Uchaguzi 2020 Kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi

Amebembeleza apewe hiyo miaka 5 utafikiri kuna kitu cha maana atakifanya zaidi ya kusomesha namba ili watu walimie fizi..
 
Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Mna ofisi hata moja tu ya chama chenu mliyojenga kwa hizo hela za ruzuku? Kama ni hizo zilizopo, karibia zote zilijengwa na Nyerere na Mwinyi kwa kodi za Watanzania wote enzi za mfumo wa chama kimoja..
Unaijua miradi ya Chama cha Mapinduzi.

CCM ni moja ya vyama vyenye mafanikio kiuchumi ndani ya Africa.

Ila CHADEMA mnatusikitisha hamna hata mradi wa kilimo cha Nyanya ili kujipatia kipato nje ya ruzuku.

Leo na kesho, Mnataka kuiongoza nchi, daah mambo ya ajabu kabisa haya.

Kikubwa, Jipangeni chama chenu kikiwa stable tunaweza kuwapa nchi hata kwa goli la mkono.
 
Ungejua watu wanavyompenda Rais wao kipenzi JPM, usinge andika utopolo huu. Kila mkoa, Magufuli anauhakika kushinda kuanzia udiwani, ubunge, kwenye urais ndio kabisaaa. Sioni nafasi ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe kushinda.
 
Unaijua miradi ya Chama cha Mapinduzi.

CCM ni moja ya vyama vyenye mafanikio kiuchumi ndani ya Africa...
Mradi halali wa CCM ni mmoja tu: Bendi ya TOT! Ukija kwenye majengo, yote ni ya serikali. Viwanja vya michezo, vyote ni mali ya Watanzania wote! Shule zote zilikua ni za Watanzania wote enzi za mfumo wa chama kimoja!

Vituo vya habari kama Channel ten, tunafahamu wote mchakato ulivyokuwa! Magazeti, vituo vya redio, nk. Vyote vimepatikana kwa njia ya Piracy! Hakuna cha kujivunia bwashee. Siku ya kuondoka kwenu madarakani, kesho yake vitu vyote hivyo vitataifishwa kwa manufaa ya umma.
 
Ungejua watu wanavyompenda Rais wao kipenzi JPM, usinge andika utopolo huu. Kila mkoa, Magufuli anauhakika kushinda kuanzia udiwani, ubunge, kwenye urais ndio kabisaaa. Sioni nafasi ya genge la wahuni wa saccos ya Mbowe kushinda.
Kuna umuhimu wa kutofautisha kati ya maneno haya mawili; WATU na MISUKULE. Ukiweza tu kutofautisha, basi utakua umeshapata jibu sahihi.
 
Watanzania tujitokeze kwa wingi tukamuadhibu msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
 
Hayo matatizo yote yanaenda kutatuliwa na J.P. Magufuli pekee.

Hawa wenyewe hawana sera ya maendeleo na baadhi ya sera zao matusi tu. Tutawapumzisha waendelee na:
1.ujenzi wa ofisi zao(kuondoa aibu ya kumiliki ofisi kama mabanda ya nguruwe).

2.Wajifunze namna ya kutumia ruzuku.

3,Pia wajipange katika uchaguzi ujao na kutafuta viongozi bora. Huku wakiacha maswala ya kulia lia kwa kila jambo.
Eti hii nayo ni ofisi ya Lissu ,picha ya logo hivyo vidole viwili vimekaa kama sigara kali.
FB_IMG_1603736373061.jpg
 
Piga kura Linda kura ukiondoka utayajulia wapi matokeo yako Hali wamezima internet
 
Back
Top Bottom