Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
haituhusu peleka malalamiko yako kwenye uongozi wa bar sio JF
Rafiki yangu aliniambia Keys Hotel ya hapa Dar wanachoma mbuzi safi sana, leo nikaamua kwenda kupata lunch hapo, Nimekuta kweli mbuzi ipo na watu huwa wanakuja kula kwa wingi.
Kilichonishangaza kuna dada poa mchana wote wanawinda, Unakula wanakuangalia mwanzo mwisho, halafu wanaomba soda, sijui kwanini uongozi wa hotel wana waacha wasumbue wateja.
Rafiki yangu aliniambia Keys Hotel ya hapa Dar wanachoma mbuzi safi sana, leo nikaamua kwenda kupata lunch hapo, Nimekuta kweli mbuzi ipo na watu huwa wanakuja kula kwa wingi.
Kilichonishangaza kuna dada poa mchana wote wanawinda, Unakula wanakuangalia mwanzo mwisho, halafu wanaomba soda, sijui kwanini uongozi wa hotel wana waacha wasumbue wateja.