@GSANA, ktk maelezo yako wewe umekiri na umeonyesha hata Nguza mwenyewe amekiri kuwa ana makosa, sasa iweje utetee mkosefu? Mfano wa Pilato na Barnaba msaliti ni mfano mbaya sana kutumiwa na kiongozi mwadirifu, yaani mwenye haki asulubiwe, msaliti aachiwe? Hapana... kama si kwa maslahi yako binafsi basi uadirifu wako una mashaka.
Tangu ulipochukua dola mh. Jakaya Mrisho Kikwete,hujawahi kujitokeza hadharani ukaongea na Watanzania kwa kukurudisha Ikulu ya magogoni. Shukrani ambazo kwazo nahisi umezitunza hadi 9 Dec.siku ya Uhuru ambapo unakusudia kuwaonesha nuru walioikosa kwa mda mrefu_wafungwa. Mkuu tunamwomba Babu Seya awe huru kama zawadi ya ushindi wako kurudi kuongoza dola,mkuu huyu baba na mwanae,wanaomba kwa mara ya mwisho waweze kurudi duniani kuungana na 'nguza viking family' pamoja na Watanzania wote. Najua mzee Nguza amekuwa mpore tayari kuchukua msamaha wako na kaapa mara nyingi kutorudia makosa. Mwl. Nyerere alisikika kusema wakati ule wewe ulikuwa hujakomaa kuongoza taifa la Tanzania,leo umekomaa na kukabidhiwa dola,sasa tunaomba uoneshe ukomavu wako na umahiri ili maneno ya Nyerere yawekwe kando. Baada ya yote,mh.tupe Nguza Viking and family! Siku ya shehere za Ceaser akawauliza nimfungue nani? Wengi wakasema Yesu mnazareth! Ila wengine wakagoma kuwa asulubiwe , pilato na watawala wakamwachia Barabba msaliti, na kumsulubu Mnazarethi,ilikuwako ili maandiko yatimie. Sasa wee tuoneshe ukuu wako mwachie Nguza upate aman na utulivu wa roho. Mr. President tunamwomba Nguza Vking and family!
mr Acid salaam! Nadhan nimekuwahi kabla ujatoka jamvini. Mi naelewa kuwa haki isiwe zawadi ila kwa kuwa tumeshajiwekea utamaduni kuwa watu wanapewa zawadi ya kutoka jela kila siku ya Uhuru basi ata babu seya apewe. Hii aijalishi alikutwa na hatia kihalali au la! Mi nasema kama tumempa rais uwezo wa kutoa msamaha basi awaangalie hata watu hawa wenye kukutwa na kosa linalofanana sana na dhambi! Mkuu nielewe,being found guilty means not rotting or decaying in jail. Doesn't means no need of forgiveness,pardon is always fair!
Gsana...mr Acid salaam! Nadhan nimekuwahi kabla ujatoka jamvini. Mi naelewa kuwa haki isiwe zawadi ila kwa kuwa tumeshajiwekea utamaduni kuwa watu wanapewa zawadi ya kutoka jela kila siku ya Uhuru basi ata babu seya apewe. Hii aijalishi alikutwa na hatia kihalali au la! Mi nasema kama tumempa rais uwezo wa kutoa msamaha basi awaangalie hata watu hawa wenye kukutwa na kosa linalofanana sana na dhambi! Mkuu nielewe,being found guilty means not rotting or decaying in jail. Doesn't means no need of forgiveness,pardon is always fair!
mKUU THANKSVigezo vya msamaha - wasiwe wafungwa wa makosa ya kutumia silaha, ubakaji....
Tangu ulipochukua dola mh. Jakaya Mrisho Kikwete,hujawahi kujitokeza hadharani ukaongea na Watanzania kwa kukurudisha Ikulu ya magogoni. Shukrani ambazo kwazo nahisi umezitunza hadi 9 Dec.siku ya Uhuru ambapo unakusudia kuwaonesha nuru walioikosa kwa mda mrefu_wafungwa. Mkuu tunamwomba Babu Seya awe huru kama zawadi ya ushindi wako kurudi kuongoza dola,mkuu huyu baba na mwanae,wanaomba kwa mara ya mwisho waweze kurudi duniani kuungana na 'nguza viking family' pamoja na Watanzania wote. Najua mzee Nguza amekuwa mpore tayari kuchukua msamaha wako na kaapa mara nyingi kutorudia makosa. Mwl. Nyerere alisikika kusema wakati ule wewe ulikuwa hujakomaa kuongoza taifa la Tanzania,leo umekomaa na kukabidhiwa dola,sasa tunaomba uoneshe ukomavu wako na umahiri ili maneno ya Nyerere yawekwe kando. Baada ya yote,mh.tupe Nguza Viking and family! Siku ya shehere za Ceaser akawauliza nimfungue nani? Wengi wakasema Yesu mnazareth! Ila wengine wakagoma kuwa asulubiwe , pilato na watawala wakamwachia Barabba msaliti, na kumsulubu Mnazarethi,ilikuwako ili maandiko yatimie. Sasa wee tuoneshe ukuu wako mwachie Nguza upate aman na utulivu wa roho. Mr. President tunamwomba Nguza Vking and family!
mKUU THANKS
NAPATA SHIDA SANA KUMWELEWA GSANA
Hivi kweli mtu amebaka watoto wako au mkeo, unaweza ukasema awe huru? [ANAGALIZO, HAPA NAZUNGUMZIA GENERAL SITUATION NA SI YA BABU SEYA]
maneno ya vijiweni?how far are u sure kama hana hatia?...ivi umesoma nilichoandika mkuu? Kuna sehemu nmesema hana hatia au ana atia,mi si court! Ivi mkuu huwa unakaa na kupitia mambo muhimu kama "powers of the president?", kumbuka kupitia sheria kidogo,si kudhania! Remember no law without except! Rais anaweza kuondoa au kubadilisha au kupunguza au kubatilisha kifungo chochote! Soma hata katiba inaeleza vizuri wala usipate ugumu wa kunielewa,ila aya ni maoni yangu,kama si mazuri yapuuze tu.Gsana unajua Mh JK huwa anatoa msamaha kwa wafungwa wa aina gani?how far are u sure kama hana hatia,wabongo bwana kwa kupenda kusikiliza maneno ya vijiweni!
Gsana...
TUko pamoja sana, ila naomba unielewe kwamba iwapo mkosaji ameiba kuku au kajeruhi kwa momentary insanity naweza kuelewa... lakini kama mtu amelawiti watoto zaidi ya kumi na kuwaharibu for the restof their lives, huyo kwangu ningenyonga, unasema hivyo labda huna watoto... hapa simzungumzii nguza kama nguza nazungumzia mtu atakayekuja na kuanza kulawiti wanangu tena under 10 years of age
na ndio maana nikasema apewe haki yake; binafsi ni mshabiki wa nyimbo zake sana tu na kwa maestro kiki hunikosi hata anapopiga kigamboni jumamosi mchana
JE UNA WA WATOTO, UMESHAWAHI KUPATA TASWIRA MWANAO MDOGO, MALAIKA AS HE/SHE CAN BE ANARUDI NYUMBANI AKIWA KAHARIBIKA KABISA HUKO NYUMA?
LA NGUZA LINA SIASA NA VISASI NDANI YAKE KWAHIYO WAWEZA USIWE MFANO MZURI
Mkuu Heshima kwako,
Binafsi sijawahi kusikia Babu Seya kakiri kosa lake, ninachojua mimi kuna utata mwingi sana juu ya shauri lilomtia hatiani pamoja na familia yake, siwezi kusema ni nini maana sielewi na ninapo fikiri juu yake huwa nachanganyikiwa.
Waliomtia hatiani wanajua ukweli wake, hivyo wamtendee haki kwani pia anastahili.
Tangu ulipochukua dola mh. Jakaya Mrisho Kikwete,hujawahi kujitokeza hadharani ukaongea na Watanzania kwa kukurudisha Ikulu ya magogoni. Shukrani ambazo kwazo nahisi umezitunza hadi 9 Dec.siku ya Uhuru ambapo unakusudia kuwaonesha nuru walioikosa kwa mda mrefu_wafungwa. Mkuu tunamwomba Babu Seya awe huru kama zawadi ya ushindi wako kurudi kuongoza dola,mkuu huyu baba na mwanae,wanaomba kwa mara ya mwisho waweze kurudi duniani kuungana na 'nguza viking family' pamoja na Watanzania wote. Najua mzee Nguza amekuwa mpore tayari kuchukua msamaha wako na kaapa mara nyingi kutorudia makosa. Mwl. Nyerere alisikika kusema wakati ule wewe ulikuwa hujakomaa kuongoza taifa la Tanzania,leo umekomaa na kukabidhiwa dola,sasa tunaomba uoneshe ukomavu wako na umahiri ili maneno ya Nyerere yawekwe kando. Baada ya yote,mh.tupe Nguza Viking and family! Siku ya shehere za Ceaser akawauliza nimfungue nani? Wengi wakasema Yesu mnazareth! Ila wengine wakagoma kuwa asulubiwe , pilato na watawala wakamwachia Barabba msaliti, na kumsulubu Mnazarethi,ilikuwako ili maandiko yatimie. Sasa wee tuoneshe ukuu wako mwachie Nguza upate aman na utulivu wa roho. Mr. President tunamwomba Nguza Vking and family!
Hakika yeye mwenye mamlaka ya kusamehe ataamua na hakuna atakayepinga. Naogopa kutenda makosa duniani, maana nitaadhibiwa duniani na huko mbinguni itakuwa mara mia elfu na elfu.