Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,918
Mtu anatengeneza makampuni zaidi ya matatu ili akwapue fedha za masikini kina mama ntilie wanaochangishwa na serikali yao ,
Huu ubinafsi wa kiwango hiki haujapata onekana,
Na bado wanaachiwa huru.
Hao mafisadi wanaokwiba majasho ya watanzania masikini watayalipa tu,
Kama sio wao, ni vizazi vyao na watadaiwa hata mbinguni.
Nawashitakia mafisadi yote Kwa Mungu mkuu.
Huu ubinafsi wa kiwango hiki haujapata onekana,
Na bado wanaachiwa huru.
Hao mafisadi wanaokwiba majasho ya watanzania masikini watayalipa tu,
Kama sio wao, ni vizazi vyao na watadaiwa hata mbinguni.
Nawashitakia mafisadi yote Kwa Mungu mkuu.