Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,008
- Thread starter
-
- #21
Wewe acha tu,
Mwaka 2002 serikali ya Joji Kichaka hapa US ilianzisha Pre-emptive doctrine ambayo inairuhusu US kupiga nchi yoyote ile inayopose threat kwa national security yao.
Kwa standard hii ya Kichaka (ambaye Kikwete ni rafiki yake), na mimi naendeleza hiyo doctrine hapa JF kwa kutangaza hadharani hukumu ya kifo dhidi ya huyu jamaa kwa vile anahatarisha usalama wa Tanzania.
Huyu baba akionekana popote pale ni kuuwawa tu. Sina muda wa kusubiri uchunguzi kwa sababu so far uchunguzi uliokwisha fanywa unatosha kuwashtaki walioshirikiana naya.
Call me crazy but I said it! na wapambe wake mnaosoma hapa ni kazi yenu kumwambia hili na kama kimemuuma sana afuatilie IP add yangu na kizaazaa cha kufa mtu kianze kati yangu na yeye!
Fisadi kavimbiwa kama fisadi mwenzao Mkapa
Mwafrika wa Kike,
Kwi kwi kwi!!! Usanii tu, una ubavu wa kulinyonga hilo libaba?
Njoo UK, nikuonyeshe alipo, of course na mimi kupata nafasi ya kukuona (kuua ndege wawili kwa jiwe moja eti).
Mwafrika wa Kike,
Kwi kwi kwi!!! Usanii tu, una ubavu wa kulinyonga hilo libaba?
Njoo UK, nikuonyeshe alipo, of course na mimi kupata nafasi ya kukuona (kuua ndege wawili kwa jiwe moja eti).
Kwi kwi kwi,
........Nilijua siku nyingi kuwa unatafuta kuniona na sasa umepata nafasi hiyo. Tuwasiliane kwenye PM maana krismas naenda bongo na labda nitapunguza siku za kukaa Amsterdam (kuvuta bangi kihalali) na kupitia UK ili "tusaini MOU memorandum of understanding" kati yangu na wewe.
I hope hiyo MOU itakuwa ya kukamata majizi kama hilo juu popote yapatikanapo na kuyang'oa kong'oli zao bila ganzi!!
SteveD.
mbona picha hiyo miye siioni?
AU imeng'olewa!
Wewe acha tu,
Mwaka 2002 serikali ya Joji Kichaka hapa US ilianzisha Pre-emptive doctrine ambayo inairuhusu US kupiga nchi yoyote ile inayopose threat kwa national security yao.
Kwa standard hii ya Kichaka (ambaye Kikwete ni rafiki yake), na mimi naendeleza hiyo doctrine hapa JF kwa kutangaza hadharani hukumu ya kifo dhidi ya huyu jamaa kwa vile anahatarisha usalama wa Tanzania.
Huyu baba akionekana popote pale ni kuuwawa tu. Sina muda wa kusubiri uchunguzi kwa sababu so far uchunguzi uliokwisha fanywa unatosha kuwashtaki walioshirikiana naya.
Call me crazy but I said it! na wapambe wake mnaosoma hapa ni kazi yenu kumwambia hili na kama kimemuuma sana afuatilie IP add yangu na kizaazaa cha kufa mtu kianze kati yangu na yeye!