Kesi ya ACACIA

Ccm ndio wakulaumiwa daima pamoja na Yohana ambaye hakuwahi kukataa kupitisha miswaada ya kipuuzi hivi
 
Fukuza hao wasengeli wametufilisi sana. asilimia 4 ndo nini hatupati hasara tukiwafukuza cha kufanya mchanga ule tugawane tusugulie masufuria kwa dharau. Madini tuchimbe wenyewe kama hatuwezi watakuja kuchimba wajukuu zetu.
 
Hii hasara ndio mmeijua leo?

Huu uchungu ndio mnausikia leo?

Leo ndio mmkekuwa watanzania?

Wakati wapinzani wakihoji mambo haya si mlikuwa mkiwapinga?

Uchungu ni baada ya Magu kuongea na si Zitto wala Lissu?

Msitufanye wajinga bora mkaomba radhi kwa hii hasara mlitusababishia.
Tusiwafanye wajinga wewe na nani? Usitumie PLURAL - Jizungumzie Mwenyewe
 
Ilikua 3% miaka yote, tulipo lia sana wakaongeza 1% ndio tunapata sasa hiyo 4%.
Jamani hebu tujitahidi kuyaelewa haya mambo bila mihemko. Hiyo 4% ni mrabaha na inalipwa kwenye gross value. Hapo mwekezaji bado hajatoa gharama za mtaji na uendeshaji. Bado atatakiwa kulipa kodi kibao kama kodi ya mapato ambayo ni 30%, SDL, PAYE, withholding tax, service levy nk. Kiuhalisia serikali inapata zaidi 45% ngoja wajuzi waje watupe figure kamili ya government take. Tupambane kuboresha maslahi ya taifa lakini tuepuke kupotosha, tutaishia kuwalaumu viongozi wetu
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
kwenda zako wewe usitutishe. hata kama mitego ya acasia kisheria ikoje lazima tujikwamue kwa huu ujambazi. hapa ndio hata lissu kama gwiji la sheria kweli kuonyesha uzalendo wake..wale wanaosema as a nation we should remain still na na kukubali kubakwa kiuchumi they can go to hell.
 
kwenda zako wewe usitutishe. hata kama mitego ya acasia kisheria ikoje lazima tujikwamue kwa huu ujambazi. hapa ndio hata lissu kama gwiji la sheria kweli kuonyesha uzalendo wake..wale wanaosema as a nation we should remain still na kugawa uroda they can go to hell.
Mh wewe uko timamu kweli?
 
1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.
CCM walaaniwe pamoja na kizazi chao chote kumbe walishauza ardhi ya migodi pamoja na kile ambacho kiko chini ya ardhi kumbe ndio maana watanzania wakithubutu kutia mguu ndani ya ardhi ya migodi wanapewa zawadi ya risasi na wawekezaji na hawafanywi kitu chochote kwa kuwa ardhi na kilichopo chini ya ardhi kimebinafsishwa kwa wawekezaji.

Tusipokuwa macho na CCM tunaweza tukafikiri tuko huru kumbe tulisha pigwa bei zamani pamoja na nchi yetu.
 
Wabunge wa upinzani walitoka nje Kipindi hizi sheria zinapitishwa ,mkawaona hawana akili, leo mnasema wamenunuliwa. Msiejitambua ni nyinyi tena hata huyo anayejifanya mzalendo No1 alikuwemo kwenye baraza, ni mnafiki tu
uliwaona wanatoka nje au umeota?
 
Back
Top Bottom