Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Wewe Mtanzania kesho ndio siku maalumu uliyongojea miaka 5.
Hakuna siku nyingine uliyopewa zaidi ya kesho ya kuchagua kuumizwa tena 5 au kutoumizwa tena.
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu. Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
Kama ulikosa ajira, mafao, mkopo, elimu, filisiwa, dhulumiwa, someshwa namba, na madhalimu yote ya kila namna haya mpira upo Kati goli lipo wazi ulenge au ulengeshwe tena 5 yrs za mateso, jasho na damu uamuzi ni wako.
Hakuna siku nyingine uliyopewa zaidi ya kesho ya kuchagua kuumizwa tena 5 au kutoumizwa tena.
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu. Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
Kama ulikosa ajira, mafao, mkopo, elimu, filisiwa, dhulumiwa, someshwa namba, na madhalimu yote ya kila namna haya mpira upo Kati goli lipo wazi ulenge au ulengeshwe tena 5 yrs za mateso, jasho na damu uamuzi ni wako.