Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,472
- 215,293
Leo tarehe 3/12/2021 inaweza kuwa siku nzuri kwa wapenda haki duniani , baada ya mmoja wa Wasiginaji wa kubwa wa haki hizo kuburuzwa Mahakamani kwa tuhuma kadhaa ikiwemo uvamizi wa kutumia silaha na ulevi wa Madaraka .
Kesi hii iliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Mh Saed Kubenea kwa niaba ya watu wote , inatajwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni .
Bado hatujafahamu kama Mtuhumiwa huyo ataletwa akiwa na Pingu mkononi au la .
Usikae mbali .
=======
Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Kubenea amesema kesi hiyo imeondolewa na itawasilishwa tena wiki ijayo baada ya kufanyiwa Marekebisho mazito kwenye maeneo fulani ili kukidhi vigezo vya kisheria .
Kesi hii iliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Mh Saed Kubenea kwa niaba ya watu wote , inatajwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni .
Bado hatujafahamu kama Mtuhumiwa huyo ataletwa akiwa na Pingu mkononi au la .
Usikae mbali .
=======
Hekima Mwasipu ambaye ni Wakili wa Kubenea amesema kesi hiyo imeondolewa na itawasilishwa tena wiki ijayo baada ya kufanyiwa Marekebisho mazito kwenye maeneo fulani ili kukidhi vigezo vya kisheria .