Ila haya majamaa yalifanya sana fujo
Hawa jama walikosa nini hasa?
Waislamu wa Saudi Arabia wanapata magumu ganiNichukue fursa hii kuwaombea kwa mwenyezimungu waislamu wote kwa madhila yanayowapata kote ulimwenguni.Waislamu wanapitia magumu sana katika maisha yao na utekelezaji wa imani yao,poleni sana ndugu zangu katika imani.Naandika nikiwa ninahudhuni na manung'uniko juu ya yale yanayowapata ndugu zangu.Allah awajaalie imani na uvumilivu katika majaribu yanayowakuta#yanamwisho
Swala la uamshio sio hata la DPP yeye amelikuta tu tuache mihemkoDPP biswalo umetesa sana watu, bado na wale mashehe akina rugemalira na seth
Wacha wengi una ushahid kama wamefanya fujo au chuki zako tuIla haya majamaa yalifanya sana fujo
Vyovyote iwavyo hakuna mwanadamu kamili anayefurahia kumuona MWENZAKE AKITESEKA....Wakuu Hawa watu wanatuhumiwa kwa mokosa gani jamani wanajiita JUMIKA had sas cjajuwaga makosa yako Ni yapi Ni ugaid au kudai zanzibar kwa njia mtutu na ufunjifu wa amani visiwani kule...
Nakaribisha maelezo View attachment 1791190
Nani alithibitisha ugaidi wao?Zanzibar hakuna mahakama ya magaidi!
Sad,hawakukosea ila tu walipojaribu kuhoji huu muungano wa kisaniii