Kesi ya Lissu inahitaji huruma ya Rais Samia tu, sio lundo la wanasheria watetezi

Kesi ya Lissu inahitaji huruma ya Rais Samia tu, sio lundo la wanasheria watetezi

anthopody

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2024
Posts
262
Reaction score
183
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Hakuna anayehitaji huruma ya yeyote. Kinachohitajika asiwepo wa kuingilia Uhuru wa Mahakama.
Kama huruma ya huyo unatemtaja ni kuiingilia Mahakama, basi katika hilo hakuna anayelihitaji
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Hakuna Cha huruma Mahakama ndio iamue ,si wameenda huko Kwa mabwana zao Ulaya waje Sasa wamtoe.
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Hakuna walipopigwa mkuu, mwenye kisu ndio mla nyama. Ikienda ki haki Lissu hata kesho anatoka ni vile tu uchawa, umasikini na njaa imemaliza akili kabisa za Taifa hili.
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Unadhalilisha sheria kama umesomea Unawezaje kukamata Mtu huna Ushaidi kwa kipindi kirefu wakati haki Jinai Inakataza ?
 
Hakuna anayehitaji huruma ya yeyote. Kinachohitajika asiwepo wa kuingilia Uhuru wa Mahakama.
Kama huruma ya huyo unatemtaja ni kuiingilia Mahakama, basi katika hilo hakuna anayelihitaji
Unaweza kuwa unaongea Ili ufundishwe,tulia endelea kuamini unachoamini
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Mbona kama ID mpya hii?Wewe siyo miongoni mwa Machawa na Malaya wa kisiasa kina Tlaatlaah chiembe MamaSamia2025 jingalao
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Utawaelewje wanasheria wa utetezi wakati mmejificha kwenye kichaka cha kuahirisha kesi? Lissu haitaji huruma ya Samia. akitaka aahirishe kesi milele
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.
Una matatizo kichwani ila hujui
 
Leo hii nimejaribu kufuatilia kesi hii nimegundua uelewa wa wanasheria wa utetezi umepwaya sana lkn kongole kwa upande wa Jamhuri

Siwezi eleza wapi wamepwaya lkn bila huruma ya SSH kama mama naona jamaa IDU na uenyekiti wake atastaafia akiwa gerezani

Tukutane 16/06,hivi hao wanasheria ndio huwa mnawasifia kweli.

Gap nyingi wamepigwa wameshindwa kuchomoa eti Leo Simba Kufungwa 3 na SBS mnashangaa,tulieni goli liingie kwenu sasa.

Naona umekuja kupima upepo kwenye ule utopolo uliokuwa mahakamani. Ndio maana wawekezaji hawako tayari mahakama zetu kuamua mashauri yao. Yaani unaona kabisa hakimu anaamua kuiridhisha serekali, na ww unaona unatuchota eti itategemea huruma ya rais. Itaacha kutegemea huruma ya rais wakati rais ndio anapanga ifanyike vipi?
 
Back
Top Bottom