mbunge wa upinzani kutoka chama kipi mkuu.Kesi ya uchaguzi inayo endelea hapa kilwa imesogezwa mbele tena hadi tarehe 19mwezi huu,inanyo onyesha ccm wamefanya mambo yetu yaleee ili uchaguzi urudiwe tena wampokonye mbunge wa upinzni alie shinda kwenye uchaguzi kiti cha ubunge
Eneo la waislamu kilwa huitaji kuuliza ni lazima awe ametoka CUF.mbunge wa upinzani kutoka chama kipi mkuu.