BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,919
Wafukuzwe tuu eheeee acha wee , hao watu wapo kimkataba. Uwezi kufukuza kampuni kama Acacia kama unamfukuzisha kazi shamba boy,
Gharama wanazoleta ni kubwa,..tizam wamekamat kontena ngapi,na hili ilikua LA muda mrefu,na ukitizama report zao za mahesab wanapata loss tokea waanze,..sasa we unaona sawa akili zako si za apa,