Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,864
- 5,672
Rafiki yangu aliniambia Keys Hotel ya hapa Dar wanachoma mbuzi safi sana, leo nikaamua kwenda kupata lunch hapo, Nimekuta kweli mbuzi ipo na watu huwa wanakuja kula kwa wingi.
Kilichonishangaza kuna dada poa mchana wote wanawinda, Unakula wanakuangalia mwanzo mwisho, halafu wanaomba soda, sijui kwanini uongozi wa hotel wana waacha wasumbue wateja.
Kilichonishangaza kuna dada poa mchana wote wanawinda, Unakula wanakuangalia mwanzo mwisho, halafu wanaomba soda, sijui kwanini uongozi wa hotel wana waacha wasumbue wateja.