Mawakili ni majizi yapo kibiashara zaidi. Yanajua kabisa unafungwa ila wanakukamua hadi senti ya mwisho.Hivi huko mahakamani wakili wa mtuhumiwa ushahidi wa wazi ukiletwa mezani na usiokua na shaka hua anafanyeje? Anabisha tu kama huku mtaani kwetu au anakubali? Na akikubali si ni kama amemsaliti mteja wake?
Yalimrekodi Kinana na Nape.Me sio muumin wa matendo ya sabaya ila vodacom ni masnitch sanaaaa
... yaani ufanye uhalifu halafu makampuni ya simu yakupe privacy?Nauliza tu, sitetei uhalifu!!
Mashirika ya simu hayana privacy kwa wateja wao, kama mitandao ya nchi nyingine i.e USA etc?
Nauliza tu, sitetei uhalifu!!
Mashirika ya simu hayana privacy kwa wateja wao, kama mitandao ya nchi nyingine i.e USA etc?
Hapo wanavunja sera zao za faraghaMe sio muumin wa matendo ya sabaya ila vodacom ni masnitch sanaaaa
Hatari sanaElectronic evidence sofar ipo na ni udukuzi usio na chenga at court
Kweli hata hii inaleta mashakaMara nyingi ushahidi wa simu hautumiki katika maamuzi hata kama umekubaliwa.Kwani ni lazima simu ikisoma mnara wa mtaa fulani basi na mimi nitakuwepo hapo?Uthibitisho wa sauti ni mgumu kwani kuna watu wana vipaji kuiga sauti za watu...mwishoni unakuwa ushahidi wenye shaka
Ujinga mwingi sana humu MkuuKwani apple ni service provider?
ni mapuuz sanaYalimrekodi Kinana na Nape.
wanazinguaHapo wanavunja sera zao za faragha
Sms mkuu ndo evidence inayokubalika kwetu hapa ni sms na transactions tu na siyo call logs, call logs ni katika kutambua tu kuwa x, y na z walikuwa na mawasiliano na walisomeka wapi so mambo mazuri tuendelee kuwa makini na simu zetuMara nyingi ushahidi wa simu hautumiki katika maamuzi hata kama umekubaliwa.Kwani ni lazima simu ikisoma mnara wa mtaa fulani basi na mimi nitakuwepo hapo?Uthibitisho wa sauti ni mgumu kwani kuna watu wana vipaji kuiga sauti za watu...mwishoni unakuwa ushahidi wenye shaka
Ngoja tukufahamishe kidogo ili uache mambo ya kukaliliUjinga mwingi sana humu Mkuu
Hapo ingekuwa ni upandae wa makamanda ungekuta wameshaaweka kampeni za kususia kampuni ya voda kam aluvyosema lemaSi Apple tu hata JamiiForums mfano mzuri ni Maxence Melo enzi zile za kesi ya CRDB