dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Wamekataa kutawaliwa na Watanganyika na huo ndio msimamo wa WAZANZIBAR woteeeWEWE UTAKUWA SIYO MTANZANIA MPAKA USIJUE KILE WALICHOKIFANYA
Wamekataa kutawaliwa na Watanganyika na huo ndio msimamo wa WAZANZIBAR woteeeWEWE UTAKUWA SIYO MTANZANIA MPAKA USIJUE KILE WALICHOKIFANYA
Sio wote tunajua kila kitu hata ww nikikuuliza vifungo vya shati lako viko vingapi hapo na shati ni lako unaweza usinipe jibu sahihi kwa hiyo shati sio lako? NijibuWEWE UTAKUWA SIYO MTANZANIA MPAKA USIJUE KILE WALICHOKIFANYA
Usilolijua nikama usiku Wa Giza
Ujinga gani walimtongoza mke wako au walikutongoza wewe??
Tanganyika hamjawahi kufanya fujo? Lini mliwekwa kizuizi I mipaka 10 au kwa vile WAZANZIBAR mmewaoa siyo??
huu ujinga waache nchi inaviongozi na mamlaka ni lazima yaheshimiwe..
Huu ujinga wenu ndio unawafanya WAZANZIBAR kuuchukia huu Muungano bandia mna roho mbaya kama nyoka mweusi
ujinga kama huu..
Hao Masheikh wakitoka muwaonye kabisa ujinga ujinga waache huku mtaani watu wanataka amani na sio fujo wakizingua tutawazingua ...
Waliotaka au walioufanya.MBONA WASHAOMBA MSAMAHA NA HAWATARUDIA TENA KWA UPUUZI WALIOTAKA KUUFANYA
Kama wana hatia lazima sheria iwale ila pia kama hawana hatia hata leo hii waachiwe ila pia kama uchunguzi haujakamilika yatupasa kuwa wavumilivu hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. Tuna imani na DPP, mahakama na vyombo vyetu vya kunusanusa.Mwaka watisa huu mbona hamjaona Hilo kosa WACHENI UKOLONI HUO wewe angelikua baba yako kateseka hivyo ungesema hayo WACHENI USHENZI WAZANZIBAR NA BINADAMU PIA KM NYINYI
Hamjakamilisha uchunguzi miaka Tisa hamna hata aibu??Kama wana hatia lazima sheria iwale ila pia kama hawana hatia hata leo hii waachiwe ila pia kama uchunguzi haujakamilika yatupasa kuwa wavumilivu hadi pale mambo yatakapokuwa sawa. Tuna imani na DPP, mahakama na vyombo vyetu vya kunusanusa.
Chizi akichukua nguo zako wakati unaoga usimkimbize ,utaonekana wewe ndiye ChiziTunajua mnajua kama wanaonewa, isipokuwa mioyo ya chuki na iliyojaa ukosefu wa haki.
Viroba vilivyo kuwa vinajazwa maiti na kutupwa mitoni na baharini ni hao Masheikh?
huu ujinga waache nchi inaviongozi na mamlaka ni lazima yaheshimiwe..
Si mlisema hawatokiHao Masheikh wakitoka muwaonye kabisa ujinga ujinga waache huku mtaani watu wanataka amani na sio fujo wakizingua tutawazingua.
Hakuna jinsi ni lazima waachiwe huru maana hawana kosaUkiona hivi ujue wanatafuta vifungu vya kuwaachia huru.
Hivi hatuwezi kujiuliza kwa Kikwete aliwachukua kawaweka, Magufuli kawakuta pamoja na kupenda sifa kwake kote hakuwatoa badala yake kamtoa Babu Seya na Nguza Vikingi wenye political gain ndogo kuliko mashekh hawa? Tafsri ni ndogo tu kuwa jambo hili ni zito, yaliyo nyuma ya hawa jamaa si ya kuonea huruma hususani kwa mtu aliyekaribu na chemba ya ukweli wa jambo hili kwa ujumla.Hamjakamilisha uchunguzi miaka Tisa hamna hata aibu??