ....ambaye nae keshaburuzwa vya kutosha bila kuthaminiwa huko alikotoka.

....iwapo sie wawili, tuliojaa makovu tukiamua kuishi pamoja, kuna chances pia za kuumizana japo sio kwa kiwango "kikubwa" (note the "-")...au wewe waonaje?

Maumivu ya Mapenzi siyataki tena Mbu mie. Hivi, ni kwanini Mapenzi yanauma?
 
kikubwa nikuwa na heshima mbele ya mwenyezi Mungu na mbele ya mkeo/mmeo tutafika na tutaishi maisha ya maana sana.
 
......NK, .....mimi nimejiamulia kama nitaoa tena, basi atayenifaa ni ex-victim mwenzangu, ....ambaye nae keshaburuzwa vya kutosha bila kuthaminiwa huko alikotoka.

....iwapo sie wawili, tuliojaa makovu tukiamua kuishi pamoja, kuna chances pia za kuumizana japo sio kwa kiwango "kikubwa" (note the "-")...au wewe waonaje?

Maumivu ya Mapenzi siyataki tena Mbu mie. Hivi, ni kwanini Mapenzi yanauma?

Hahahha What an improvement Mbu.......kweli nimeamini maumivu ya mapenzi hupoa.........from kutaka mtoto wa kike tu bila mama mtu to kufikiria kuoa tena. May Mwenyezi MUNGU akupe kheri Soulmate.
 
Hahahha What an improvement Mbu.......kweli nimeamini maumivu ya mapenzi hupoa.........from kutaka mtoto wa kike tu bila mama mtu to kufikiria kuoa tena. May Mwenyezi MUNGU akupe kheri Soulmate.

.....ameen....! but it is just a wishful thinking soulmate....kazi ni kumpata huyo ex-'heroine'....ambaye tuta fit makubaliano, viwango na vigezo vyetu (yeye na mimi) bana...maana waliowahi kuburuzwa mapenzini? aa, mbona wapo wengi tu!
 
Hilo ni wazo zuri sana Mbu.

Tatizo ni ukweli kuwa doa zinapovunjika kila mmoja anastory ya kujitetea. Hivyo hata yule ambaye alikuwa chita unaweza kukutana nae akakujaza uongo ukamuona ni victim kumbe ni source ya kuvunjika kwa ndoa yake. Nakwambia kazi kweli kweli. Tena wenye makosa wanajua kweli kujitetea.

...sawa kabisa! ....ndio maana kuna "her" story, "his" story and The Truth ambayo only "The Jury" can vote favourably to whom who'd present and defend well his/her case.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom