Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
jamani tuko mbali na Arusha tupeli habari za kweli mbona kesi haikua inaonesha kua lema anazidiwa? imekuaje wakuu
Afadhali turudie uchaguzi ili tuepukane na huyu MLA NDUMU wenu.
Leo katika pitapita zangu hapa A.town nimekutana na wanamagamba kadhaa wakifurahi kuwa eti mh. Lema ameshashindwa kesi kilichabaki ni hakimu kutoa hukumu ya kushindwa na kurudia uchaguzi naomba mwenye taarifa zaidi kutoa hawa wanamagamba wanaotamba uchaguzi kurudiwa mwenye taarifa zaidi tafadhali atujuze.
hata mimi nimesikia
wanasema pesa iliyotembea hakuna hakimu duniani ambaye angekubali impite!!! kazi kwenu wana arusha:A S 13:
Haiwezekani!!!!! Arusha patachimbika
Hii habari inaweza kuwa kweli na uwezekano mkubwa ni kwamba hata hukumu yenyewe imeandaliwa na watu wengine kabisa na sio judge aliyeendesha kesi!
Tanzania tulikotoka tunajuwa lakini huko tuendeko ni giza tupu.
Na vipi akishinda tena?
Breaking Newszzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Confirmed
Nimeipata toka kwa mtu wangu wa kariiiiiiiiiiiiiiibu
GODI-BURE-SI LEMA kwisha habari zake
Akaendeleze kashfa zake hukoooo mtaaani
hata mimi nimesikia
wanasema pesa iliyotembea hakuna hakimu duniani ambaye angekubali impite!!! kazi kwenu wana arusha:A S 13:
breaking newszzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
confirmed
nimeipata toka kwa mtu wangu wa kariiiiiiiiiiiiiiibu
godi-bure-si lema kwisha habari zake
akaendeleze kashfa zake hukoooo mtaaani
h.o.m.o.s.e.x.u.a.lbreaking newszzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
confirmed
nimeipata toka kwa mtu wangu wa kariiiiiiiiiiiiiiibu
godi-bure-si lema kwisha habari zake
akaendeleze kashfa zake hukoooo mtaaani
Hakuna nguvu ya dola iliyowahi kushinda nguvu ya umma duniani.