wakili alitaka kujibu hoja ya wakili wa lema kuwa ccm walitakiwa kunukuu kashifa zilizotolewa na kama ni hivyo alitakiwa alie kashifiwa aende kwenye mahakama husika akadai fidia..kiukwe wakili wa ccm amekabwa..ngoja tuendelee kufatilia
kifungu na 11 cha sheria za uchaguzi inamapaungufu..
Ahsante sana mkuu kwa updates, rafiki yako ngongo bado anafanya verification.
Nadhani magamba wametumia ile staili yao ya karatu dhidi ya Dr. Slaa. Wanaoshindwa hawafungui kesi wanawatuma watu wengine.
Ngoja tuone mwisho wake ingawa dalili zinaonyesha uwezekano mkubvwa wa kesi hii kutupwa kwa macho ya kawaida, ngoja tusubiri wajuvi wa sheria wataamuaje.
anatolea mfano kesi ya 2005 Kesi ya Dr Slaa na makongoro nyerere wapiga kura hawakulalamika kuwa kura zao zilichakachuliwa anasema washitakiwa hapa sija muelewa anataka kusema nini
unataka uraia wangu, au unashangaa mimi kutokujua sheria, mimi naandika kinachosemwa na wakili wenu na jaji..<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Heshima Crashwise.<br />
<br />
Hivi wewe ni Mtanzania kweli ?.Unaposema kifungu na 11 cha sheria za uchaguzi inamapungufu una maana gani ?.</b></span></font>
supu inaingia je..nilisha kwambia niletee familia yako nikulelee...harafu huyu wakili wenu ni kama wewe maneno mengi cha maana mpaka sasa bado sijaona ingawa kishelia mimi naweza pata 2/10<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Craswise vipi hujanywa supu ebu toa maelezo sawa sawa.</b></span></font>