Kesho vijana wanasema wataandamana, Mayalla yuko wapi?

Kesho vijana wanasema wataandamana, Mayalla yuko wapi?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?

Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana.
Acha Serikali iseme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema kuni.

Sisi tunawaomba tu vijana wasilete fujo,haya ni mambo yanaweza kujadiliwa,ni matatizo yanazungumzika.

Nani kateswa,nani sijui kalawitiwa. Haya mambo tuyaongee tu. Tutaoata suluhu.
 
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?
Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana.
Acha Serikali useme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema kuni.
Sisi tunawaomba tu vijana wasilete fujo,haya ni mambo yanaweza kujadiliwa,ni matatizo yanazungumzika.
Nani kateswa,nani sijui kalawitiwa. Haya mambo tuyaongee tu. Tutaoata suluhu.


WEWE UKITAKA KUJUA KAMA KESHO KUNA MAANDAMANO AU HAKUNA NENDA MTAANI UFANYE INTELIJENSIA , NINA KUHAKIKISHIA UTAUPATA UKWELI WOTE

MAMA WA AFRICA KAMA ANAVYOJULIKANA HUKO DUNIANI AU DR SAMIA SULUHU HASSAN ANAKUBALIKA NA KUPENDWA NA TAIFA ZIMA IKIWEMO , WATOTO , VIJANA NA WAZEE.
 
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?

Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana.
Acha Serikali iseme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema kuni.

Sisi tunawaomba tu vijana wasilete fujo,haya ni mambo yanaweza kujadiliwa,ni matatizo yanazungumzika.

Nani kateswa,nani sijui kalawitiwa. Haya mambo tuyaongee tu. Tutaoata suluhu.
Waliahidi kuandamana tarehe 9 na 25 lakini hawakutoka hata mmoja huko barabarani, wengi ni watoto wasio na majukumu kula kwa Baba kulala kwa Mama.

Kama hawana kazi na wameamua kuchagua hiyo shughuli basi watawakuta JWTZ na mapolisi wanawasubiri, watu ambao kazi yao ni kushughulikia vijana ambao wamechagua kuwa vibaka.
 
Ha ha maandamano ya wapi? Watu waendelee na harakati za maisha waachane na harakati zinazozuia wao kupata kipato Cha kila siku.
Hutaki toka ukutane na vijana wenye kofia nyeusi .
Halafu hao vijana wakichukuliwa na mapolisi kwa ajili ya mahojiano ya kina wanakuja wanaharakati humu jukwaani wanaanza kudai kwamba jamaa zao wametekwa!!.
 
Waliahidi kuandamana tarehe 9 na 25 lakini hawakutoka hata mmoja huko barabarani, wengi ni watoto wasio na majukumu kula kwa Baba kulala kwa Mama.

Kama hawana kazi na wameamua kuchagua hiyo shughuli basi watawakuta JWTZ na mapolisi wanawasubiri, watu ambao kazi yao ni kushughulikia vijana ambao wamechagua kuwa vibaka.
Shida mmjiaminisha katika police na wanajeshi, je mwafikili miongoni mwao wote wapo upande wenu? kitakuja kuumana siku moja hata pakukimbilia mpakose.

Msijiaminishe na hivi vyombo kwa asilimia nyingi, jiaminishieni kwa wananchi ila sio vyombo ,
 
Shida mmjiaminisha katika police na wanajeshi, je mwafikili miongoni mwao wote wapo upande wenu? kitakuja kuumana siku moja hata pakukimbilia mpakose.

Msijiaminishe na hivi vyombo kwa asilimia nyingi, jiaminishieni kwa wananchi ila sio vyombo ,
Kaka msiwadanganye hao vijana kwamba kuna siku jeshi au polisi watakuwa upande wao, wapeni elimu waweze kutanua bongo zao.

JWTZ wanalinda katiba ya nchi, Samia angekuwa yupo madarakani tofauti na matakwa ya katiba mpaka muda huu angekuwa ameshatoka ikulu. Lakini yupo kikatiba na jeshi linalinda katiba ya nchi.

Wananchi hao wanaoandamana na kupanga mipango ya usaliti hawazidi milioni mbili nchi nzima, tupo milioni 64 usione watu wapo kimya ukadhani hao wanaoleta vurugu ndio wengi, usidanganyike.
 
WEWE UKITAKA KUJUA KAMA KESHO KUNA MAANDAMANO AU HAKUNA NENDA MTAANI UFANYE INTELIJENSIA , NINA KUHAKIKISHIA UTAUPATA UKWELI WOTE
sawa
MAMA WA AFRICA KAMA ANAVYOJULIKANA HUKO DUNIANI AU DR SAMIA SULUHU HASSAN ANAKUBALIKA NA KUPENDWA NA TAIFA ZIMA IKIWEMO , WATOTO , VIJANA NA WAZEE.
hapa ndo umekuw muongo yan unasemaje anapendwa duniani wakati hata kijiji kimoja hapa bongo wanaompenda wamebakia wa chama chake tu, ebu acha unafki.
 
Kaka msiwadanganye hao vijana kwamba kuna siku jeshi au polisi watakuwa upande wao, wapeni elimu waweze kutanua bongo zao.

JWTZ wanalinda katiba ya nchi, Samia angekuwa yupo madarakani tofauti na matakwa ya katiba mpaka muda huu angekuwa ameshatoka ikulu. Lakini yupo kikatiba na jeshi linalinda katiba ya nchi.

Wananchi hao wanaoandamana na kupanga mipango ya usaliti hawazidi milioni mbili nchi nzima, tupo milioni 64 usione watu wapo kimya ukadhani hao wanaoleta vurugu ndio wengi, usidanganyike.
Umeelewa nilichoandika? serikali isifikili kila alie kwenye chombo yupo upande wao, kwenye familia hata baba sio kila kitu utasema wanao watakua wanakikubali ,japo hawezi kukwambia.
 
Umeelewa nilichoandika? serikali isifikili kila alie kwenye chombo yupo upande wao, kwenye familia hata baba sio kila kitu utasema wanao watakua wanakikubali ,japo hawezi kukwambia.
Ilani ya uchaguzi inatimizwa kama kawaida, Rais hahitaji sana kupendwa na kila mtu.

Marehemu JPM alisema yeye akipendwa na Mama Janet nyumbani inatosha. SSH anapiga kazi wenye akili timamu wanaelewa kipi anachokifanya. Kama haturidhiki hayo ni matatizo yetu binafsi.
 
Kaka msiwadanganye hao vijana kwamba kuna siku jeshi au polisi watakuwa upande wao, wapeni elimu waweze kutanua bongo zao.

JWTZ wanalinda katiba ya nchi, Samia angekuwa yupo madarakani tofauti na matakwa ya katiba mpaka muda huu angekuwa ameshatoka ikulu. Lakini yupo kikatiba na jeshi linalinda katiba ya nchi.

Wananchi hao wanaoandamana na kupanga mipango ya usaliti hawazidi milioni mbili nchi nzima, tupo milioni 64 usione watu wapo kimya ukadhani hao wanaoleta vurugu ndio wengi, usidanganyike.
hawafili milioni mbili ni elfu moja mpaka tatu tu
 
Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana.
Watanzania wanataka amani.
Vijana wanataka kuchoma moto nchi.
Tufanye nini?

Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana.
Acha Serikali iseme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema kuni.

Sisi tunawaomba tu vijana wasilete fujo,haya ni mambo yanaweza kujadiliwa,ni matatizo yanazungumzika.

Nani kateswa,nani sijui kalawitiwa. Haya mambo tuyaongee tu. Tutaoata suluhu.
Siku hizi mnasema "vijana tunaomba msiandamane" ila hapo awali mlikuwa hamuamini na kujiaminisha kwamba hawawezi na hawana uwezo wa kuandamana!Hahahahaaa!
 
WEWE UKITAKA KUJUA KAMA KESHO KUNA MAANDAMANO AU HAKUNA NENDA MTAANI UFANYE INTELIJENSIA , NINA KUHAKIKISHIA UTAUPATA UKWELI WOTE

MAMA WA AFRICA KAMA ANAVYOJULIKANA HUKO DUNIANI AU DR SAMIA SULUHU HASSAN ANAKUBALIKA NA KUPENDWA NA TAIFA ZIMA IKIWEMO , WATOTO , VIJANA NA WAZEE.
Mwashambwa KAPATA mpinzani.hongereni.
 
Matatizo ya vijana ni illusion,ndoto za Alinacha,kwamba wao watakwenda Ikulu kufanya fujo, halafu Samia atatoroka na helicopter.
Polisi kazi yao ni kuziondoa hizi illusion za wahalifu wa kila aina.
Wanaishi na sinema vichwani mwao. Hao polisi hawaishi tu kuziondoa vichwani mwao hizo ndoto, kesi ya uhaini lazima ifuatie.

Wale wa October 29 walikutana na mateso hawataweza kuyasahau.
 
Back
Top Bottom