Ni mikataba wa uwizi aliyoingia Mwekezaji ACACIA na nani sijui..maana wauita mkataba wa ACACIA wakati ni mkataba wa uwekezaji umeridhiwa na pande zote yaani Serikali na wao. Acha mahaba kaka jaribu kuwa msomi na sio mwanasiasa.vyovyote iwavyo!! jambo la msingi ni kwamba tumegundua kuwa mkataba wa accacia ni wa kinyinyaji na wizi. Naunga mkono juhudi za JPM hata kama tukitakiwa kulipa fidia, ni sawa tu.
Siyo kila mfungwa alitenda kosa!!