Tetesi: KFC kufungua mgahawa Katavi

Tetesi: KFC kufungua mgahawa Katavi

Mgahawa Maarufu duniani Kwa ajili ya Wanyonge KFC unatarajia kufungua Tawi jipya Katavi (Mpanda Mjini) kutokana na mahitaji (demand) ya huduma zao.

P Wafipa hatimae kilio chenu kimesikika.
KFC ni kwa huku Adrics ndio inapapatikiwa, kule kwao hio ni migahawa ya watu masikini
 
Sio bure tuna taifa ambalo hata Graduate wanawaza biashara za uchuuzi, yaani hata Model zetu za elimu ni za kijinga sana English ndio kipimo cha Ubora wa elimu

Mataifa mengi sana English ni language ni somo, sasa Bongo english ndio kipimo cha akili za mwanafunzi.
 
Tunapima Obora wa Elimu kupitia Kingereza,hii ni balaa ipo siku tuta realise ilikuwa ni makosa makubwa sana
 
Back
Top Bottom