Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,988
- 142,388
Anajitahidi sana kwa kweli.Mange na mapungufu yake yote ila ni Mwamba
Panachimbika, MangeKimambi alipwe mabilioni yakeKama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.
Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.
Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.
View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv
Mange kafichua madudu mengi sana...
Sema wale mafisadi walio mreport META walihusisha na masuala ya Mange kipindi anafanya issue zake zile za connection kwenye app yake, wakahusianisha kwamba ni kazi yake kuchafua watu.. meta walipofuatilia wakaona alikuwa kweli anafanya issue za connection kabla... ndipo wakapiga pini na kutia ngumu, pasipo hivyo ilikuwa ngumu sana kufuta account yake...
Lakini yote na yote mi naona hata zile connection alikuwa anaachia ni sehemu ya harakati tu, maana wasanii akili hawana...
Sheria za Meta amezifata, alizifata au alizikiuka?
Kama namwona Samuya huko aliko akitukana, akisonya, na kuvimbisha mashavu yake.
Mange afungua shauri dhidi ya kampuni ya Meta ambayo ndo inamiliki Instagram, WhatsApp, na kadhalika.
Tazama hiki kipande cha runinga ya Firstpost.
View: https://youtu.be/5zEttYOuyvA?is=8j15o65At_8zjVQv