Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
iko siku.
sana tu kweli kumharibia mtu maisha yake yeye pamoja na familia yake kiasi hiki,halafu mnajua kuwa watoto wakifundishwa kudanganya wanaweza?hii kesi in utata mwingi sijui walimkosea nani kina babu seya!lakini malipo hapahapa duniani.its very sad!nililia that day nimewaona kwenye tv maana nilijiweka mimi ndio wao.mungu awape farajaiko siku.
sipendi haki iwe zawadi......... kama babu seya ni mbakaji, let him rot in jail lakini kama babu seya ni inoocent, basi babu seya apate hesima ya pekee na tumpe heshima yake