When two jumbo jets crash over Tanzania, will people accept the need for us to have a radar system? ....By JK 2001
To read the entire story please click the link below
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/1723673.stm
Who wants some Takbiru Ala Walibalu?
yeah utani leo unaruhusiwa ila mtu akija kubondwa na rungu la mtu wa bush asije kulia "lele mama". Mali nyingine ni za kuangalia tu.. zina wenyewe...
Labda ungeanza kutafsiri kama hicho ni kinywaji, chakula au ni tunda gani...
We sema tu kama unataka au vipi...
Jamaa ameshiba mihela ya kuwa middle man na dubious deals...PCB na serikali kwa kuanzia wafreeze assets za Vithcorp na Merlin Intl, alafu wamtumie meseji kupitia kwa mama yake pale West London. Yule Somaiya yeye amesalimika kwenye hili maana yeye alipewa $ 400,000.
NICE one MKJJ!Akishatiwa mbaroni, mashtaka mengine yako mbeleni.. tunataka abambwe kwanza... ni lazima tuhakikishe kuwa hawezi kuunda Kikosi cha Kisasi, au kula Njama kuharibu uchunguzi. ......Wanausalama wetu watumie njia zote kumtia mbaroni kwa amani, lakini Akibisha, Mlipue!
Wewe acha tu,
Mwaka 2002 serikali ya Joji Kichaka hapa US ilianzisha Pre-emptive doctrine ambayo inairuhusu US kupiga nchi yoyote ile inayopose threat kwa national security yao.
Kwa standard hii ya Kichaka (ambaye Kikwete ni rafiki yake), na mimi naendeleza hiyo doctrine hapa JF kwa kutangaza hadharani hukumu ya kifo dhidi ya huyu jamaa kwa vile anahatarisha usalama wa Tanzania.
Huyu baba akionekana popote pale ni kuuwawa tu. Sina muda wa kusubiri uchunguzi kwa sababu so far uchunguzi uliokwisha fanywa unatosha kuwashtaki walioshirikiana naya.
Call me crazy but I said it! na wapambe wake mnaosoma hapa ni kazi yenu kumwambia hili na kama kimemuuma sana afuatilie IP add yangu na kizaazaa cha kufa mtu kianze kati yangu na yeye!
Tatizo lako huwa huchelewi kuja hapa na tissue papers unalilia kuomba msamaha.......!!! hivi hilo ndio lile zee kubuhu fisadi la kibuzwagi? au hilo ni shoga lake?
there goes my girl.. I'm in so much love right now.. that is why you are the best unawaambia ukweli jinsi ulivyo. The principle of no whining is always maintained!!!
mzee swali lako la mwisho ni rahisi zaidi, kwa sababu anaweza! Ukiwa na njuluku kidogo lolote linawezekana Tanzania. Mbona kuna viongozi ambao wake zao wakiwa waja wazito mida ya kujifungua ikikaribia wanawapeleka Marekani ili wajifungulie huko?
mzee swali lako la mwisho ni rahisi zaidi, kwa sababu anaweza! Ukiwa na njuluku kidogo lolote linawezekana Tanzania. Mbona kuna viongozi ambao wake zao wakiwa waja wazito mida ya kujifungua ikikaribia wanawapeleka Marekani ili wajifungulie huko?