Kesi ya ACACIA

Kesi ya ACACIA

Wafukuzwe tuu eheeee acha wee , hao watu wapo kimkataba. Uwezi kufukuza kampuni kama Acacia kama unamfukuzisha kazi shamba boy,

Gharama wanazoleta ni kubwa,..tizam wamekamat kontena ngapi,na hili ilikua LA muda mrefu,na ukitizama report zao za mahesab wanapata loss tokea waanze,..sasa we unaona sawa akili zako si za apa,
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Umeongea point
Na kwa facts
Mungu akubariki kaka
Viongoz wetu wanahitaji weledi mkubwa katika swala hill na cyo mihemko
 
Wala tusimtafute mchawi eti wawekezaji wanatuibia serious??wanaibaje??lete mkataba tuusome kama kweli wanatuibia.Siasa tunaipeleka kila mahali ila katika hili mimi sipo na mkulu,nachoona kitatokea hapo mbele ni kama wale samaki wake aliowakamata serikali ikashindwa kesi na kulipa bilioni tatu.
 
Hivi ndio nilitarajia ungekuwa waleta mada za namna hii hapa Jukwaani. Wote tunamuunga mkono Mh. Rais kwa jitihada zake nzuri lakini ziwe zinazingatia natural justice. Imani ya Rais hata kabla hajachukua form ilikuwa ni sisi kuibiwa madini na wawekezaji. Basi angetafuta ukweli kupitia mikataba kama vile kubaini vipimo vinavyopunguza aina za madini na uwingi wa madini katika makinika na kuunda tume kama ya Prof Mruma ishirikiane taasisi huru za kimataifa kubaini ukweli wenye uwakilishi wa pande zote..mwekezaji na serikali. Kwa sasa serikali tu ina imetoa maoni yake bado wawekezaji wanahisi wako sahihi. Vyema tubalance story tuwashitaki na kuwaadhibi kwa haki.
Umeongea point kaka
Mungu akubariki
 
Ni mikataba wa uwizi aliyoingia Mwekezaji ACACIA na nani sijui..maana wauita mkataba wa ACACIA wakati ni mkataba wa uwekezaji umeridhiwa na pande zote yaani Serikali na wao. Acha mahaba kaka jaribu kuwa msomi na sio mwanasiasa.
Mwambie huyo kaka
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Umeandika Kisiasa zaidi kuliko Kisheria. Vyovyote Iwavyo - ACACIA WAMEFANYA UDANGANYIFU NA KWA HILI HAWATAPONA - JUHUDI ZAO ZA KUJIKWAMUA NI NYINGI SANA NYUMA YA PAZIA LAKINI SAFARI HII HAWATATOBOA - NI AFADHALI WAONDOKE NA TULIPE FIDIA KULIKO KUBARIKI WIZI WA MCHANA
 
Wakikurupuka si ndio furaha yako upate kuandika mipost yako kama mwendawazimu.... siasa zimekutoa akili ila bado hujajielewa kama wewe ni chizi siasa.
Mkishauriwa wabishi saa hizi ndio mnapiga mayowe.Hiyo hasira yako wapelekee ma-ccm wenzako waliosaini mikataba.

Ukipanda Bangi huwezi kuvuna mahindi.
 
Umeandika Kisiasa zaidi kuliko Kisheria. Vyovyote Iwavyo - ACACIA WAMEFANYA UDANGANYIFU NA KWA HILI HAWATAPONA - JUHUDI ZAO ZA KUJIKWAMUA NI NYINGI SANA NYUMA YA PAZIA LAKINI SAFARI HII HAWATATOBOA - NI AFADHALI WAONDOKE NA TULIPE FIDIA KULIKO KUBARIKI WIZI WA MCHANA
Sasa si mkubali Tume Huru kama ACASIA walivyoshauri mambo yaishe?
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Hapa kuna mambo mawili! kwanza unasema mchanga ni wa serikali na hivyo unajitahidi kutuaminisha kuwa siyo ya Watanzania bali ni ya wawekezaji!!! Pili unajivua Utanzania wako ... Lazima ifike mahala tuache unazi wa kichama....no matter what, tunatakiwa kupaza sauti kama taifa kukataa unyonyaji huu ...
 
Tuna pata asilimia 4 yaani 4% bora kuacha kuchimba madini
iko hivi,
-mrahaba 4%.
-corporate tax 30%
jumla 34% kama sikosei

mfano ghana

mrahaba 5%

cooprate tax 25%.

Kwahiyo sio kwamba tunapata 4% tu.

Sema tax holiday wanapewa ndefu mno,

mfano geita mine ilianza uchimbaji 2001,wamekuja kuanza kulipa kodi 2011,
yaani incentive tax ya miaka 10,

wakati Nigeria tax holiday miaka 3.
 
iko hivi,
-mrahaba 4%.
-corporate tax 30%
jumla 34% kama sikosei

mfano ghana

mrahaba 5%

cooprate tax 25%.

Kwahiyo sio kwamba tunapata 4% tu.

Sema tax holiday wanapewa ndefu mno,

mfano geita mine ilianza uchimbaji 2001,wamekuja kuanza kulipa kodi 2011,
yaani incentive tax ya miaka 10,

wakati Nigeria tax holiday miaka 3.
well clarified
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Exceleent. Kuna haja ya rais kuwa makini. Hata wanapokuja kusachi chumbani kwako lazima mwenye chumba uwepo hawawezi wakasachi ini your absence halafu wakasema tumeona hiki au kile. Wakifanya hivyo una haki ya kukataa kuwa hicho hukijuwi na kuwa wamekubambikia
 
Wangefukuza tu ii acacia,..INA gharama kubwa
Hiyo siyo rahisi mkuu. Sawa na kuoa mke unamwoa kwa sherehe kubwa lakini siku ukitaka kumfukuza huwezi kumfukuza kama mbwa ni lazima sheria zifuatwe na anaweza kugoma kuondoka na usiweze kumfanya kitu
 
Nasikitika kuona mtu anasema eti madini ni mali ya wawekezaji. Huu ni ujinga tulio jengewa tayari. Serikali kwa taarifa yako ni mubia namba moja wa hii migodi na wala hawajauza madini kwa acasia. Wamepewa wawekeze kwa kuleta mitambo ya kuchimbia faida tugawane. Shida ni pale wanaposema wanatumia gharama kubwa mno kuliko wanachovuna.
 
Back
Top Bottom