Kesi ya ACACIA

Masamila

JF-Expert Member
Jun 22, 2014
6,411
7,306
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Mkinga huyu aliyekuwa jana kwenye kipindi makwaia jana , mbona alikuwa anampongeza jpm
 
vyovyote iwavyo!! jambo la msingi ni kwamba tumegundua kuwa mkataba wa accacia ni wa kinyinyaji na wizi. Naunga mkono juhudi za JPM hata kama tukitakiwa kulipa fidia, ni sawa tu.
Siyo kila mfungwa alitenda kosa!!
 
Umeongea swala kubwa sana
Kuhusu kufungua serikali imekosea bila kuwashirikisha jamaa maana watasema serikali ilianua ongeza kiwango chao wenyewe
 
NIMEIOKOTA SEHEMU: Kuna sababu za msingi hapa serikali ishaurike!Huyu ameshauri hivi:
Huenda uchunguzi wa madini ndani ya mchanga ukaishia kuwa swala la JPM kutafuta sifa tu na usiwe na manufaa kwa umma kwa sababu zifuatazo:

1. Acacia kama ilivyo migodi mingine Tanzania ni mali ya wawekezaji na siyo mali ya serikali maana stahili ya serikali ni asilimia 4 tu ya thamani ya madini yanayochimbwa. Serikali kufungua container za acacia na kuchukua sampuli bila kuwashirikisha acacia ni kosa.

2. Sampuli za mchanga zilizochukuliwa na kaati ya rais zimepimwa kwenye maabara bila uwakilishi wa acacia na ni kosa maana tayari acacia wamesema hawatambui huo uchunguzi na kwa hivyo serikali haiwezi kutumia matokeo ya ripoti hiyo kudai fidia mahali po pote.

3. Mikataba kama huo wa acacia inapotokea kutoelewana mahali pa kutafuta suluhu ni mahakama ya kimataifa ya usuluhishi na mahakama hiyo pia haitatambua matokeo kwenye ripoti ya kamati ya rais. Mahakama utatumia ripoti ya SGS maana inatambulika kimataifa au serikali ikikataa ripoti ya SGS mahakama itateua chombo kingine huru cha kimataifa kurudia uchunguzi wa mchanga kwenye container. Kama vipimo vya kiasi cha madini kwenye mchanga kitafanana na zile za SGS basi serikali ya Tanzania itabwagwa chini na acacia na kutakiwa kulipa gharama za kufidia kwa acacia.

4. Kuna uwezekano pia acacia wakasema mchanga kwenye container siyo wa kwao maana serikali imefungua container bila wao kuwepo na kupelekea uwezekano wa mchanga wao kutolewa na serikali kuweka mchanga mwingine.

5. Kwenye sakata hili uwezekano mkubwa ni serikali kupoteza na siyo kupata. Mikataba ya kimataifa inahitaji weledi na wala siyo mihemko ya kisiasa na ubabe wa serikali.

Mkinga mkinga
Mbona unazunguka ubuyu......nani kakwambia serikali inataka fidia,,,,,,,,,serikali ilitaka kujiridhisha ili ipate pa kuanzia sasa ushajua mipango ya serikali??????? Rais kishasema ripoti ya pili ndo itategemea nini ifanye kuhusu mikataba......kama nyerere alivunja mikataba itakua sasa isivunjike......jk tu alivunja mkataba wa reli walimpeleka wapi?????
Kwa kukusaidia hakuna muwekezaji huwa anatafuta vita na nchi alowekeza......
 
Kwa sababu zoezi lilikuwa la Nia njema, na data kama zinaaminika. Bado wanaweza kufungua makontena mengine wanafanya chukua sample upya kwa kushirikiana au kwa uwepo wa acacia na SGS representative.
Yale majibu ya kwanza yatabaki kama serikali ilitaka kujilidhisha na nadhani wana haki hiyo ila haya ambayo yatafanyika mbele ya waangalizi wote ikiwezekana waongezeka muwakikishi kutoka kwa mnunuzi smelter na mwingine independent.
Kwa kufanya hivyo na kama tume yetu inauhakika acacia wakiwa wanaiba watakamatwa tu bila hata ya kwenda mahakamani.
Hii ndio suluhu ya kudumu...
 
Kwa sababu zoezi lilikuwa la Nia njema, na data kama zinaaminika. Bado wanaweza kufungua makontena mengine wanafanya chukua sample upya kwa kushirikiana au kwa uwepo wa acacia na SGS representative.
Yale majibu ya kwanza yatabaki kama serikali ilitaka kujilidhisha na nadhani wana haki hiyo ila haya ambayo yatafanyika mbele ya waangalizi wote ikiwezekana waongezeka muwakikishi kutoka kwa mnunuzi smelter na mwingine independent.
Kwa kufanya hivyo na kama tume yetu inauhakika acacia wakiwa wanaiba watakamatwa tu bila hata ya kwenda mahakamani.
Hii ndio suluhu ya kudumu...
Hiyo nia njema ya kushusha bei ya hisa za acacia London si ndio?
 
Back
Top Bottom