Kesi ya kipuuzi sana hii!
Mama yetu hana kosa!! Mbowe naye hana kosa!?. Wachonganishi wanaumbuka karibuni hii.Huyu mama kila akizungumzia HAKI, anadhihirisha unafiki wa hali ya juu. Na kila anapolitamka hilo neno, ajue anachota laana mbele za Mungu. Mungu hana ushirika na mtu mnafiki.
Gaidi linasumbua watandika kitanda. Lifungeni watulie.Amina .
Natamani huu ujumbe aupate mhusika kabisa.Natamani nipate namba yakeMajaji Tanzania wanajivika ukatuni kwenye taaluma ya heshima tangu enzi ya torati...yule aliyepewa cheo ....na kuhadaa taaluma na weledi.....Ila hata akiwa anaoga au kabla hajalala au akiwa anasali Jambo hili dhambi hii inamrudia Sana....mwili wake utapungukiwa na Kinga kwa kasi na hata umauti .....hicho cheo atakuwa nacho kwa mda si mrefu
Nimeamua kumbadilishia taaluma Binti yangu, atafanya Afya na sio sharia tena! Hakuna maana ya kuteseka kusoma kisha ufanye maamuzi ya kipuuzi namna ile....Mungu akimpa uzima na Kibali miaka michacje nitakua na Daktari badala ya mla rushwaNinachelea kuijadili hii kesi nje ya mahakama.
Je itakuwa dhambi nikisema mwelekeo wa kesi hii kwa mujibu wa hukumu ya kesi ndogo inaonesha kabisa misingi ya HAKI kusiginwa?
Sitaki kabisa kuijadili lakini nafsi inaniambia kuna jambo halipo sawa kwenye hii kesi.
Mahakama itende haki na ioneshe haki inatendeka
Kizazi cha majaji halisi ni cha kina Mwalusanya, Lugakingira na Mwaikyusa.Cheo cha Ujaji kimekuwa cha kawaida sana siku hizi machoni kwa Watu
Majaji wanavyojitoa katika shauri hili utafikiri wapo kwenye mbio za "relay" huku kila mmoja akionekana ana kipande chake cha ushiriki na kisha kumuachia mwingine.Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .
Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .
View attachment 1986530
Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.
Mungu Ibariki Chadema
Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.
Usisahau kuwa Mungu wa Sabaya ndiye pia Mungu wa Mbowe .Hakuna marefu yasiyo na mwisho!!
Hili nalo litapita!!
Mungu ndiye hakimu wa kweli , kwa wenye Nia njema, kesi hii Ni ya kumkabidhi Mungu, maana Mungu anasema "Vita yako Ni Vita yangu"
Anayeweza kuwashughulikia CCM na mahakama zao ni Mungu pekee.
Chadema mnamatumaini haki kupatikana mahakamani?
Nani wakuamua wakati jaji kiongozi kajitoa kwenye huu msala wakujichafulia jina?Hukumu lini?
Yap Ni kweli Mungu wa Sabaya ndiye Mungu wa Mbowe, ila Sabaya alichagua kumtumikia Shetani na akaacha kufuata njia za kimungu katika cheo alichokuwa nacho, kwa hyo usijaribu kuwafananisha Hawa wawili Ni watu tofauti!!Usisahau kuwa Mungu wa Sabaya ndiye pia Mungu wa Mbowe .
Lile limama halina sifa ya uraisMama yetu hana kosa!! Mbowe naye hana kosa!?. Wachonganishi wanaumbuka karibuni hii.
Na msiombe akawa Mimi! Teh! Teh! Teh! Teh!Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .
Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .
View attachment 1986530
Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.
Mungu Ibariki Chadema
Hii kesi KILA wakibiringita inawaacha uchi,Hii ndio Taarifa mpya niliyoipata kutoka kwenye ofisi moja ya Ubalozi Jijini Dar es Salaam, nilipoenda kwa masuala ya kibiashara , Kwamba Yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Mtemi Isike , Laingwanan au Ustaadh Aboubakar Mbowe kama anavyojulikana huko Zanzibar , kesho atafikishwa kwenye Mahakama ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi katika Muendelezo wa Kesi inayomkabili .
Hata hivyo Taarifa hii imethibitishwa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika .
View attachment 1986530
Bali kisichofahamika ni jina la Jaji mpya aliyeangushiwa Jumba bovu la kuendesha Kesi hiyo ya moto unaobabua mwili na akili.
Mungu Ibariki Chadema
Usijali Mkuu kwani wao wana Polisi DPP na Mahakama Sisi tunae Mungu Muumba wa Yote. Tulimlilia na akatenda Jambo Kwa mwendazake. Hata hili nalo atatenda jambo.Majaji Tanzania wanajivika ukatuni kwenye taaluma ya heshima tangu enzi ya torati...yule aliyepewa cheo ....na kuhadaa taaluma na weledi.....Ila hata akiwa anaoga au kabla hajalala au akiwa anasali Jambo hili dhambi hii inamrudia Sana....mwili wake utapungukiwa na Kinga kwa kasi na hata umauti .....hicho cheo atakuwa nacho kwa mda si mrefu