OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,199
- 103,733
niunganishwe kwenye kesi
imekuuma chomoa taratibuSheria siyo ushabiki kama siasa mzee bali ni utaalamu,kinachokusumbua ni uchochezi na siasa za maji taka.
Utahangaila sana kwenye mitandao juu ya hili tafuta kazi ya kufanya,plz!!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mkuu Bramo ,kwa heshima kubwa uliyonayo humu jf, sio vizuri kutunga uongo mkubwa hivi mchana kweupe!.Update
Bashite kaletwa Kortin, kasomewa Mashtaka ambayo hayana Dhamana
Mtu wa hovyo hovyo. Unatetea lila ujinga bila hata kufikiria.Mnapoteza muda wenu nyie wazee wa tutashitakiwa MIGA
Kiswahili kina upungufu wa vocabulary,hivi mwenda zake alisema mayalla maana yake nini vile?
Hahahaaaaa leo unamkataa!?Kiswahili kina upungufu wa vocabulary,
drought kwa Kiswahili ni njaa
Famine kwa Kiswahii ni njaa
Hunger kwa Kiswahili ni njaa
Empty stomach kwa Kiswahili ni njaa.
Mayalla ni ukame unaosababisha baa la njaa na sio njaa ya tumbo yenye kuhitaji shibe!.
Ila pia, naniliu, hakuwa Msukuma original, hivyo kukosea sio jambo la ajabu.
P
Paul Makonda ni Mlokole, hana haja ya kufungua kesi, anamwachia Mungu, atamalizana nao kupitia karma.Kwahiyo Paul Makonda afungue kesi dhidi ya Raia mwema kwa kusema uongo.
Kuna wasiojulikana wa aina mbili.Kumbe wasiojulikana .... Wanajulikana.
Hao wachache waliobaki wafichuliwe washughulikiwe ...!!
Yaani mkuu kuna mijiu mijinga hadi hurumaKwahiyo wamahakamani na wakufungwa pingu wanafahamika na kwa madaraja mliyowaandalia sio?
ngoja tufanye mchakatoniunganishwe kwenye kesi
Ila wewe aisee!Mimi kazi yangu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea ninaye andika habari za kimaendeleo tuu kwa maslahi ya Taifa. Kwangu mimi hiyo issue haina maslahi tena, haswa kwa kuzingatia, karma tayari imeisha kula vichwa vya wahusika wakuu karibu wote.
P
Paul Makonda ni Mlokole, hana haja ya kufungua kesi, anamwachia Mungu, atamalizana nao kupitia karma.
P
Wewe nyundo2017 ni mke wa Makonda? Kwani wewe ni mgeni na uovu wa huyu hayawani?Sheria siyo ushabiki kama siasa mzee bali ni utaalamu,kinachokusumbua ni uchochezi na siasa za maji taka.
Utahangaila sana kwenye mitandao juu ya hili tafuta kazi ya kufanya,plz!!
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
No sio leo, nimesema mara nyingi, kuna wahamiaji haramu kibao, walilowea na kuwa Wasukuma ila sio original!. Nilisema ukiona Msukuma ana tabia za ajabu ajabu tofauti na tabia za asili za Wasukuma, ujue huyo sio original, na hili nililizungumza vizuri hapaHahahaaaaa leo unamkataa!?
Na kwenye uzi huu,Wanabodi,
Wasukuma Sio Wakabila.
Sisi Wasukuma sio wakabila wa ukabila m-baya kwa kufanya ubaguzi wa kikabila au kindugu, yaani undugunaization wa nepotism, Wasukuma ni watu poa sana, ndilo kabila linaloongoza kwa watu wachapa kazi, ndilo kabila linaloongoza kwa upendo, ndilo kabila linaloongoza kwa ukarimu, ndilo kabila linaloongoza kwa unyenyekevu, ndilo kabila linaloongoza kwa viongozi ambao they are "men of the people", yaani watu wa watu na down to earth. Hivyo ninavyoandika hapa simtetei Magufuli kwa vile ni Msukuma, namtetea kwa vile mambo mengine, wanamsingizia bure tuu huyu Msukuma wa watu!.
The General Rule And The Exception to the Case.
Kwa vile ukanda, udini, na ukabila ni vitu ambavyo ni kweli vipo, na as a general rule, kabila la Wasukuma, hawana ukanda, ukabila wala udini, ila kila kwenye general rule, kuna the exceptional , hivyo pamoja na Wasukuma kuwa sio wabaguzi wa ukanda, udini na ukabila, there are always some exeption to the case , wakatokea Wasukuma wawili watatu, wakawa ni wabaguzi, wakabila na wadini, these are isolated individual cases, zisichukuliwe kulinyooshea kidole kabila lote, au Wasukuma wote, tena kwenye, hizo individual isolated cases, unaweza kabisa kukuta, hao wanaofanya hivyo, in actual facts, sio Wasukuma halisi, bali ni just porpoted to be Wasukuma!.
Paskali
Huyu Mama Samia ndo anawatuma kufungua kesi dhidi ya waliokuwa wateule wa JPM nini? Mbona sielewi elewi?labda ale Mafi ya Bata!
Wakili Uchwara katika high level.Hii inaitwa sensationalism, na imesababishwa na gazeti la Raia Mwema kudanganya watu kuna kesi. Ukweli ni kuwa, hakuna kesi yoyote, iliyofunguliwa mahakama yoyote, kumhusu Paul Makonda!.
Kilichopo ni Kubenea anaomba kibali cha mahakama, imruhusu kufungua kesi ya jinai ya Makonda dhidi ya uvamizi wa Clouds media.
Nasema hakuna kesi yoyote hapo kwasababu kuathirika na uvamizi huo, Clouds hajalalamika popote, hivyo who is Kubenea?. What has uvamizi wa Makonda Clouds Media got to do with Kubenea?. Hili ombi la Kubenea, limekosa kitu cha kisheria kinachoitwa "locus stand".
Kubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.
Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.
P
Mkuu, kwa sie tuliomfahamu akiwa hajabalehe, maneno yako si sahihi. Alikuwa ni Nsukuma Getegete na alipambania usukuma tangu awali. Naomba niishie hapo.No sio leo, nimesema mara nyingi, kuna wahamiaji haramu kibao, walilowea na kuwa Wasukuma ila sio original!. Nilisema ukiona Msukuma ana tabia za ajabu ajabu tofauti na tabia za asili za Wasukuma, ujue huyo sio original, na hili nililizungumza vizuri hapa
nilisemaTuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!
Wanabodi, Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni!, Wasukuma sii miongoni mwa makabila yenye ukabila m-baya!, hivyo mtu akiwa ni Msukuma kweli, kamwe hawezi kuwa na ubaguzi wa kikabila, kidini na kikanda, labda jinsia, na hili sio kosa lao, ni mfumo dume wa jamii za kiasili za kiafrika. Declaration...www.jamiiforums.com
Na kwenye uzi huu,
HAPA
wanaoujua ukweli, walitiririka
P.
Wanufaika na awamu ya 5 mnaonekana tu.Hii inaitwa sensationalism, na imesababishwa na gazeti la Raia Mwema kudanganya watu kuna kesi. Ukweli ni kuwa, hakuna kesi yoyote, iliyofunguliwa mahakama yoyote, kumhusu Paul Makonda!.
Kilichopo ni Kubenea anaomba kibali cha mahakama, imruhusu kufungua kesi ya jinai ya Makonda dhidi ya uvamizi wa Clouds media.
Nasema hakuna kesi yoyote hapo kwasababu kuathirika na uvamizi huo, Clouds hajalalamika popote, hivyo who is Kubenea?. What has uvamizi wa Makonda Clouds Media got to do with Kubenea?. Hili ombi la Kubenea, limekosa kitu cha kisheria kinachoitwa "locus stand".
Kubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.
Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.
P