Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,786
lipumba ashinde mara ngapi?
mkuu ilikuwaje ccm ikapata wabunge wengi ili hali alishinda lowassa?
Msajiri huyu anayetumika kama toilet paper unadhani atakubali kukisajiri?Atengenze chama chake kingine with the Plans for 2025 maana figisu figisu mpka za kusajiliwa kwa 2020 hataweza, Ila option 2 umri itakuwa kikwazo kwake.
Msajiri huyu anayetumika kama toilet paper unadhani atakubali kukisajiri?
Atakubali kwa maelekezo kutoka juu by planMsajiri huyu anayetumika kama toilet paper unadhani atakubali kukisajiri?
Lumumba Team at his best.Nyinyi Chadema mnaojifanya cuf tunakujuweni. Ambalo hamlijui ni kuwa hiyo Chadema ni chombo tu kinachotumiwa na Wachaga kwenye safari ya kuingia Ikulu. Kwa hivyo wale wote ambao ni makabila mengine ndani ya Chadema ni kondoo wa kafara tu. Ushahidi wa hilo, nini kilimtokea Zito baada ya kufanikisha kuingiza wanachama wengi mno ndani ya Chadema? Alifukuzwa. Bob Makani alitengwa pembeni mpaka leo jina lake limeshasahaulika. Katibu Mkuu wa sasa tayari wanamchimba kwa vitimbi mbali mbali ili audhike na aachie uongozi. Huyo Tundu Lisu walimpeleka kygombea uraisi TLS ikuwa ni kauzibe asije kugombea uraisi 2020 wa uenyekiti wa Chadema Taifa. Kwa taarifa yenu sisi wenye cuf ni tulushawashtukia njama zenu mda mrefu na ndio sababu kila mkijaribu kutoboa ukuta wa cuf drill yenu inakatika. To hell with your dirty games.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini aanzishe chama kipya ilhali vyama pinzani vipo tayari vimeshaundwa. au ndio ziwe akili kama za International Space Station ilhali limwezi lipo tu wala halihitaji gharama zaidi ya safari!Afanye hivi aanzishe chama kwa jina hili Civic United fron asilia
Wacha wafu wazike wafu wenzao. Seif na Lowassa wote oil chafuMkuu nazungumzia Znz, kumbuka uchaguzi halali ulifutwa. Kwenye kura za ugombea wa muungano Lowassa ndiye aliyeshinda.
Na hiyo ni mojawapo ya kazi ya chama tawalaNia ya serekali ya CCM ni kutaka kuvinyonga vyama vyote vya upinzani lakini katika harakati zake za kutaka kuviua vyama vya upinzani,itajikuta ina ibua chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kubwa zaidi ya hivi vilivyopo, kwa kuwa sio wote watakao kubali kujiunga na CCM baada ya vyama vyao kuuawa,wataamua kujiunga na Chama kimoja cha upinzani ambacho kitakuwa na nguvu kubwa na kumaliza utitiri mkubwa wa vyama vya upinzani vilivyopo hivi sasa.
Fanya mchezo na Rriprofesa nini....Hahaha mnachekesha nyie
toka 2015 tunaitafuta 2018
Bado mnangonjera za Uchaguzi wa 2015!!
Kweli Kuchanganyikiwa nako ni Ugonjwa hatari!!
Mtamuelewa Lipumba kwa nini kaitwa Profesa